OsamaBinLaden
JF-Expert Member
- May 2, 2009
- 706
- 3
Kutoka na misemo mingi ambayo huchafua lugha kwa kutumia misemo hii mimim naona si vema kutumika na kufindishwa mashuleni kwa watoto hutafsiri misemo hii kwa matendo na kusimiliana na kuyafanya kuenea kwa watoto wengi ambayo hupotosha maadili.
Mfano.
Papitapo msumari hapakosi tundu
mtaka cha uvungu ainame!
Ukitaka nyama ya dafu uchokolewe..n.k
mi mtazamo wangu si vema ikatumika mashuleni hupotosha jamii na haina faida kwa watoto.
Leteni mawazo yenu....mnakaribishwa..hadi ndani..!
Mfano.
Papitapo msumari hapakosi tundu
mtaka cha uvungu ainame!
Ukitaka nyama ya dafu uchokolewe..n.k
mi mtazamo wangu si vema ikatumika mashuleni hupotosha jamii na haina faida kwa watoto.
Leteni mawazo yenu....mnakaribishwa..hadi ndani..!