Bull,hii ni itikadi ,ISLAM inataka domination kwa violence na upanga.Huyu Mnigeria ,ni mweusi mwenzetu angejali mateso ya Waislamu wenzake Darfur kuliko kutaka kulipua watu hewani.
Upumbavu huu wa Osama Bin Laden
Pope wako ali-apologise aliposema bila evidence kuwa uislam unatumia fujo, na Baraka Obama ana-admit mara kwa mara kuwa Islam is great religious, na Qur'ani inasema: HAKUNA KUMLAZIMISHA MTU KWENYE DINI.
Hizo propaganda mnazozipokea bila kufikiri ndo zinazowafanya kuwa watumwa wa fikra.
Waafrica wengi wameteswa na kuuliwa na hao unayo yatetea, kama kunamtu mwenye hasira na mzungu basi ni mtu mweusi, sioni ajabu kwasasa au baadae mtu mweusi kuamua kupambana, unles you are stupid" tunaelewa vita ya Darfu na nyingine africa zina sponsered na Amerikans, kam walivy m-sponser Osama.
So, adui wangu anapo pambana na mtu mwingine nitashika hata jiwe nitapiga ndivyo alivyo fanya mnigeria. UNLESS AMERICAN CHANGES HIS BEHAVOUR AND ATTITUDE
Una justify mauaju kwa sababu ya chuki zisizokua na msingi?
Marekani imekuonea vipi wewe mtanzania unasupport mauaji ya wamarekani?
Unasahau kuwa ugaidi uliua baadhi ya ndugu zetu hapa Dar? Unasahau kua ugaidi uliua wakenya wasiokuwa ha hatia zaidi ya 250? Bado tu unatetea uuaji wa aina hii? Unasahau kuwa Magaidi hivi tunavyoongea wanaua watu huko Somalia? Au mwenzetu huna khabari?
Alieonea Waafrika specifically East Africans and particularly Tanganyika's ni nani zaidi ya Muarabu aliekua anavunja nyumba za mababu zetu, kuwateka nyara, kuwatembeza kwa miguu kutoka kigoma mpaka Dar Es Salaam, na walioshindwa kutembea kwa ajili ya uchovu walikatwa vichwa vyao na kutupwa? Umesahau huu unyama wa hawa watu?
Bado tu munaitetea Miarabu na unyama wao? Acheni unafiki?
Jamaani someni vizuri wenzenu wakiandika msikurupuke tu kujibu! nasema tena hivi;
No one should justfy killing whether in the name of Religious or spreading Democracy
Hivi nikwasababu unaishi marikani ndio uelewi mabaya waliyo na wanayowafanyia waafrika umeyaona yaliyofanywa na waarabu tu?
nani ana-sponser vita Africa na duniani kote? si unaelewa Osama Bn Laden ni product ya Wamarikani?
Ugaidi wa marikani ulianza siku nyingi duniani pamoja na afrika, we unacho jua ni tokeo la Bongo na kenya pekee.
Nasema hivi; Wewe na mimi tunaweza kuwa victim kwenye ndege au kwa maskadi ya wamerikani, UNLESS AMERICAN CHANGE HIS BEHAVIOUR AND ATTITUDE, Dunia haiwezi kuwa safe, wasitegemee kuwa wataendelea kuwafanya watu au dunia nzima kuwa wajinga, samebody will retaliate.
Usijisahau Bro!!!!
Kama imefikia hatua ya kuruhusu wahuni kuendelea kutoa matusi kwa dini nyingine! Nafikiri imefikia muda wa kuchukua hatua, either waondoke na warudi kwenye utamu au tutaprint hizo page ya matusi kwenye magazeti na waislamu waone jinsi wanavyotukanwa na watu wasio hata na dini.last warning
ninachoamini hii forum ni kwa thinkers na si wahuni wa mtaani sasa kama ni matusi kwenye dini kwa kila tukio, kila mtu awe anatukana hii forum itakuwa ni upuuzi na soon itafungiwa
Punguza hasira mkuu
Sunday, 20 December 2009
The US cruise missile attacks on Yemen reveal a damaging escalation in Americas war on the Muslim world. Not content with presiding over a million deaths in Iraq, killing thousands in Afghanistan, and firing Predator drones into Pakistan almost every day, the current Nobel Peace Laureate Obama has decided to now bomb Yemen.
According to eye witnesses more than 60 people have been killed - mostly innocent women and children - rebutting the now tired claims, that only terrorists are being killed.
Abbas al-Assal, a local human rights activist who was at the scene told the Associated Press, that 64 people were killed, including 23 children and 17 women
."The government wants to show the world that it is serious in pursuing al-Qaida elements and that the south of Yemen is a refuge for al-Qaida. That is not true at all," al-Assal told The Associated Press by telephone. A resident of the area, Ali Mohammed Mansour, gave similar casualty figures, saying he helped bury the dead in a mass grave.
http://www.hizb.org.uk/hizb/resources/issues-explained/bombing-yemen-and-killing-civilians-is-obamas-definition-of-peace.html
Kwanini kitendo hiki cha 20/Dec kisilaumiwe mnalaumu cha 25/Dec ? nani yuko na right yakuuwa mwenzake? No one should justify killing, whether in religious name or democracy,
If Americans will not change his behavior and attitude, we all will be victims by plane or American missiles
Haya akina MaxShimba, PakaJimmy, Abdulhalim na October: mnayajua au mlikuwa mnayajua hayaaaaa??? Mnasemaje kuhusu roho hizooo???
Na wengine akina Yegomasika, Kui, Kariakoo, mmakonde, Ujengelele, MTM, Prodigal Son, babukijana, mfianchi, AshaFaraji, Nguli, Ab-Titchaz, hebu semeni kuhusu hili???
Hebu semeni tuwasikie !!!
AmenWooow...!
I rebuke the darkness powers in the name of Jesus!
Hooray..! Jesus is the Lord!
Asavali allah slave mwingine kashindwa kutimiza amri ya mungu na babu yao Ibilisi.
Unamaanisha KKKoran??
Bwa ha ha..sasa hiki ndo nini? Wakamua kinyesi maiti wakishindwa hoja wanajaribu kila njia bila mafanikio.
Wooow...!
I rebuke the darkness powers in the name of Jesus!
Hooray..! Jesus is the Lord!
WASHINGTON A Northwest Airlines passenger landing in Detroit on Friday tried to blow up the flight but the explosive device failed, two U.S. national security officials said.
The passenger, who was traveling on Northwest Airlines Flight 253 from Amsterdam, was not identified. He was being questioned Friday evening, according to one of the officials, both of whom spoke on condition of anonymity because the investigation was continuing.
The motive of the Christmas Day attack was not immediately clear.
"He appears to have had some kind of incendiary device he tried to ignite," said one of the U.S. officials.
http://news.yahoo.com/s/ap/us_airliner_disturbance
Kama imefikia hatua ya kuruhusu wahuni kuendelea kutoa matusi kwa dini nyingine! Nafikiri imefikia muda wa kuchukua hatua, either waondoke na warudi kwenye utamu au tutaprint hizo page ya matusi kwenye magazeti na waislamu waone jinsi wanavyotukanwa na watu wasio hata na dini.last warning
ninachoamini hii forum ni kwa thinkers na si wahuni wa mtaani sasa kama ni matusi kwenye dini kwa kila tukio, kila mtu awe anatukana hii forum itakuwa ni upuuzi na soon itafungiwa
Jamaani someni vizuri wenzenu wakiandika msikurupuke tu kujibu! nasema tena hivi;
No one should justfy killing whether in the name of Religious or spreading Democracy
Hivi nikwasababu unaishi marikani ndio uelewi mabaya waliyo na wanayowafanyia waafrika umeyaona yaliyofanywa na waarabu tu?
nani ana-sponser vita Africa na duniani kote? si unaelewa Osama Bn Laden ni product ya Wamarikani?
Ugaidi wa marikani ulianza siku nyingi duniani pamoja na afrika, we unacho jua ni tokeo la Bongo na kenya pekee.
Nasema hivi; Wewe na mimi tunaweza kuwa victim kwenye ndege au kwa maskadi ya wamerikani, UNLESS AMERICAN CHANGE HIS BEHAVIOUR AND ATTITUDE, Dunia haiwezi kuwa safe, wasitegemee kuwa wataendelea kuwafanya watu au dunia nzima kuwa wajinga, samebody will retaliate.
Usijisahau Bro!!!!
hapo kwenye nyeusi......... Nina wasiwasi kuwa huijui kuranijamaani someni vizuri wenzenu wakiandika msikurupuke tu kujibu! Nasema tena hivi;
no one should justfy killing whether in the name of religious or spreading democracy
hivi nikwasababu unaishi marikani ndio uelewi mabaya waliyo na wanayowafanyia waafrika umeyaona yaliyofanywa na waarabu tu?
nani ana-sponser vita africa na duniani kote? Si unaelewa osama bn laden ni product ya wamarikani?
ugaidi wa marikani ulianza siku nyingi duniani pamoja na afrika, we unacho jua ni tokeo la bongo na kenya pekee.
nasema hivi; wewe na mimi tunaweza kuwa victim kwenye ndege au kwa maskadi ya wamerikani, unless american change his behaviour and attitude, dunia haiwezi kuwa safe, wasitegemee kuwa wataendelea kuwafanya watu au dunia nzima kuwa wajinga, samebody will retaliate.
usijisahau bro!!!!