THE GREAT CAMP
JF-Expert Member
- Jun 29, 2012
- 765
- 194
Rais wa Rwanda Gen.Paul Kagame amesha wahi kushika wadhifa wa juu ndani ya jeshi la Uganda (senior Ugandan Army Officer). Amepigana vita kwenye kundi la uasi lililo muweka madarakani Rais Yoweri Museveni wa Uganda. KAGAME alikaa muda mrefu nchini Uganda kama Mkimbizi. Elimu ya Msingi aliipatia nchini Uganda katika shule iitwayo (Rwengoro Primary School). Haikuishia hapo hata elimu ya Sekondari ameipatia nchini Uganda katika shule iitwayo(Ntare school) lakini alikuja kumalizia masomo yake ya sekondari katika shule iitwayo Old Kampala secondary School.
Kagame na baadhi ya wakimbizi wa Rwanda walishaweka ahadi ya kuwa watiifu kwa Rais Yoweri Museven wa Uganda mara baada ya vita ya Kumng'oa Idd Amin.
(SOURCE:http://www.google.co.tz/url?sa=t&rc...poCYDw&usg=AFQjCNG1sUfkB0QEmRPkmbx8qzas63Uj-g)
Kwahiyo naomba kuwahoji Wanyarwanda maswali yafuatayo:
1.Huwezi kuwa afisa wa Jeshi la nchi husika bila kuwa na uraia wa nchi hyo. Je Rais wenu amesha ukana uraia wa Uganda.?
2. Raisi wenu alisha ahidi kuwa mtiifu kwa Rais Museveni. Je makubaliano hayo ya Utii mnayajua au ni bendera fuata upepo?
KWA LEO NAOMBA NIISHIE HAPA NITAKUJA NA UKWELI MWINGINE SIKU NYINGINE.
Kagame na baadhi ya wakimbizi wa Rwanda walishaweka ahadi ya kuwa watiifu kwa Rais Yoweri Museven wa Uganda mara baada ya vita ya Kumng'oa Idd Amin.
(SOURCE:http://www.google.co.tz/url?sa=t&rc...poCYDw&usg=AFQjCNG1sUfkB0QEmRPkmbx8qzas63Uj-g)
Kwahiyo naomba kuwahoji Wanyarwanda maswali yafuatayo:
1.Huwezi kuwa afisa wa Jeshi la nchi husika bila kuwa na uraia wa nchi hyo. Je Rais wenu amesha ukana uraia wa Uganda.?
2. Raisi wenu alisha ahidi kuwa mtiifu kwa Rais Museveni. Je makubaliano hayo ya Utii mnayajua au ni bendera fuata upepo?
KWA LEO NAOMBA NIISHIE HAPA NITAKUJA NA UKWELI MWINGINE SIKU NYINGINE.