Papa ni Rais wa nchi ya Vatican na pia ni kiongozi wa Kanisa la Katoliki duniani. Dini na Serikali vimechanganyikana

Natty Bongoman

JF-Expert Member
Oct 10, 2008
403
191
Habari zengu wenzangu wanaJF.

Kwa staili tumekuwa tunazugwa kuhusu ukraine ni cha mtoto kulinganisha na hili nnalowaletea wenzangu. Nivumilieni mapicha mengi ila nataka mtambue picha halisia - na wenye hisia wapingane na ushahidi.

Naomba sote tuzingatie na tukumbuke kwamba warumi walirithi uabudu wa jua wa wababylonia - wale waliojenga mnara wa babeli. Tuzingatie warumi walitawala dunia kama dola yao.

Tukumbuke ni dola ya mwisho kutawala dunia, na ndio ilieneza itikadi, dini, na elimu yake hapa duniani... vitu ambavo vipo hadi leo hii. Kwa hiyo hapa tutambue hii dola haijafa ila iligawanyika kuwa mataifa madogo madogo yenye itikadi ile ile.

Leo hii kuna EU - muunganiko wa mataifa yaliounda dola ya warumi zamani - dola inarudi mdogo mdogo... Kibiblia - hii ni stori ya zile pembe kumi, tutaipitia baadae. La muhimu pia kuzingatia na kukumbuka - ni kwamba warumi walimsulubisha Yahsua (Yesu) na kuzidi kidogo miaka 300 baada ya Yahsua kupaa, waliendelea kutesa, kusulibisha, na kuua wakristo.

Walikuwa ni wapinzani wakuu kwa wakristo, na walikuwa wamejikita sana sana kuabudu jua - makanisa na sikukuu zao kibao. Baada ya hiyo miaka 300... mfalme wao ghafla kaamuru raia wote kubadili dini na kuwa wakristo - ndipo kuzaliwa kanisa la katoliki. Ni muhimu sana kutambua hawakujua moja wala mbili kuhusu ukristo, na 'walilazimishwa'.

Walijua zaidi upagani wa kuabudu jua, na walizoea mila za dini yao kamili gado. Kwa hiyo kanisani kupya mila za zamani ziliendelea - hata nyingine kuruhusiwa rasmi. Tunahitaji kukumbuka na kuzingatia kwamba kuna kipindi kirefu sana kanisa la katoliki na utawala wa kirumi vilikuwa kitu kimoja, ikimaanisha papa alikuwa mtawala anaeweza kuamrisha wafalme wa enzi zile.

Hii ndio sababu ya mfalme wa Uingereza kuanzisha Anglican, na Napoleon kumpindua papa. Papa alirudishiwa mamlaka na mfalme Charlemagne...

Swala la utawala wa kidini ni gumu hadi leo, na nchi nyingi haziruhusu. Dunia iliona mateso ya utawala wa kikatoliki na utawala wa kiislamu. Leo hii mfumo wa elimu unafunika funika ukweli huu - Vatican ni taifa na Rais wake ni papa.
Lina mabalozi nchi kadhaa pamoja na Umoja wa Mataifa umekaribisha Vatican. Inamaanisha papa ni raisi wa nchi ya Vatican na pia ni kiongozi wa kanisa la katoliki duniani. Hapa dini na serikali vimechanganyikana.

Hapo chini ni picha ya makao makuu ya EU (kushoto) na mnara wa babeli (kulia). Wanatamba wazi wameiga mjengo... kwa nini? Wameiga mjengo tu ama itikadi za Babylonia? ... cha kujiuliza

1647554238106.jpeg


chini ni picha ya nembo ya warumi - enzi za utawala wao wa dunia
1647554271752.jpeg


Angalia sasa alama za umoja wa mataifa na vyombo vyake...

1647554386743.jpeg

  • sitaingia sana kwenye maana zake - unaeza tafiti - ila kumbukeni dini za kipagani zilikuwa na mungu (mama na mtoto) ambacho kanisa flani lilirithi...
NADHANI SASA UNAGUNDUA HII UN YAO INAIGA MFANO GANI... yaani chunguza hata nchi zenye sauti ni zile za vitukuu vya dola ya kirumi. Yaani mrusi kwanza (ya zamani) na mchina wamevuruga mahesabu... na hawakuwemo kwenye mpango mama ila ilibidi waingizwe manake sababu haziwezi kuwa wazi ili kufanikisha mipango yao.

Marekani ni dola sasa hivi iliozaliwa na dola ya zamani ya kirumi. Kwa hiyo ujue haitoki nje sana na itikadi za dola ya kirumi. Moja ya hizo itikadi ni kulinda na kuwezesha mamlaka ya papa yaheshimike duniani.

Sasa tuangalie kwa kifupi ile dini OG ya warumi - dini ya kuabudu jua. Siku ya kusali ilikuwa SUNday (jumapili). Wakati huo huo, siku wakristo walisali ilikuwa Sabato (jumamosi) - tokea enzi za agano la kale na mwanzoni wakati wa agano jipya. Hapa naomba niwaonyeshe picha za ishara za waabudu jua

1647555719192.png
1647555761046.jpeg


Sasa naomba tuangalie picha zinazotuonyesha itikadi za kanisa la warumi katoliki ambalo wamelifanya liwe kanisa mama duniani. Kumbukeni niliwaambia kabla ya ukatoliki walitokea wapi kidini...

Nembo ya mji wa Vatican (kulia chini) - nembo ya kina freemason (kushoto)

1647556112335.jpeg
1647556349810.jpeg


Picha ya Vatican City ukiwa angani

1647556986496.jpeg


PICHA ZA NDANI KANISANI VATICAN

1647557058017.jpeg
1647557090843.jpeg


1647557800651.jpeg


1647557847589.jpeg


1647557956569.jpeg


1647557997210.jpeg


1647558027028.jpeg


1647558077503.jpeg


1647558100608.jpeg



Hapa tuone wazi - viongozi sio raia, viongozi sio waumini ndio wanatuendesha vibaya na kutupotosha... Mimi ni mjumbe tu - nilicholeta kilikuwepo nisilaumiwe kama vile naisema vibaya dini. La hasha, si nia yangu. Ukristo ni dini nzuri, na dini maana yake ni muumini unatakiwa kufuata misingi na matakwa ya dini, na sio matakwa ya mafarisayo. Unapotambua ukweli, wewe kama wewe, utakwenda sahihi hata kama mchungaji anapotoka. Ni wajibu wako kumuonyesha ukweli mwenzako ili nae aamue kivyake. Kuendeleza uongo ukishatambua kwa sababu ya kumuheshimu mchungaji ni dhambi. Kila mtu atahukumiwa pekee sio na mchungaji wake pembeni. Kunyoosha uumini wako ni kumkaribia Mungu wako. Kwa kweli nimeleta habari kama ushahidi wa kihistoria na wala sijaingia kwa dini.

Anaependa kuelewa hili swala kidini - unahitaji maana ya mafumbo afu linganisha maneno ya mistari na kilichotokea na kinachotokea duniani... Utafumbua fumbo. Danieli hakuelewa mafumbo, dunia yake ilikuwa bado ndogo sana yeye kuelewa... Kwa kifupi, maono ya Danieli biblia inayoongelea:
  • pembe 10 - dola ya urumi ilipoanza kubomoka - kwanza iligawanyika magharibi ulaya (wakatoliki) na mashariki (waorthodox). Iliitwa the great schism. Kisha magharibi ulaya wakagawanyika makabila OG 10. google makabila 10 baada ya dola ya urumi kuvunjwa... ukichimba historia, yako makabila 3 yalitekezwa kwa amri ya pembe
  • kiumbe wa nchi kavu - marekani ... hii dola itakuja kumsaidia kapembe kadogo kulazimisha j2 irudi ka takatif
  • pembe ndogo - papa... leo hii raisi wa nchi na kiongozi wa dini anaevuta watu dunia nzima kuliko raisi yeyote ni papa...
Nakuacha hapa ukitafakari... ama ukinichukia kwa sababu usizojua

Kaa chonjo - utaona papa analazimisha j2 iwe tukufu... akisaidiwa na mmarekani aliejidai dini na serikali haviingiliani.
 
Habari zengu wenzangu wanaJF.

Kwa staili tumekuwa tunazugwa kuhusu ukraine ni cha mtoto kulinganisha na hili nnalowaletea wenzangu. Nivumilieni mapicha mengi ila nataka mtambue picha halisia - na wenye hisia wapingane na ushahidi.

Naomba sote tuzingatie na tukumbuke kwamba warumi walirithi uabudu wa jua wa wababylonia - wale waliojenga mnara wa babeli. Tuzingatie warumi walitawala dunia kama dola yao.

Tukumbuke ni dola ya mwisho kutawala dunia, na ndio ilieneza itikadi, dini, na elimu yake hapa duniani... vitu ambavo vipo hadi leo hii. Kwa hiyo hapa tutambue hii dola haijafa ila iligawanyika kuwa mataifa madogo madogo yenye itikadi ile ile.

Leo hii kuna EU - muunganiko wa mataifa yaliounda dola ya warumi zamani - dola inarudi mdogo mdogo... Kibiblia - hii ni stori ya zile pembe kumi, tutaipitia baadae. La muhimu pia kuzingatia na kukumbuka - ni kwamba warumi walimsulubisha Yahsua (Yesu) na kuzidi kidogo miaka 300 baada ya Yahsua kupaa, waliendelea kutesa, kusulibisha, na kuua wakristo.

Walikuwa ni wapinzani wakuu kwa wakristo, na walikuwa wamejikita sana sana kuabudu jua - makanisa na sikukuu zao kibao. Baada ya hiyo miaka 300... mfalme wao ghafla kaamuru raia wote kubadili dini na kuwa wakristo - ndipo kuzaliwa kanisa la katoliki. Ni muhimu sana kutambua hawakujua moja wala mbili kuhusu ukristo, na 'walilazimishwa'.

Walijua zaidi upagani wa kuabudu jua, na walizoea mila za dini yao kamili gado. Kwa hiyo kanisani kupya mila za zamani ziliendelea - hata nyingine kuruhusiwa rasmi. Tunahitaji kukumbuka na kuzingatia kwamba kuna kipindi kirefu sana kanisa la katoliki na utawala wa kirumi vilikuwa kitu kimoja, ikimaanisha papa alikuwa mtawala anaeweza kuamrisha wafalme wa enzi zile.

Hii ndio sababu ya mfalme wa Uingereza kuanzisha Anglican, na Napoleon kumpindua papa. Papa alirudishiwa mamlaka na mfalme Charlemagne...

Swala la utawala wa kidini ni gumu hadi leo, na nchi nyingi haziruhusu. Dunia iliona mateso ya utawala wa kikatoliki na utawala wa kiislamu. Leo hii mfumo wa elimu unafunika funika ukweli huu - Vatican ni taifa na Rais wake ni papa.
Lina mabalozi nchi kadhaa pamoja na Umoja wa Mataifa umekaribisha Vatican. Inamaanisha papa ni raisi wa nchi ya Vatican na pia ni kiongozi wa kanisa la katoliki duniani. Hapa dini na serikali vimechanganyikana.

Hapo chini ni picha ya makao makuu ya EU (kushoto) na mnara wa babeli (kulia). Wanatamba wazi wameiga mjengo... kwa nini? Wameiga mjengo tu ama itikadi za Babylonia? ... cha kujiuliza

View attachment 2154733

chini ni picha ya nembo ya warumi - enzi za utawala wao wa dunia
View attachment 2154735

Angalia sasa alama za umoja wa mataifa na vyombo vyake...

View attachment 2154736
  • sitaingia sana kwenye maana zake - unaeza tafiti - ila kumbukeni dini za kipagani zilikuwa na mungu (mama na mtoto) ambacho kanisa flani lilirithi...
NADHANI SASA UNAGUNDUA HII UN YAO INAIGA MFANO GANI... yaani chunguza hata nchi zenye sauti ni zile za vitukuu vya dola ya kirumi. Yaani mrusi kwanza (ya zamani) na mchina wamevuruga mahesabu... na hawakuwemo kwenye mpango mama ila ilibidi waingizwe manake sababu haziwezi kuwa wazi ili kufanikisha mipango yao.

Marekani ni dola sasa hivi iliozaliwa na dola ya zamani ya kirumi. Kwa hiyo ujue haitoki nje sana na itikadi za dola ya kirumi. Moja ya hizo itikadi ni kulinda na kuwezesha mamlaka ya papa yaheshimike duniani.

Sasa tuangalie kwa kifupi ile dini OG ya warumi - dini ya kuabudu jua. Siku ya kusali ilikuwa SUNday (jumapili). Wakati huo huo, siku wakristo walisali ilikuwa Sabato (jumamosi) - tokea enzi za agano la kale na mwanzoni wakati wa agano jipya. Hapa naomba niwaonyeshe picha za ishara za waabudu jua

View attachment 2154750 View attachment 2154751

Sasa naomba tuangalie picha zinazotuonyesha itikadi za kanisa la warumi katoliki ambalo wamelifanya liwe kanisa mama duniani. Kumbukeni niliwaambia kabla ya ukatoliki walitokea wapi kidini...

Nembo ya mji wa Vatican (kulia chini) - nembo ya kina freemason (kushoto)

View attachment 2154757View attachment 2154761

Picha ya Vatican City ukiwa angani

View attachment 2154766

PICHA ZA NDANI KANISANI VATICAN

View attachment 2154767View attachment 2154768

View attachment 2154772

View attachment 2154774

View attachment 2154775

View attachment 2154776

View attachment 2154777

View attachment 2154778

View attachment 2154779


Hapa tuone wazi - viongozi sio raia, viongozi sio waumini ndio wanatuendesha vibaya na kutupotosha... Mimi ni mjumbe tu - nilicholeta kilikuwepo nisilaumiwe kama vile naisema vibaya dini. La hasha, si nia yangu. Ukristo ni dini nzuri, na dini maana yake ni muumini unatakiwa kufuata misingi na matakwa ya dini, na sio matakwa ya mafarisayo. Unapotambua ukweli, wewe kama wewe, utakwenda sahihi hata kama mchungaji anapotoka. Ni wajibu wako kumuonyesha ukweli mwenzako ili nae aamue kivyake. Kuendeleza uongo ukishatambua kwa sababu ya kumuheshimu mchungaji ni dhambi. Kila mtu atahukumiwa pekee sio na mchungaji wake pembeni. Kunyoosha uumini wako ni kumkaribia Mungu wako. Kwa kweli nimeleta habari kama ushahidi wa kihistoria na wala sijaingia kwa dini.

Anaependa kuelewa hili swala kidini - unahitaji maana ya mafumbo afu linganisha maneno ya mistari na kilichotokea na kinachotokea duniani... Utafumbua fumbo. Danieli hakuelewa mafumbo, dunia yake ilikuwa bado ndogo sana yeye kuelewa... Kwa kifupi, maono ya Danieli biblia inayoongelea:
  • pembe 10 - dola ya urumi ilipoanza kubomoka - kwanza iligawanyika magharibi ulaya (wakatoliki) na mashariki (waorthodox). Iliitwa the great schism. Kisha magharibi ulaya wakagawanyika makabila OG 10. google makabila 10 baada ya dola ya urumi kuvunjwa... ukichimba historia, yako makabila 3 yalitekezwa kwa amri ya pembe
  • kiumbe wa nchi kavu - marekani ... hii dola itakuja kumsaidia kapembe kadogo kulazimisha j2 irudi ka takatif
  • pembe ndogo - papa... leo hii raisi wa nchi na kiongozi wa dini anaevuta watu dunia nzima kuliko raisi yeyote ni papa...
Nakuacha hapa ukitafakari... ama ukinichukia kwa sababu usizojua

Kaa chonjo - utaona papa analazimisha j2 iwe tukufu... akisaidiwa na mmarekani aliejidai dini na serikali haviingiliani.
Mkuu shukruni sana

Ila ngoja kwanza nikuulize papa aliyeuliwa na Napoleon( na hapa kuwa specific ni wa Napoleon wa ngapi I,II, III) aliitwa nani?

Mfalme aliyefanya catholic kuwa dini ya warumi ni nani na kwa nini alifanya hivyo?

Unajua vita Kati ya babylonian, paganism na catholic ilikuwa lini na kilichopelekea ni nini?

Pamoja na kwamba siyo muumini wa dini, ila catholic haijawahi kuabudu jua, lazima ujue kutenganisha catholic, babylonian, paganism na utawala wa warumi, na nikwambie catholic haijatokana na dola ya warumi katoliki ilikuwepo hata kabla ya warumi.

Hizi heresy kuhusu catholic zimekuwepo na zitaendelea kuwepo na hiyo ni kawaida, nenda kasoma kuhusu cathars, crusaders,Messanger Assay, Nazis, prisoners in Vatican, borgias, Night of templors, witches, ottoman empire, prostantism, kingship in europe na ukatoliki kuanzia ancient period, kuja medieval hadi sasa modern era utapata majibu mazuri kwa nani haya yanaandikwa kuhusu Warumi na ukatoliki.

Hachana na hizi dini za sasa zinazoanzisha dots kama hizi ili zipate waumini wakusanye sadaka wale na wao, wengi walioanzisha hizi dini mpya ni kwa maslahi na siyo kwamba ni dini za kweli.

Kuhusu mamlaka ya mji wa vatican kasome Lateran treaty 1929, hakuna kitu kinachoitwa nchi au rais wa Vatican ilo inabidi ulielewe kwanza.

Bali kuna mamlaka ya mji wa vatican (vatican State), Vatican ni mamlaka iliyopo katikati ya mji mkuu wa chi ya Italy yaani Rome. Kwa nini Vatican ni holy city ni kwa sababu ni mji mtakatifu wa kanisa katoliki duniani (hii ni kwa sababu sait peter ambaye ndiyo muanzilisha wa kunisa katoliki alifikia hapo na ndipo alipouliwa na warumi), na ndipo yalipo makao makuu wa kiongozi wa kanisa katoliki duniani yaani pope, kama ambavyo makka ni mji mtakatifu wa muslims duniani.

Tangia karne ya kwanza hadi leo kanisa katoliki linapinga vikali uchawi, upagani, ushetani n.k japo linajua kwamba hivi vitu vipo, kuanzia miaka ya 1412 mpaka karne ya 17, catholic yametumi crusaders mbali mbali kwa kusaidiwa na tawala za kifalme europe kuua na kutesa vikali watu walioabudi shetani na paganism, pope Leo x, pope Callixtus I I, Urban I &II, pius I&II ni baadhi ya walipinga vikali upagani na kuabudu shetani.

Kingine hizo picha zisiwapumbaze hazina maana hiyo mnayofikiria nyinyi ambao mnapinga kanisa katoliki, kasome Renaissance of Vatican, Arts & Architect era in Vatican utastaajabu sana ndugu yangu na hutarudi kuamini hizi heresy bali utautafuta ukweli wewe mwenyewe, haya mapambo mnayoyaona na sanamu siyo kwa ajili ya kuabudu bali ni sanaa inayotumika kutunza na kuweka kumbukumbu ya matukio mbali mbali na kulipamba kanisa katoliki na moja wapo ya wahasisi ni pope Gregory III, Leo X na wengine.

Kwahiyo nimalizia kwa kusema papa siyo rais na Vatican siyo nchi msipotoshe watu, unaweza kupitia Lateran treaty 1929, Kati ya pope Pius III na Musolin waziri mkuu wa Italy wakati huo.
 
Mkuu shukruni sana

Ila ngoja kwanza nikuulize papa aliyeuliwa na Napoleon( na hapa kuwa specific ni wa Napoleon wa ngapi I,II, III) aliitwa nani?

Mfalme aliyefanya catholic kuwa dini ya warumi ni nani na kwa nini alifanya hivyo?

Unajua vita Kati ya babylonian, paganism na catholic ilikuwa lini na kilichopelekea ni nini?

Pamoja na kwamba siyo muumini wa dini, ila catholic haijawahi kuabudu jua, lazima ujue kutenganisha catholic, babylonian, paganism na utawala wa warumi, na nikwambie catholic haijatokana na dola ya warumi katoliki ilikuwepo hata kabla ya warumi.

Hizi heresy kuhusu catholic zimekuwepo na zitaendelea kuwepo na hiyo ni kawaida, nenda kasoma kuhusu cathars, crusaders,Messanger Assay, Nazis, prisoners in Vatican, borgias, Night of templors, witches, ottoman empire, prostantism, kingship in europe na ukatoliki kuanzia ancient period, kuja medieval hadi sasa modern era utapata majibu mazuri kwa nani haya yanaandikwa kuhusu Warumi na ukatoliki.

Hachana na hizi dini za sasa zinazoanzisha dots kama hizi ili zipate waumini wakusanye sadaka wale na wao, wengi walioanzisha hizi dini mpya ni kwa maslahi na siyo kwamba ni dini za kweli.

Kuhusu mamlaka ya mji wa vatican kasome Lateran treaty 1929, hakuna kitu kinachoitwa nchi au rais wa Vatican ilo inabidi ulielewe kwanza.

Bali kuna mamlaka ya mji wa vatican (vatican State), Vatican ni mamlaka iliyopo katikati ya mji mkuu wa chi ya Italy yaani Rome. Kwa nini Vatican ni holy city ni kwa sababu ni mji mtakatifu wa kanisa katoliki duniani (hii ni kwa sababu sait peter ambaye ndiyo muanzilisha wa kunisa katoliki alifikia hapo na ndipo alipouliwa na warumi), na ndipo yalipo makao makuu wa kiongozi wa kanisa katoliki duniani yaani pope, kama ambavyo makka ni mji mtakatifu wa muslims duniani.

Tangia karne ya kwanza hadi leo kanisa katoliki linapinga vikali uchawi, upagani, ushetani n.k japo linajua kwamba hivi vitu vipo, kuanzia miaka ya 1412 mpaka karne ya 17, catholic yametumi crusaders mbali mbali kwa kusaidiwa na tawala za kifalme europe kuua na kutesa vikali watu walioabudi shetani na paganism, pope Leo x, pope Callixtus I I, Urban I &II, pius I&II ni baadhi ya walipinga vikali upagani na kuabudu shetani.

Kingine hizo picha zisiwapumbaze hazina maana hiyo mnayofikiria nyinyi ambao mnapinga kanisa katoliki, kasome Renaissance of Vatican, Arts & Architect era in Vatican utastaajabu sana ndugu yangu na hutarudi kuamini hizi heresy bali utautafuta ukweli wewe mwenyewe, haya mapambo mnayoyaona na sanamu siyo kwa ajili ya kuabudu bali ni sanaa inayotumika kutunza na kuweka kumbukumbu ya matukio mbali mbali na kulipamba kanisa katoliki na moja wapo ya wahasisi ni pope Gregory III, Leo X na wengine.

Kwahiyo nimalizia kwa kusema papa siyo rais na Vatican siyo nchi msipotoshe watu, unaweza kupitia Lateran treaty 1929, Kati ya pope Pius III na Musolin waziri mkuu wa Italy wakati huo.
Umemjibu vema Kabisa but all in all dini tumeletewa muabudu Mwenyezi Mungu na umtii basi .
 
Mkuu shukruni sana

Ila ngoja kwanza nikuulize papa aliyeuliwa na Napoleon( na hapa kuwa specific ni wa Napoleon wa ngapi I,II, III) aliitwa nani?

Mfalme aliyefanya catholic kuwa dini ya warumi ni nani na kwa nini alifanya hivyo?

Unajua vita Kati ya babylonian, paganism na catholic ilikuwa lini na kilichopelekea ni nini?

Pamoja na kwamba siyo muumini wa dini, ila catholic haijawahi kuabudu jua, lazima ujue kutenganisha catholic, babylonian, paganism na utawala wa warumi, na nikwambie catholic haijatokana na dola ya warumi katoliki ilikuwepo hata kabla ya warumi.

Hizi heresy kuhusu catholic zimekuwepo na zitaendelea kuwepo na hiyo ni kawaida, nenda kasoma kuhusu cathars, crusaders,Messanger Assay, Nazis, prisoners in Vatican, borgias, Night of templors, witches, ottoman empire, prostantism, kingship in europe na ukatoliki kuanzia ancient period, kuja medieval hadi sasa modern era utapata majibu mazuri kwa nani haya yanaandikwa kuhusu Warumi na ukatoliki.

Hachana na hizi dini za sasa zinazoanzisha dots kama hizi ili zipate waumini wakusanye sadaka wale na wao, wengi walioanzisha hizi dini mpya ni kwa maslahi na siyo kwamba ni dini za kweli.

Kuhusu mamlaka ya mji wa vatican kasome Lateran treaty 1929, hakuna kitu kinachoitwa nchi au rais wa Vatican ilo inabidi ulielewe kwanza.

Bali kuna mamlaka ya mji wa vatican (vatican State), Vatican ni mamlaka iliyopo katikati ya mji mkuu wa chi ya Italy yaani Rome. Kwa nini Vatican ni holy city ni kwa sababu ni mji mtakatifu wa kanisa katoliki duniani (hii ni kwa sababu sait peter ambaye ndiyo muanzilisha wa kunisa katoliki alifikia hapo na ndipo alipouliwa na warumi), na ndipo yalipo makao makuu wa kiongozi wa kanisa katoliki duniani yaani pope, kama ambavyo makka ni mji mtakatifu wa muslims duniani.

Tangia karne ya kwanza hadi leo kanisa katoliki linapinga vikali uchawi, upagani, ushetani n.k japo linajua kwamba hivi vitu vipo, kuanzia miaka ya 1412 mpaka karne ya 17, catholic yametumi crusaders mbali mbali kwa kusaidiwa na tawala za kifalme europe kuua na kutesa vikali watu walioabudi shetani na paganism, pope Leo x, pope Callixtus I I, Urban I &II, pius I&II ni baadhi ya walipinga vikali upagani na kuabudu shetani.

Kingine hizo picha zisiwapumbaze hazina maana hiyo mnayofikiria nyinyi ambao mnapinga kanisa katoliki, kasome Renaissance of Vatican, Arts & Architect era in Vatican utastaajabu sana ndugu yangu na hutarudi kuamini hizi heresy bali utautafuta ukweli wewe mwenyewe, haya mapambo mnayoyaona na sanamu siyo kwa ajili ya kuabudu bali ni sanaa inayotumika kutunza na kuweka kumbukumbu ya matukio mbali mbali na kulipamba kanisa katoliki na moja wapo ya wahasisi ni pope Gregory III, Leo X na wengine.

Kwahiyo nimalizia kwa kusema papa siyo rais na Vatican siyo nchi msipotoshe watu, unaweza kupitia Lateran treaty 1929, Kati ya pope Pius III na Musolin waziri mkuu wa Italy wakati huo.
Umejibu vizuri sana..! Na huo ndo ukweli ambao watu wengi hawaujui. Bravo
 
Haya majamaa karibia yote yana ajenda moja;

Si Russia au USA wanajua wanachokifanya.

The sarpent is at his work, kiukweli tupo siku za mwisho.

Si muda Masihi atarudi
Wanazuga tu kwa sasa ila wote lengo ni 1
 
Za kuambiwa changanya na za kwako, tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Mkuu shukruni sana

Ila ngoja kwanza nikuulize papa aliyeuliwa na Napoleon( na hapa kuwa specific ni wa Napoleon wa ngapi I,II, III) aliitwa nani?

Mfalme aliyefanya catholic kuwa dini ya warumi ni nani na kwa nini alifanya hivyo?

Unajua vita Kati ya babylonian, paganism na catholic ilikuwa lini na kilichopelekea ni nini?

Pamoja na kwamba siyo muumini wa dini, ila catholic haijawahi kuabudu jua, lazima ujue kutenganisha catholic, babylonian, paganism na utawala wa warumi, na nikwambie catholic haijatokana na dola ya warumi katoliki ilikuwepo hata kabla ya warumi.

Hizi heresy kuhusu catholic zimekuwepo na zitaendelea kuwepo na hiyo ni kawaida, nenda kasoma kuhusu cathars, crusaders,Messanger Assay, Nazis, prisoners in Vatican, borgias, Night of templors, witches, ottoman empire, prostantism, kingship in europe na ukatoliki kuanzia ancient period, kuja medieval hadi sasa modern era utapata majibu mazuri kwa nani haya yanaandikwa kuhusu Warumi na ukatoliki.

Hachana na hizi dini za sasa zinazoanzisha dots kama hizi ili zipate waumini wakusanye sadaka wale na wao, wengi walioanzisha hizi dini mpya ni kwa maslahi na siyo kwamba ni dini za kweli.

Kuhusu mamlaka ya mji wa vatican kasome Lateran treaty 1929, hakuna kitu kinachoitwa nchi au rais wa Vatican ilo inabidi ulielewe kwanza.

Bali kuna mamlaka ya mji wa vatican (vatican State), Vatican ni mamlaka iliyopo katikati ya mji mkuu wa chi ya Italy yaani Rome. Kwa nini Vatican ni holy city ni kwa sababu ni mji mtakatifu wa kanisa katoliki duniani (hii ni kwa sababu sait peter ambaye ndiyo muanzilisha wa kunisa katoliki alifikia hapo na ndipo alipouliwa na warumi), na ndipo yalipo makao makuu wa kiongozi wa kanisa katoliki duniani yaani pope, kama ambavyo makka ni mji mtakatifu wa muslims duniani.

Tangia karne ya kwanza hadi leo kanisa katoliki linapinga vikali uchawi, upagani, ushetani n.k japo linajua kwamba hivi vitu vipo, kuanzia miaka ya 1412 mpaka karne ya 17, catholic yametumi crusaders mbali mbali kwa kusaidiwa na tawala za kifalme europe kuua na kutesa vikali watu walioabudi shetani na paganism, pope Leo x, pope Callixtus I I, Urban I &II, pius I&II ni baadhi ya walipinga vikali upagani na kuabudu shetani.

Kingine hizo picha zisiwapumbaze hazina maana hiyo mnayofikiria nyinyi ambao mnapinga kanisa katoliki, kasome Renaissance of Vatican, Arts & Architect era in Vatican utastaajabu sana ndugu yangu na hutarudi kuamini hizi heresy bali utautafuta ukweli wewe mwenyewe, haya mapambo mnayoyaona na sanamu siyo kwa ajili ya kuabudu bali ni sanaa inayotumika kutunza na kuweka kumbukumbu ya matukio mbali mbali na kulipamba kanisa katoliki na moja wapo ya wahasisi ni pope Gregory III, Leo X na wengine.

Kwahiyo nimalizia kwa kusema papa siyo rais na Vatican siyo nchi msipotoshe watu, unaweza kupitia Lateran treaty 1929, Kati ya pope Pius III na Musolin waziri mkuu wa Italy wakati huo.
Kuna kauli hapo juu umedai wew sio muumini wa dini, hii kauli mbona inatenzwa nguvu na mtiririko wako wa maelezo?
 
Habari zengu wenzangu wanaJF.

Kwa staili tumekuwa tunazugwa kuhusu ukraine ni cha mtoto kulinganisha na hili nnalowaletea wenzangu. Nivumilieni mapicha mengi ila nataka mtambue picha halisia - na wenye hisia wapingane na ushahidi.

Naomba sote tuzingatie na tukumbuke kwamba warumi walirithi uabudu wa jua wa wababylonia - wale waliojenga mnara wa babeli. Tuzingatie warumi walitawala dunia kama dola yao.

Tukumbuke ni dola ya mwisho kutawala dunia, na ndio ilieneza itikadi, dini, na elimu yake hapa duniani... vitu ambavo vipo hadi leo hii. Kwa hiyo hapa tutambue hii dola haijafa ila iligawanyika kuwa mataifa madogo madogo yenye itikadi ile ile.

Leo hii kuna EU - muunganiko wa mataifa yaliounda dola ya warumi zamani - dola inarudi mdogo mdogo... Kibiblia - hii ni stori ya zile pembe kumi, tutaipitia baadae. La muhimu pia kuzingatia na kukumbuka - ni kwamba warumi walimsulubisha Yahsua (Yesu) na kuzidi kidogo miaka 300 baada ya Yahsua kupaa, waliendelea kutesa, kusulibisha, na kuua wakristo.

Walikuwa ni wapinzani wakuu kwa wakristo, na walikuwa wamejikita sana sana kuabudu jua - makanisa na sikukuu zao kibao. Baada ya hiyo miaka 300... mfalme wao ghafla kaamuru raia wote kubadili dini na kuwa wakristo - ndipo kuzaliwa kanisa la katoliki. Ni muhimu sana kutambua hawakujua moja wala mbili kuhusu ukristo, na 'walilazimishwa'.

Walijua zaidi upagani wa kuabudu jua, na walizoea mila za dini yao kamili gado. Kwa hiyo kanisani kupya mila za zamani ziliendelea - hata nyingine kuruhusiwa rasmi. Tunahitaji kukumbuka na kuzingatia kwamba kuna kipindi kirefu sana kanisa la katoliki na utawala wa kirumi vilikuwa kitu kimoja, ikimaanisha papa alikuwa mtawala anaeweza kuamrisha wafalme wa enzi zile.

Hii ndio sababu ya mfalme wa Uingereza kuanzisha Anglican, na Napoleon kumpindua papa. Papa alirudishiwa mamlaka na mfalme Charlemagne...

Swala la utawala wa kidini ni gumu hadi leo, na nchi nyingi haziruhusu. Dunia iliona mateso ya utawala wa kikatoliki na utawala wa kiislamu. Leo hii mfumo wa elimu unafunika funika ukweli huu - Vatican ni taifa na Rais wake ni papa.
Lina mabalozi nchi kadhaa pamoja na Umoja wa Mataifa umekaribisha Vatican. Inamaanisha papa ni raisi wa nchi ya Vatican na pia ni kiongozi wa kanisa la katoliki duniani. Hapa dini na serikali vimechanganyikana.

Hapo chini ni picha ya makao makuu ya EU (kushoto) na mnara wa babeli (kulia). Wanatamba wazi wameiga mjengo... kwa nini? Wameiga mjengo tu ama itikadi za Babylonia? ... cha kujiuliza

View attachment 2154733

chini ni picha ya nembo ya warumi - enzi za utawala wao wa dunia
View attachment 2154735

Angalia sasa alama za umoja wa mataifa na vyombo vyake...

View attachment 2154736
  • sitaingia sana kwenye maana zake - unaeza tafiti - ila kumbukeni dini za kipagani zilikuwa na mungu (mama na mtoto) ambacho kanisa flani lilirithi...
NADHANI SASA UNAGUNDUA HII UN YAO INAIGA MFANO GANI... yaani chunguza hata nchi zenye sauti ni zile za vitukuu vya dola ya kirumi. Yaani mrusi kwanza (ya zamani) na mchina wamevuruga mahesabu... na hawakuwemo kwenye mpango mama ila ilibidi waingizwe manake sababu haziwezi kuwa wazi ili kufanikisha mipango yao.

Marekani ni dola sasa hivi iliozaliwa na dola ya zamani ya kirumi. Kwa hiyo ujue haitoki nje sana na itikadi za dola ya kirumi. Moja ya hizo itikadi ni kulinda na kuwezesha mamlaka ya papa yaheshimike duniani.

Sasa tuangalie kwa kifupi ile dini OG ya warumi - dini ya kuabudu jua. Siku ya kusali ilikuwa SUNday (jumapili). Wakati huo huo, siku wakristo walisali ilikuwa Sabato (jumamosi) - tokea enzi za agano la kale na mwanzoni wakati wa agano jipya. Hapa naomba niwaonyeshe picha za ishara za waabudu jua

View attachment 2154750 View attachment 2154751

Sasa naomba tuangalie picha zinazotuonyesha itikadi za kanisa la warumi katoliki ambalo wamelifanya liwe kanisa mama duniani. Kumbukeni niliwaambia kabla ya ukatoliki walitokea wapi kidini...

Nembo ya mji wa Vatican (kulia chini) - nembo ya kina freemason (kushoto)

View attachment 2154757View attachment 2154761

Picha ya Vatican City ukiwa angani

View attachment 2154766

PICHA ZA NDANI KANISANI VATICAN

View attachment 2154767View attachment 2154768

View attachment 2154772

View attachment 2154774

View attachment 2154775

View attachment 2154776

View attachment 2154777

View attachment 2154778

View attachment 2154779


Hapa tuone wazi - viongozi sio raia, viongozi sio waumini ndio wanatuendesha vibaya na kutupotosha... Mimi ni mjumbe tu - nilicholeta kilikuwepo nisilaumiwe kama vile naisema vibaya dini. La hasha, si nia yangu. Ukristo ni dini nzuri, na dini maana yake ni muumini unatakiwa kufuata misingi na matakwa ya dini, na sio matakwa ya mafarisayo. Unapotambua ukweli, wewe kama wewe, utakwenda sahihi hata kama mchungaji anapotoka. Ni wajibu wako kumuonyesha ukweli mwenzako ili nae aamue kivyake. Kuendeleza uongo ukishatambua kwa sababu ya kumuheshimu mchungaji ni dhambi. Kila mtu atahukumiwa pekee sio na mchungaji wake pembeni. Kunyoosha uumini wako ni kumkaribia Mungu wako. Kwa kweli nimeleta habari kama ushahidi wa kihistoria na wala sijaingia kwa dini.

Anaependa kuelewa hili swala kidini - unahitaji maana ya mafumbo afu linganisha maneno ya mistari na kilichotokea na kinachotokea duniani... Utafumbua fumbo. Danieli hakuelewa mafumbo, dunia yake ilikuwa bado ndogo sana yeye kuelewa... Kwa kifupi, maono ya Danieli biblia inayoongelea:
  • pembe 10 - dola ya urumi ilipoanza kubomoka - kwanza iligawanyika magharibi ulaya (wakatoliki) na mashariki (waorthodox). Iliitwa the great schism. Kisha magharibi ulaya wakagawanyika makabila OG 10. google makabila 10 baada ya dola ya urumi kuvunjwa... ukichimba historia, yako makabila 3 yalitekezwa kwa amri ya pembe
  • kiumbe wa nchi kavu - marekani ... hii dola itakuja kumsaidia kapembe kadogo kulazimisha j2 irudi ka takatif
  • pembe ndogo - papa... leo hii raisi wa nchi na kiongozi wa dini anaevuta watu dunia nzima kuliko raisi yeyote ni papa...
Nakuacha hapa ukitafakari... ama ukinichukia kwa sababu usizojua

Kaa chonjo - utaona papa analazimisha j2 iwe tukufu... akisaidiwa na mmarekani aliejidai dini na serikali haviingiliani.
picha ya mnara wa babeli alipiga nan?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom