ehee kumbe
JF-Expert Member
- Jul 1, 2013
- 267
- 155
Waungwana Mimi ni mfuga Nyuki nipo Dodoma. Nimepata dharula ,sina namna nimeamua kuuza Asali ya nyuki wakubwa kwa bei ya hasara ili nikidhi hitaji lililonisibu.
Asali huwa nauza ndoo ya Lita 20 kwa sh laki mbili.kwa vile Nina shida nimepunguza bei mpaka sh laki moja na nusu kwa ndoo moja.
Ndoo moja ya Lita 20 ukipaki kwenye chupa za kilo moja utapata chupa 30@sh 10,000/= utapata sh laki tatu.
Kama utapaki kwenye chupa kubwa za konyagi utapata chupa 65@sh 7000/= utapata sh laki nne na hamsini na tano elfu.
Ukinunua Asali yangu ninakupa guarantee ya miaka mia.
Popote ulipo hapa Tanzania utatumiwa mzigo wako.nipigie 0717707565
Asali huwa nauza ndoo ya Lita 20 kwa sh laki mbili.kwa vile Nina shida nimepunguza bei mpaka sh laki moja na nusu kwa ndoo moja.
Ndoo moja ya Lita 20 ukipaki kwenye chupa za kilo moja utapata chupa 30@sh 10,000/= utapata sh laki tatu.
Kama utapaki kwenye chupa kubwa za konyagi utapata chupa 65@sh 7000/= utapata sh laki nne na hamsini na tano elfu.
Ukinunua Asali yangu ninakupa guarantee ya miaka mia.
Popote ulipo hapa Tanzania utatumiwa mzigo wako.nipigie 0717707565