themagnificient
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 988
- 3,318
Kwa msiojua keaho kutakuwa na pambano la ngumi Kati ya Seleman kidunda na Asemalle Wellem wa South Africa,Huyu Asemalle ndio alitoka kumchapa juzi hapo Twaha kiduku ni moja ya mabondia wazuri sana
Nachoomba majaji wa Tanzania mpunguze mbeleko kubeba beba watu hivyo hata wakupigwa, Tunataka pambano la haki
================
Niliyotoka kuyasema juzi yametimia pambano zima kudunda kachakazwa ila majaji wamesema ni Draw
Nachoomba majaji wa Tanzania mpunguze mbeleko kubeba beba watu hivyo hata wakupigwa, Tunataka pambano la haki
================
Niliyotoka kuyasema juzi yametimia pambano zima kudunda kachakazwa ila majaji wamesema ni Draw