Paul Kagame: Tanzania's own spy

Moshe Dayan,

..umesahau Bin Laden alivyowatenda USA??

..kuna wengine wanabisha, lakini ukweli utabaki kwamba tulikosea kutoku-support ile mission ya SADC ya 1999.

..tungesimama upande wa Zimbabwe, Angola, na Namibia, wakati ule, hali isingekuwa mbaya kiasi hiki Congo.

..wacha JK na Zuma warekebishe makosa ya Mkapa na Mandela/Mbeki.

cc Ogah, Jasusi, Nguruvi3
Mkuu kutosuport ile misheni ya 1999 ilikua ni smart move....mikono yetu ingekua michafu sana kwani ni vita iliyokula maisha zaidi ya milioni 5 ya wakongo!! Professor Wamba Dia Wamba anajua vizuri madhara ya ile vita na ndio maana amekua kimya Tangu wakati huo!
 
Last edited by a moderator:
Wewe acha unafiki wakijinga wewe mtusi unajifanya et uhusika wetu kwenda kigali ukaonje jotonya jiwe huko. Tanzania ni nchi iliyokuwa na mkakati wa ukombozi wa bara la Africa ndomana sehemkubwa ya Africa walisaidiwa kimafunzo na kijeshi ilinkuzikomboa nchi na sio ukoloni mambonleo kama hujui hilo

Museveni, Joseph Kabila (incumbent), Kagame tuliwaandaa wamkomboe dhidi ya ukoloni upi?
Silaha za vita toka Ulaya kushushwa Mwanza lengo ni lipi?
 
nadhani ni wengi kuliko mnavyodhani si rahisi sana kupigana vita ya zamani kwa zama za leo! jiulize wanyarwanda wangapi wameolewa Tz, wangapi wanajulikana so spy waweza kuwepo kila mahali kama kuna umuhimu mazungumzo ni njia salama ya kumaliza mizozo.
 
Mkuu Moshe Dayan, shukran kwa uzi wa kufikirisha...Nikweli kuwa Tanzania ama kitengo cha usalama wa Taifa wa enzi zile za Mwalimu ilikuwa inafanyakazi kwa uweledi mkubwa sana. Kissinger secretary wa USA miaka ya 70 aliwahi kuwaambia wamarekani wenzio kuwa Tanzania ndiyo nchi yenye influence kubwa na inatawala nchi 5 zilizotuzunguka! TISS ilikuwa inawaandaa na kuwaweka marais katika nchi hizo!
Chiluba alikuwa manager wa shamba la Mkonge pale Tanga, Baba Joseph mpaka leo wakazi wa msasani wanamkumbuka, M7 na Garang walisomeshwa kwa kodi zetu pale mlimani, Chissano alikuwa anachoma kuku pale Leaders Club enzi zile ...list ni ndefu sana....TISS ilikuwa busy kwenye Counter Threats, muda wote usalama wa nchi ulikuwa ndo first priority...
CHANZO CHA KUZOROTA:
Mabadiliko ya Utandawazi na mabadiliko ya kisera yalipelekea nchi za magharibi kuja na mikakati imara ya kuidhoofisha TISS! Walianza kuwahonga viongozi waandamizi na wale ambao walionekana tishio kwa maslahi yao waliua akiwemo Imran Kombe! Walimuandaa na kuhakikisha kuwa wanamuweka mtu ambaye wanaweza kumcontrol watakavyo APSON.chini yake TISS ilikamatwa na kuchakachuliwa Medhod operamondi badala yake iligeuzwa na kupewa majukumu ya kushauri tu!!!
Baada ya TISS kung'olewa meno tishio kwao ilibaki kwa Military Intelligency, hiki kitengo cha jeshi kina watu waliokubuhu wenye uweledi ambao nchi za magharibi zinawatamania, Mkapa alipewa jukumu la kuidhoofisha na Gen MBOMA alifanyakazi yake barabara...Sasa hivi hata Dada Joyce wa Lilongwe anatuchimba bit....
Mwenzenu MBELE NAONA GIZA TORORO!!!
 
Mkuu kutosuport ile misheni ya 1999 ilikua ni smart move....mikono yetu ingekua michafu sana kwani ni vita iliyokula maisha zaidi ya milioni 5 ya wakongo!! Professor Wamba Dia Wamba anajua vizuri madhara ya ile vita na ndio maana amekua kimya Tangu wakati huo!
kibavu,

..sisi tulikaa kimya wakati Kagame, Museveni, na makundi ya waasi, wakiua Wacongo kwa mamilioni na kupora madini.

..tulitakiwa tusimame upande wa Kabila Snr, Zimbabwe, Namibia,na Angola.

..kama hilo lilishindikana tulitakiwa tulaani uvamizi wa Rwanda na Uganda dhidi ya Congo, mwanachama mwenzetu ktk SADC.

..bila msaada wa Zimbabwe, Congo ingesambaratika na kuwa balaa kubwa kuliko hata Somalia.

..Prof.Wamba Dia Wamba alikuwa anatumika kwenye kikundi cha waasi kilichoanzishwa na Museveni.

..bahati nzuri ni kwamba Prof.Wamba Dia Wamba alikuja ku-realize kwamba anatumika against his own country and ppl.
 
Last edited by a moderator:
Tatizo la Kagame ni kutamani vitu vilivyo nje ya mipaka ya nchi yake.

Wakati Tanzania inatumia resources zake tangu uhuru mpaka sasa kuhakikisha nchi jirani zinakuwa salama, Kagame anatumia njia zozote zile kuchafua hali hiyo. Kagame CAN NOT be afriend kama ataendelea kuchafua hali ya amani.

Watu zaidi ya milioni 2 wamehama makazi yao kwa sababu ya kile anachofanya Kagame. Mtu kama huyo hawezi kuwa rafiki.

Watoto wanakosa fursa ya elimu, wengine wanakufa kwa magonjwa yanayotibika kama kuharisha na utapiamlo kwa sababu ya Kagame. Mtu kama huyo hawezi kuwa rafiki. Kumfanya Kagame rafiki ni kutukana UTU wetu...[don't look at the current problems, LOOK AT THE ROOT CAUSE THE PROBLEM]

D
 
It shows how patriotic we are.
our spirit for war is high and good to go,anytime anywhere.yaani mi mwenyewe hapa damu inanichemka haki ya mungu.cc watz wabaya cc.
Patriotic my azz,ukiulizwa unataka kupigana kwa sababu gani jibu ni...??mnaonyesha mlivyo malofa tuu bora make kimya na comedy zenu.
 
For the past few months or so, Kagame has been on front pages of Tanzanian minds and thoughts. If the time you use everyday discussing Kagame was spent productively I believe that your GDP would have increased a percentage point. Just thinking out loud.

You can not and will never leave a problem unsolve in order to raise GDP. Development is attained through combatting problems hindering development..
 
..
..Sasa hivi Kagame yuko kwenye position aliyokuwa nayo Mugabe in 1999. Wamarekani na UN hawamuungi mkono ktk uvamizi wake DRC.

..Kagame asipokuwa makini anaweza kuwekewa vikwazo vya uchumi na kijeshi, ikitokea hivyo hataweza kupigana vita ya muda mrefu.
Hizi story za Kagame kuvamia Congo umezitoa wapi? naona umeamua kaundika chochote ant PK maana umegundua wengi humu hawana idea na wanachoandika au kusoma kuhusu Rwanda.
 
Mkuu watu wanamfahamu Kagame. Huyu ni kijana wa Tanzania lakini ni jeuri. Amewahi kuwa pia jeuri kwa Museveni. Wakati wa vita ya msituni alikuwa aki recruit wanyarwanda pale Mwanza.
Acha comedy wewe,kagame kakulia Uganda maisha yake yote.
 
Walimuheshimu Nyerere (R.I.P) kwa kuwa alikuwa anajiheshimu, anaipenda nchi yake na watu wake pia alikuwa anakisimamia kile anachokiamini na habadiriki na ndio maana Dunia inamkumbuka hadi sasa lakini hawa waliopo hata wakifa kumbukumbu itabaki kwa familia zao tu.

ulichosema ni yatosha. Kagame kenyatta kagutta wanapenda nchi zao. Wanaona mazingaumbwe yetu yanayoendelea hapa, madawa ya kulevya, wizi wa mali ya umma, kutokuwajibika, na kustarehesha jinsia. Mbona rais mstaifu Mkapa pamoja na mapungufu yake walimuheshimu.
 
Museveni, Joseph Kabila (incumbent), Kagame tuliwaandaa wamkomboe dhidi ya ukoloni upi?
Silaha za vita toka Ulaya kushushwa Mwanza lengo ni lipi?

Nyakageni
Hizi nchi Drc Rwand Na Uganda zote zina internal problem ndiomana wliandaliwa hawa jamaa ili kudhibiti hayo matatizo leongo la mwalim ilikuwa kuweka sawa nchi za jirani tatizo hawajamaa waliopewa zamana hiyo wamegeuka na kuangalia maslah yao binafsi badala yakwenda kutoa ukabila na kuweka mambosawa kwakuwa nchi hizi zimepakana na muingiliano wa makabila ndomana walichukuliwa wote hao wanao husika
 
Back
Top Bottom