Amosam
Senior Member
- Jan 15, 2009
- 154
- 5
Jamani nimejaribu kulizuia lakini fupa limenishinda kukaa mdomoni kwani kuendelea kuwa nalo linaweza kunikwama hivyo nahitaji ufafanuzi juu ya methali maarufu ya kuswahili isemayo 'KAFIRI AKUFAAE SI MUISLAM HASIYEKUFAA'.Kutokana na maudhui ya methali hii yaonyesha wazi kuwa kuna makundi mawili tuu ya kiimani yaani 'Makafiri na Waislam'.Swali langu kama hivyo ni kweli je sisi 'raia wa roma'(roman catholics),angalicans,lutherans,full gospal fellowships,pentecostes,n.k tutakuwa upande gani kati ya hizo imani mbili?
Naomba wachangie watu wenye upeo wa mambo tuu na si kila asomae kwani kusoma sana si kuelimika!
Naomba wachangie watu wenye upeo wa mambo tuu na si kila asomae kwani kusoma sana si kuelimika!