Mk54
JF-Expert Member
- Dec 29, 2016
- 1,997
- 3,937
Pamoja na KUTOLEWA, Simba imecheza Classic Game. CONGRATULATIONS.
MAPENDEKEZO
1. Gomes ni Kocha Mzuri, Simba iendelee nae.
2. Nadhani Simba itafute Forward mwenye UWEZO na MBINU.
Mugalu HAPANA, ni BIG NO ! Mugalu hana TALENT ya mpira kama Morrison au Luis.Nunueni forward mwenye uwezo wa kufunga goli kwenye IMPOSSIBLE ANGLES. That is what Simba lacks.
3. Usajili wa Beki UZINGATIE na VIMO. Kuwe na AverageHEIGHT angalau 178 cm tall .
Djuma Shabani.
4. Nadhani pia Wawa ameshaanza KUCHOKA, mtaangalia namna ya kufanya nyie wenyewe.
5. Manula na CHAMA wanahitaji msaidizi, pengine bora zaid yao. Chama ni bishoo kama yule Bwalya wa Ahly, hawapaswi kucheza dakika 90 , kuna moment wanazi cost timu sana. REPLACEMENT AT SOME POINT ni lazima.
6. Kikosi KISIBOMOLEWE, wachezaji kama Morrison, Luis, Bwalya , Chama, Gomes na wale wengine ambao ni CREAMS WASIUZWE. Makosa haya yalifanywa na As Vita na MAZEMBE,? Building CHEMISTRY iliyopo sasa sio kazi ya OVERNIGHT. kikosi kiboreshwe maeneo MUHIMU tu
7. RIPOTI ya kocha juu ya mapendekezo yake kuhusu REFORMS ya timu IHESHIMIWE. Simba mnatabia ya KUCHAMBIA recommandations za makocha.
———————————
Utopolo wenzangu tupunguze majungu , mpira wa sasa sio blah blah ni INVESTMENT na STRUCTURE, sio kulalamika lalamika kama mke aliye TALIKIWA. Simba mpaka sasa kaingiza Bilioni zaidi ya 3 , sisi UTOPOLO tumeingiza ngapi,?
Uwezekano wa SIMBA SC kucheza tena Robo fainali mwakani ni zaidi ya asilimia 60%, sisi UTOPOLO ni ngapi....? Ifike mahali YANGA tu FOCUS kwenye mambo ya MSINGI, MPIRA NI BUSINESS, otherwise tutaendelea kuwaangalia SIMBA wakila CAKE ya CAF kila mwaka.
Mwisho, Nawapongeza sana SIMBA SC, wachezaji na benchi la ufundi for the good fight na kuendelea kutujengea HESHIMA ya SOKA letu EAST AFRICA. tumeona leo Cavin Hunt alivyokuwa anasali sala zote mpira uishe, KICHEKO CHA DHARAU KILIPOTEA LEO , hii ni ishara GOMES akipewa uwezo , hakika anaipeleka SIMBA fainali, time will tell!
MAPENDEKEZO
1. Gomes ni Kocha Mzuri, Simba iendelee nae.
2. Nadhani Simba itafute Forward mwenye UWEZO na MBINU.
Mugalu HAPANA, ni BIG NO ! Mugalu hana TALENT ya mpira kama Morrison au Luis.Nunueni forward mwenye uwezo wa kufunga goli kwenye IMPOSSIBLE ANGLES. That is what Simba lacks.
3. Usajili wa Beki UZINGATIE na VIMO. Kuwe na AverageHEIGHT angalau 178 cm tall .
Djuma Shabani.
4. Nadhani pia Wawa ameshaanza KUCHOKA, mtaangalia namna ya kufanya nyie wenyewe.
5. Manula na CHAMA wanahitaji msaidizi, pengine bora zaid yao. Chama ni bishoo kama yule Bwalya wa Ahly, hawapaswi kucheza dakika 90 , kuna moment wanazi cost timu sana. REPLACEMENT AT SOME POINT ni lazima.
6. Kikosi KISIBOMOLEWE, wachezaji kama Morrison, Luis, Bwalya , Chama, Gomes na wale wengine ambao ni CREAMS WASIUZWE. Makosa haya yalifanywa na As Vita na MAZEMBE,? Building CHEMISTRY iliyopo sasa sio kazi ya OVERNIGHT. kikosi kiboreshwe maeneo MUHIMU tu
7. RIPOTI ya kocha juu ya mapendekezo yake kuhusu REFORMS ya timu IHESHIMIWE. Simba mnatabia ya KUCHAMBIA recommandations za makocha.
———————————
Utopolo wenzangu tupunguze majungu , mpira wa sasa sio blah blah ni INVESTMENT na STRUCTURE, sio kulalamika lalamika kama mke aliye TALIKIWA. Simba mpaka sasa kaingiza Bilioni zaidi ya 3 , sisi UTOPOLO tumeingiza ngapi,?
Uwezekano wa SIMBA SC kucheza tena Robo fainali mwakani ni zaidi ya asilimia 60%, sisi UTOPOLO ni ngapi....? Ifike mahali YANGA tu FOCUS kwenye mambo ya MSINGI, MPIRA NI BUSINESS, otherwise tutaendelea kuwaangalia SIMBA wakila CAKE ya CAF kila mwaka.
Mwisho, Nawapongeza sana SIMBA SC, wachezaji na benchi la ufundi for the good fight na kuendelea kutujengea HESHIMA ya SOKA letu EAST AFRICA. tumeona leo Cavin Hunt alivyokuwa anasali sala zote mpira uishe, KICHEKO CHA DHARAU KILIPOTEA LEO , hii ni ishara GOMES akipewa uwezo , hakika anaipeleka SIMBA fainali, time will tell!