Pains Over My Sister’s Pregnancy For My Husband…

firstlady,
WHO IS TO BLAME HERE?

Very simple T, ni yule aliyefuga panya kwenye debe la unga. Alitegemea kulikuta limejaa? Kama limejaa au la hayo ndiyo malipo ya kazi zi yake.

FL1, kilema cha ukubwani hakikimbiwi. Unakivumilia hadi unakufa nacho. Huyo dada akubali matokeo na aanze kujipanga kwa maisha bada ya hii turning point. Kama mila zinaruhusu (kama kule kwetu) basi huyo shemji yetu mwenye tamaaa ya fisi aachwe awababe wote wawili.

Ila kwa akina mama wengine, ...ni hatari kukaribisha mwanamke yeyote kwako hata kama ni wifi yako. Nyamayao alishasema kuwa, mwanamume ni kiumbe anayeweza kuaminiwa na kuwa na staha endapo kile kichwa kingine hakijaanza vurugu. Vinginevyo anakuwa mnyama kama wale wengine wa porini tunaowajua.
 
kuna mambo yanaumiza sana maishani jamani, mojawapo ni hili, hapo hakuna undugu hakuna mume...mbona huyo mdogo kawa na jeuri hivyo kweli anadhubutu kumuona dadake anateseka hivyo juu yake? mambo mengine ni laana tupu.

Nakwambia maajabu hayataisha duniani Nyamayao... inaumiza sana naona siku hizi hakuna undugu amani imekwisha kwenye familia zetu
 
hivi vitu vipo nimewahi kuona kesi kama hii mtu alizaa na mdogo wa mke wake na baada ya mke kumtimua mdogo wake jamaa akampangia chumba akawa anaendelea, wale wanandoa walikuwa na migogoro mpaka watoto wao wakaathirika kisaikolojia darasani kuna mmoja alikuwa 3 akadrop mpaka wa pili kutoka mwisho ikabidi ndugu zao waje kuwachukua watoto na mkubwa kabisa akapelekwa boarding. Ilikuwa utata mkubwa sana halafu yule m/ume haelewi yaani ndg wanakuja kusuluhisha kutoka mikoani wanafikia kwake wanakaa kikao mchana jamaa jioni anaenda kwa mdogo mtu anarudi kesho yake tena sio asubuhi maana akitoka huko anaunganisha job anarudi jioni na nguo amebadilishia huko huko

Ila mpaka leo wale wanandoa wako pamoja na yule jamaa alimzalisha mdogo mtu watoto wawili
 
pole FL kwa yaliyokupata mshirikishe mungu ila wewe ulijitakia kwanini ulimruhusu mdogo wako awe anaenda na mumeo out tena akiwa amevaa nguo tatanishi?

Hata ukimtimua mumeo atampangia nyumba na kuwa nyumba ndogo halali kwa hiyo washirikishe wazazi wenu kwenye hila jambo hapa JF utaambiwa mengi
Pole sana FL japo unakata kuwa siyo wewe haiwezekani kila mleta mada ya kuomba msaada awe anakataa kuwa siyo yeye ni ya mtu mwingne kwa hiyo ninakubaliana na utashi wangu kuwa suala hili ni lako na naomba usikanushe!!

Si mimi naapa mbele za mungu si mimi AK siombei yanifike haya kwani ni mazito kwangu pale nitakapokuwa nikimtizama mdogo wangu na mme wangu ..eeeh mungu nipishie mbali hiki kikombe ni kizito sana:sleepy:
 
hilo tatizo ni kubwa sana na ni la kudumu maana huwezi kulikimbia liko ndani ya familia tayari hata ukiachana na mume wako bado mdogo wako amezaa nae utakutana nae kila siku na kuzidi kuuchoma moyo wako na kila umwonapo mtoto atakayezaliwa utatoneshwa yale maumivu ya kusalitiwa

Hapo cha maana ni huyo mke kuomba talaka, na kama akihamua kukomaa basi atakuwa na moyo wa chuma ila mapenzi kwa mumewe sidhani kama yataendelea kama awali

Ili swala ni gumu sana hapo ndio utaona umuhimu wa wazazi kama unao kuja kusuruisha maana linahitaji busara ya wazee ambao wameona mengi na kuyatatua kwa njia tofauti tofauti ila ni mtihani mkubwa sana

mimi ni roho ya paka sana ila hii topiki imenisononesha na kujikuta namuonea huruma sana aliyetendewa maana kovu lake aliwezi kufutika milele

kaka hata kama wapo hapa napo kwa upande wao ni pagumu, hivi wasuluhishe nini wakakti mdogo mtu ana kiburi na wanafurahia kitendo alichokitenda?..ni issue ya dada mtu kuwaaacha waendelee mana ukisema unasamehe kumbuka hawa hawataachana, mume anahitajika kumtunza mtoto wake na kumtunza na mdogo wangu pia, familia mbili ndugu moja mnatumiwa na mwanaume mmoja...mbaya kabisa na haya magonjwa cjui kama mdada alicheki afya kabla ya kuamua kubeba hiyo mimba...
 
hivi vitu vipo nimewahi kuona kesi kama hii mtu alizaa na mdogo wa mke wake na baada ya mke kumtimua mdogo wake jamaa akampangia chumba akawa anaendelea, wale wanandoa walikuwa na migogoro mpaka watoto wao wakaathirika kisaikolojia darasani kuna mmoja alikuwa 3 akadrop mpaka wa pili kutoka mwisho ikabidi ndugu zao waje kuwachukua watoto na mkubwa kabisa akapelekwa boarding. Ilikuwa utata mkubwa sana halafu yule m/ume haelewi yaani ndg wanakuja kusuluhisha kutoka mikoani wanafikia kwake wanakaa kikao mchana jamaa jioni anaenda kwa mdogo mtu anarudi kesho yake tena sio asubuhi maana akitoka huko anaunganisha job anarudi jioni na nguo amebadilishia huko huko

Ila mpaka leo wale wanandoa wako pamoja na yule jamaa alimzalisha mdogo mtu watoto wawili

Duuuh haya mambo mazito loh:mad2:
 
Very simple T, ni yule aliyefuga panya kwenye debe la unga. Alitegemea kulikuta limejaa? Kama limejaa au la hayo ndiyo malipo ya kazi zi yake.

FL1, kilema cha ukubwani hakikimbiwi. Unakivumilia hadi unakufa nacho. Huyo dada akubali matokeo na aanze kujipanga kwa maisha bada ya hii turning point. Kama mila zinaruhusu (kama kule kwetu) basi huyo shemji yetu mwenye tamaaa ya fisi aachwe awababe wote wawili.

Ila kwa akina mama wengine, ...ni hatari kukaribisha mwanamke yeyote kwako hata kama ni wifi yako. Nyamayao alishasema kuwa, mwanamume ni kiumbe anayeweza kuaminiwa na kuwa na staha endapo kile kichwa kingine hakijaanza vurugu. Vinginevyo anakuwa mnyama kama wale wengine wa porini tunaowajua.
loud and clear!......
hapo ndipo wanawake hutofautiana katika kufanya final-judgement!

from nowhere MWANAMKE NA AKILI ZAKE TIMAMU TENA AT THE AGES OF 30'S(umri ambao wanakuwa very active)....!anapaa kwenda uingereza KUFANYA MBA...!anamuacha jamaa home,tz tena anamleta mdogo wake awe anaishi hapo kuiangalia familia...!halafu anategemea patakuwa ''safe''
 
kwakweli wakina mama kuna parameters ambazo technically huwa hamuziangalii IN THREE DIMENSIONS......!

unamletea mtu ''mboga'' nyumbani,tena kwenye kipindi ambacho ''una mtoto mmoja tayari...''

ndo maana mi huwa nadiskareji sana hii HOUSEGIRL MATERIAL na upuuzi wake wote...!lakini wake zetu hawaelewi!

unajua ''INFIDELITY'' is NATURALLY THERE!....
IT IS THERE TO STAY!....ukiijengea mazingira tu,kwishnehi

sasa jamani niwe muoga hata kwa ndugu yangu wa kuzaliwa?.....
 
kaka hata kama wapo hapa napo kwa upande wao ni pagumu, hivi wasuluhishe nini wakakti mdogo mtu ana kiburi na wanafurahia kitendo alichokitenda?..ni issue ya dada mtu kuwaaacha waendelee mana ukisema unasamehe kumbuka hawa hawataachana, mume anahitajika kumtunza mtoto wake na kumtunza na mdogo wangu pia, familia mbili ndugu moja mnatumiwa na mwanaume mmoja...mbaya kabisa na haya magonjwa cjui kama mdada alicheki afya kabla ya kuamua kubeba hiyo mimba...


Nyamayao kama ni wewe unafanyaje mpendwa ???
 
Habari wana JF
Naomba msaada maana hapa nilipo nimekaribia kuchanganyikiwa baada ya kutendwa na mtu niliyempenda na kumuamini sana hapa duniani....
Mimi ni mama wa mtoto mmoja lakini nina majonzi sana kisa kimeanza pale nilipomkaribisha mdogo wangu wa tumbo moja aje kukaa na mie kumbe mme wangu akaanza kutoka nae ...,hii imepelekea mdogo wangu kubeba mimba miezi 6 sasa nilipomuuliza ya nani akasema ni ya mtu iko siku nitamuona ..nilipomuomba amlete ili mme wangu amuone akadai ni pacha wa mme wangu..mara akaanza dharau kwangu nilipoendelea kumuhoji kwa kumtishia nimrudishe kijijini ndipo alipodai mimba ya mme wangu.....
Nilipomuuliza mme wangu alianza kulia na kudai nimsamehe sana amejaribu sana kumwambia mdogo wangu akatoe hiyo mimba ili asiniumize pale nitakapogundua lakini mdogo wangu alikataa na kudai amepata alichokua anakihitaji
Natamani kuikimbia hii ndoa iliyodumu kwa 12 years
Naomba msaada wenu ndugu zangu
NB : Sio mie FL1 na mama mwenzetu muathirika wa ndoa:A S embarassed:

Huyu mwanaume ni bazazi kwanza sasa analia nini? Wakati anatenda hilo kosa alijua fika matatizo ambayo atakutana nayo at the same time vile vile alipokuwa anatembea na mdogo wa mkewe alijua kitendo hicho madhara yake mbeleni ni makubwa sasa anapomuomba msamaha mke wake itasaidia kitu gani sababu kama ni mimba tayari huyo mdogo wake mkewe ameishaishika nafikiri swala liwekwe wazi ziitwe pande zote mbili upande wa wazazi wa mwanamke na mwanaume waelezwe kilichotokea then hapo ndipo yatakapotolewa maamuzi.

Huyu mdogo wake mke wa huyu bwana anaposema amepata alichokuwa anahitaji ni kwamba alikuwa anahitaji mimba kutoka kwa mume wa dada yake mbona dunia imeishia hiii MUNGU NAOMBA UTUEPUSHE NA MABALAA HAYA
 
Si mimi naapa mbele za mungu si mimi AK siombei yanifike haya kwani ni mazito kwangu pale nitakapokuwa nikimtizama mdogo wangu na mme wangu ..eeeh mungu nipishie mbali hiki kikombe ni kizito sana:sleepy:

mie na imagine jinc ningevyobaki yatima kwenye hii duni pindi ningemfanyia hivi sis wangu, mana tupo wawili, unafanya hivi unamtanguliza yeye ahera kesho yake maam nyamayao..keshokutwa li mwanaume lililokufanya ukafanya upuuzi linakuacha....GOD FORBID.
 
sasa jamani niwe muoga hata kwa ndugu yangu wa kuzaliwa?.....
unajua dada lake mimi naomba uamini hivyo!
nakushauri uwe makini na hilo zaidi kwasababu litakuletea aibu kubwa kwenye familia!

ni kitu kinachowezekana kabisa!
kule BBA si umeona ule uchuro wa yule kijana aliyekiri kuwa alishawahi kuwa na mahusiano ''ya kimapenzi'' na mama na mwanae KWA WAKATI MMOJA
 
Ni kweli dada anaweza kumtimua na je maumivu ya moyo yatakwisha vip akimtizama huyo mmewe

Hiki ni kitu ambacho huyu mwanamke hatoweza kukisahau maisha mwake no matter what you do to her kumfanya ajisikie yamekwisha agange yajayo kuna vitu vingine its too hard to swallow them and you say kwamba i will forget yes you can forgive but that stays in your mind forever
 
unajua dada lake mimi naomba uamini hivyo!
nakushauri uwe makini na hilo zaidi kwasababu litakuletea aibu kubwa kwenye familia!

ni kitu kinachowezekana kabisa!
kule BBA si umeona ule uchuro wa yule kijana aliyekiri kuwa alishawahi kuwa na mahusiano ''ya kimapenzi'' na mama na mwanae KWA WAKATI MMOJA

Umeona eheee hata mimi ile statement nilipigwa na butwaa
 
Nyamayao kama ni wewe unafanyaje mpendwa ???

ningewaacha waendee na maisha na nina wac wac na undugu wangu kuendelea na huyo ndugu yangu...mume ndio ctaki hata kumuongelea coz huyo nicngempa hata sec kumruhusu kumuona mbele ya macho yangu...hili lickufike kabisa, hata ukisema unamsamehe mume bado familia ya mume haitaacha vimaneno, yani mtaonekana kama mbwa kasoro mkia.....hapana ni ngumu hii.
 
kaka hata kama wapo hapa napo kwa upande wao ni pagumu, hivi wasuluhishe nini wakakti mdogo mtu ana kiburi na wanafurahia kitendo alichokitenda?..ni issue ya dada mtu kuwaaacha waendelee mana ukisema unasamehe kumbuka hawa hawataachana, mume anahitajika kumtunza mtoto wake na kumtunza na mdogo wangu pia, familia mbili ndugu moja mnatumiwa na mwanaume mmoja...mbaya kabisa na haya magonjwa cjui kama mdada alicheki afya kabla ya kuamua kubeba hiyo mimba...

Kweli dada. Itakuwa ni kupoteza muda na resources kuanza kusafirisha ndugu (au hata hawatakiwi kusafiri) ili kuja kusuluhisha jambo ambalo limeshapitiliza. Kama ni mgonjwa tayari keshafariki. Kwa hiyo uamuzi anao huyo dada. Hata hivyo anaihitaji msaada wa Roho wa Bwana ili afikie uamuzi wa busara kabla hajakata koo la mdogo wake au kusaga balls za huyo mume.
 
Back
Top Bottom