Death is the destination we all share, No one has ever escaped it and that is as it should be
Because Death is very likely the single best invention of life, our life
Pole Mkuu
! Daa! Mkuu hata Mimi siijui ila alikuwa akitumia nikname Kama wengi humu, Mimi Ni rafiki yake wa Karibu Sana,Mara kadhaaa Aliniambia yeye pia ni member wa JFKichwa cha habari kina utata kidogo “Pasaka imenipotezea Rafiki yangu......”inaleta maana tofauti,anyway RIP Fred !km itakupendeza mtoa post naomba utukumbishe post zake alizozitoa ndg yetu huyu (maana majina yetu JF ni ya bandia )ila na sisi tushiriki msiba huu kwa Feeling.
aaaaaaaaa dah so sad! Aiseee hata siamini jamaa alkuwa rafiki yangu fb nilikua nafuatilia sana vichekesho vyake kweli dunia mapito ajali imetokea wap kwan? Dah R I P Fuledi mwagitoNi wiki moja tu imepita, Tulichati kwa whatsap.Tulikuwa tukicheka madakika yakapita.Sikujua Kama Ulikuwa waniaga, Umeondoka mkuu.Pumzika kwa Aman Kaka Fred,Mungu akupokee. Mpaka Sasa sielewi na pia siamini Kama kweli umetutoka, nawaza na kujifariji labda kesho utaamka.Taarifa za kifo chako, zinatatiza ni ngumu kuelewa.Pumzika kwa Aman Kaka Fred, Mungu akupokee. Taarifa zinaeleza ulikuwa watoka kijijini Kilolo, mara Izraeli akakupata,ghafla bila kujua Pumzika kwa Aman Kaka,hiyo ni njia yetu sote. Utakumbukwa Sana mitamdaoni,fb mpaka jf.Fb ulijulikana na ukurasa wako wa vichekesho,Tabasamu na Fuledi,wengi walikuelewa,na walipenda vichekesho vyako.Pumzika kwa Aman Kaka,Mungu akupokee.Ajali ya gari imekatisha uhai wako, Tena siku ya Pasaka,kweli kifo ni fumbo,nakosa hata wa kunisimulia ilikuwaje,kila mtu anasema juu juu tu,Pumzika kwa Aman broo Mungu akupokee.😭
Sote njia yetu ni moja! R I P FulediMnaweza kupata picha alikua ni mtu wa aina gani. Rip broView attachment 1078692View attachment 1078693View attachment 1078694