mzeewaSHY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 8,849
- 8,496
Makonda Bomayee. 🙏 !Kulalamika hadharani ni njia bora zaidi kama mifumo imesinzia!! Inamuumbua mhusika lakini pia inaziamsha mamlaka!! Unawezaje kuiona kwamba hii siyo njia sahihi bila kuwa hata na suluhisha kama wewe pia SIYO TAPELI?? Sisi mnaotutapeli kila siku anatufariji sana Makonda
Ngoja tuone !