natumbaku Chambeho
JF-Expert Member
- Aug 27, 2014
- 551
- 209
Wanatisha usiombe kukutana nao hawa panya wa barabarani. Mimi nimewaona meno yao kama ngiri, nimejaribu kupiga picha camera haiwanasi, Muda huu wanakatiza hapa nanjilinji ni zahiri wanaelekea msumbiji.