SIERA
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 2,782
- 3,407
Huyo wanachama wa CCM hatutaki hata kumuona CCM.
Kama mama anamtaka ampe kazi serikalini, kitengo maalum cha kudhibiti wasema hovyo.
Haya kashasema na mama yako
Huyo wanachama wa CCM hatutaki hata kumuona CCM.
Kama mama anamtaka ampe kazi serikalini, kitengo maalum cha kudhibiti wasema hovyo.
Kweli ccm mmechanganyikiwaKuna tetesi kwamba aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, kesho atatangazwa kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM.
Makonda ni mtu mwenye uwezo mkubwa wa kujibu hoja pengine kuliko Wabunge na Mawaziri wote wa CCM.
Ngoja tuone!
====
Soma: Paul Makonda ateuliwa kuwa Mwenezi CCM
Rudisha kadiZamu yake ilishapita hatupaswi kurudi huko, akipewa nafasi hiyo nitarudisha kadi yangu mchana kweupe tena mbele ya vyombo vya habari!.
Amekuwa...Mungu ndie mjuzi wa kuamua. Kama alikuwa safi sawa na kama alifanya ubaya Mungu atahukumu🙏🙏Acha bwana. Haiwezekani Paul akae na kina Kinana kabisa. Anyway, never say never.
Huyo jamaa kamuulize saa hii ili aseme kati ya yeye, wewe na johnthebaptist nani takataka iliyojaa JFNdiyo maana watu wa maana wameiasi JF kwa sababu ya watu kama nyinyi. Nimekutana na mtu mmoja Tweeter anauliza kama JF bado ina exist. Anasema kule kumejaa takataka!
Ataanza kujipendekezaSijui itakuwaje kwa Stive Nyerere, maana alijimaliza kwa kusaga kunguni kwelikweli wakati Makonda anawekwa pembeni.
Lini warudishe nikusaidieZamu yake ilishapita hatupaswi kurudi huko, akipewa nafasi hiyo nitarudisha kadi yangu mchana kweupe tena mbele ya vyombo vya habari!.
Leo hii, embu rudia hiki ulichokiandikaHata Kama mama anamtaka paul system haikubali
😂😂😂Huyo jamaa kamuulize saa hii ili aseme kati ya yeye, wewe na johnthebaptist nani takataka iliyojaa JF
Keshateuliwa....John ebu uwahi kanisani wakuombee, hata hujui CCM kiundani kumbe...
Mama Samia, Raiz wetu, hawezi fanya huo uteuzi wa kijinga hivyo, hata milele yote.
😂😂😂😂😂Kule identity za watu zinajulikana hivyo facts ndizo zinaandikwa. Hapa ni takataka tupu kutoka kwa watu takataka with some few exceptions
Zamu yake ilishapita hatupaswi kurudi huko, akipewa nafasi hiyo nitarudisha kadi yangu mchana kweupe tena mbele ya vyombo vya habari!.
Nakukumbusha kutosahau hiiSahau
😄😅😃😁Vipi Dada Faiza unasemaje kuhusu Makonda?
Yaani mpaka usemeeee..!!! Yaani hapo badooo..!!!Hakuna aliyewahi kubashiri Hatua za Rais Samia,so hata wewe hapa unaleta ni tetesi tuu.
Never say never..!!Mtahangaika sana kumtafutia kazi huyo jambazi wenu; anaejifanya mtu wa dini siku hizi!!
Mungu kakusikiliza..!! Endelea na maombi ili anguko litimieNaomba Mungu habari hii iwe kweli, ili kuharakisha Anguko.
Unajisikiaje huko uliko?Haiwezekani bwana mdogo. Mama mbona angekuwa ashampa nafasi kitambo tu, ila Mzee wa Arusha agreed to be back and work with her on one condition, na hio condition ndo inamfanya Daudi akae benchi.