Akikujibu unikumbuke.
Kukopaunataka kukopa ama kununua
Aisee hata Ilemela halipo labda Misungwi ndio maana jamaa hataki kum-direct Mtu ofisini, au huenda ofisi ni mahali Mtu aliposimamaMwanza hili duka labda liwe ilemela kwa nyamagana halipo
Mimi nipo Posta hapa aseme alipo niende nikakope simu, halafu nipo full hata akitaka ramani ya Nyumba nitampaUkitaka kula vichwa vingi shusha bei kama 20% uone utakavyo sepa na mtaa,Niko mwanza mjini sema uko wapi ili niuthibitishie umma,la sivyo usitusumbue wa TZ
miaka 5 riba asilimia 100?..wekeni riba ainishi kwa muda fulani!..Kuna makubaliano yatawekwa baina ya mkopaji na mkopeshaji kumbuka muda wa kulipa deni ukiwa mrefu ndivyo riba inavyozidi kiasi
Ina maana umeweka hizo simu kwa watumiaji ambao wanazijua tu? Vp kwa watu wapya watazitambuajeMkuu kama wewe ni mtumiaji wa simu na kama kuna simu utakayohitaji hakika bila ya kuandika specifiacation na aina ya simu utakuwa umeshajua aina ya simu kwa sababu huwezi kukurupuka kununua simu bila kufahamu specification zake Ahsante.
Mimi nko Capri hapa,aseme mi naenda kushuhudia,Mimi nipo Posta hapa aseme alipo niende nikakope simu, halafu nipo full hata akitaka ramani ya Nyumba nitampa
Maswali ni mengi kuliko majibu hapa.Halafu hz picha hazieleweki ni kama za kugoogo vile
Wewe mleta uzi ndyo siyo muelewa kabisa, haupo serious na biashara, ili swali dogo tu la kuelekeza ofisi ilipo hapo Mwanza unalikwepa, unafikiri unajenga hisia gani kwa wateja? We are smart than you jaribu njia nyingine ya uatpeli hii umekwama.Ujue watu mnashindwa kuwa waelewa nimetoa namba akita kufika anicheki nimuelekeze