Pata ufahamu na elimu dhidi ya ugonjwa wa Mafindofindo (Tonsils)

kuna mtu niliwahi kumsikia anasema yeye alipona kwa maziwa na pilipli. eti una chukua maziwa fresh kikombe 1 na pilipili mbuzi 1 iliyo komaa vizuri unaikatia kwenye yale maziwa unachemcha pamoja, then unaacha ipoe kidogo halafu unakunywa. anasema yy alikuwa nazo zilimsumbua sana lkn baada ya dawa hiyo zimeacha kabisa.
 
Nenda kwa daktari mshauri akuchome cristapen sindano naamini ndani ya siku 2 hutasikia tena huo ugonjwa.pole sana
 
Tonsesi..apricose..ooh my!!!!! How old r u.??? Ts ampiclox....kunywa pen v..fastaaa zinapona
 
Hakuna sindano wala dawa ya kukuponyesha hiyo kitu. Unazo options mbili;

1. Nenda kafanyiwe operation ziondolewe
2. Acha kutumia vinywaji baridi.

Hizo dawa zinatuliza tu, lakini kila ukinywa au kula kitu cha baridi, ziko pale pale.

Tiba
 
bcoz naogopa operation natumiaga amplicox 2x3 for 5dys and am good..ila inategemea kweli na mtu,like mimi pen v daznt help kabisaa so jaribu utumie ila ni bora kumuona daktari kwanza coz wabongo tunatabia ya kunywa tu dawa tabia ambayo si nzuri..TUACHE..kunywa vitu warm kwa wingi
 
Tonsilitis,,Inflammation of tonsils..Kuvimba kwa Tonsils
Kuna mawili hapa: Kwanza Je hilo tatizo ni la kujirudia rudia sana? Kama la, basi Antibiotic zinazoua wadudu wa sehemu hiyo gram positives kama streptococci zitasaidia, hivyo anza na dawa kama ampiclox ila kama haifanyi kazi tumia clavam
Ikiwa ni tatizo linalijirudia sana kwako basi Nena kwa ENT surgeon eg kuna mmoja yupo pale Namanga dar atakufanyia upasuaji na kuziondoa

All the best
 
...watu wanaopata tonsils wakiwa watu wazima (sio watoto)-na tonsils hizo zikawa kubwa sana mpaka zinagusana- Jina la utani - kissing tonsils...huwa pia ni HIV positive. Pamoja na kutolewa hizo tonsils, Sio mbaya kupima na afya yako pia.
 
...watu wanaopata tonsils wakiwa watu wazima (sio watoto)-na tonsils hizo zikawa kubwa sana mpaka zinagusana- Jina la utani - kissing tonsils...huwa pia ni HIV positive. Pamoja na kutolewa hizo tonsils, Sio mbaya kupima na afya yako pia.

Duh aiseee
 
Tiba ya vidonda vya koo

chukua Vitunguu maji kiasi kumi au vinane, uviponde halafu Uchanganye na maji kiasi kikombe cha chai kimoja Ukoroge viziru Uvichuje halafu Unywe vijiko vitatu kila siku asubuhi, mchana na jioni vijiko vitatu.

Au tumia Dawa hizi zitakusaidia
Jinsi ya kutibu vidonda vya kooni:
  • Sukutua maji ya chumvi yaliyo vuguvugu
  • Mumunya dawa za koo, usiwape watoto inaweza kumnyonga akimeza kwa bahati mbaya.
  • Muulize mfamasia wako akuuzie kipulizo (spray) cha kutuliza uchungu kooni.
  • Ikiwa koo linawasha au limekauka, pumua mvuke wa maji moto itakusaidia.
Please Give me your feedback.
Je matonsis dawa yake ni nini?
 
Je matonsis dawa yake ni nini?
Tonsil husababishwa na sababu nyingi . Pia husababishwa na upungufu wa white blood cells katika mwili ambazo cells hizi ndio hupigana na vidudu vyote venye kuleta maradhi ndani ya mwili sasa vinaposhindwa kufanya kazi lymph zinavimba na husababisha Tonsils.

Kila mtu na ukuwaji wake wa mwili, wapo ambao wanapata tonsils kwa kunywa maji ya baridi ambayo maji ya baridi huwa ni moja katika chanzo cha kupata tonsils, mavumbi huchangia vile vile pilipili na vitu vikali kama vile embe mbichi limau pia huwa ni sababu kuu ya kupata tonsil.

Wakati unapokuwa na tonsils muhimu zaidi kuacha maji ya baridi na vitu vyote vikali, zaidi utumie maji ya moto.

Dawa za tonsils ni : kama ni mtumiaji wa dawa za chemicals basi epincilin inasaidia sana kuondosha tonsils.

Dawa nyengine ambayo mimi binafsi naipendelea hii zaidi kwani inafanya kazi mara moja : Kamua ndimu moja katika glass yako kisha tia maji ya Uvugvugu (warm water) na baadae tia vijiko vinne vidogo vya asali na kijiko robo cha chumvi kuroga uzuri na unywe pole pole

Dawa nyingine ya tonsils ni
kusukutuwa maji yalokuwa si moto sana pamoja na chumvi mara 4 kwa siku yafike kooni.

Vile vile kuchukuwa mdomo wako na kuweka kwenye goti na kuwa unalipuliza bila kutoka pumzi mara kwa mara na kama hufikii goti lako basi unaweza kuchukuwa kanga na kufanya mfano wa mpira na kuwa unapuliza kila utakapokuwa na wakati, hii pia inasaidia.

Usiwe unazungumza sana isipokuwa kwa dharura kwani ujaribu utakavyoweza upepo usipite kwenye mdomo wako.

Sio lazima unywe maji baridi ndio upate Tonsils mfano A/c linapofanya kazi upepo wa baridi unapita kwenye mdomo wako basi unapata Tonsils Au wakati unapolala na A/c linafanya kazi na mdomo uko wazi basi pia unaweza kuumwa na Tonsils.

Vile vile kutoka nje kwenye joto kisha ukaingia pahala baridi huwa inasababisha Tonsils na maradhi mengine kama flu na kuumwa na kichwa..n.k
 
Pole sana. Onana na specialist ENT akupe ushauri wa kudumu baada ya kuyaangalia. Mimi nilifanyiwa upasuaji kuyatoa na sijawahi kujuta. Nina amani tele sasa.
 
Yanakusumbua kwa muda mrefu au ndo yameanza?
dawa amabayo huwa natumia inanisaidia ni (pen v) na maji ya moto labda ungetumia hii pia.
 
Uginjwa ws Tonsils una mahusiano gani na kutumia kinywaji cha Baridi? Inanipata sana hasa ninapokunywa Beer baridi. Msaada tafadhali
 
Back
Top Bottom