funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,562
- 21,042
swali zuri sanaNi kweli dada anaweza kumtimua na je maumivu ya moyo yatakwisha vip akimtizama huyo mmewe
swali zuri sanaNi kweli dada anaweza kumtimua na je maumivu ya moyo yatakwisha vip akimtizama huyo mmewe
firstlady,
WHO IS TO BLAME HERE?
Sa kila siku maharage tuuuuuu akibadilisha tembele,,,,unategemea nini.
kuna mambo yanaumiza sana maishani jamani, mojawapo ni hili, hapo hakuna undugu hakuna mume...mbona huyo mdogo kawa na jeuri hivyo kweli anadhubutu kumuona dadake anateseka hivyo juu yake? mambo mengine ni laana tupu.
pole FL kwa yaliyokupata mshirikishe mungu ila wewe ulijitakia kwanini ulimruhusu mdogo wako awe anaenda na mumeo out tena akiwa amevaa nguo tatanishi?
Hata ukimtimua mumeo atampangia nyumba na kuwa nyumba ndogo halali kwa hiyo washirikishe wazazi wenu kwenye hila jambo hapa JF utaambiwa mengi
Pole sana FL japo unakata kuwa siyo wewe haiwezekani kila mleta mada ya kuomba msaada awe anakataa kuwa siyo yeye ni ya mtu mwingne kwa hiyo ninakubaliana na utashi wangu kuwa suala hili ni lako na naomba usikanushe!!
hilo tatizo ni kubwa sana na ni la kudumu maana huwezi kulikimbia liko ndani ya familia tayari hata ukiachana na mume wako bado mdogo wako amezaa nae utakutana nae kila siku na kuzidi kuuchoma moyo wako na kila umwonapo mtoto atakayezaliwa utatoneshwa yale maumivu ya kusalitiwa
Hapo cha maana ni huyo mke kuomba talaka, na kama akihamua kukomaa basi atakuwa na moyo wa chuma ila mapenzi kwa mumewe sidhani kama yataendelea kama awali
Ili swala ni gumu sana hapo ndio utaona umuhimu wa wazazi kama unao kuja kusuruisha maana linahitaji busara ya wazee ambao wameona mengi na kuyatatua kwa njia tofauti tofauti ila ni mtihani mkubwa sana
mimi ni roho ya paka sana ila hii topiki imenisononesha na kujikuta namuonea huruma sana aliyetendewa maana kovu lake aliwezi kufutika milele
hivi vitu vipo nimewahi kuona kesi kama hii mtu alizaa na mdogo wa mke wake na baada ya mke kumtimua mdogo wake jamaa akampangia chumba akawa anaendelea, wale wanandoa walikuwa na migogoro mpaka watoto wao wakaathirika kisaikolojia darasani kuna mmoja alikuwa 3 akadrop mpaka wa pili kutoka mwisho ikabidi ndugu zao waje kuwachukua watoto na mkubwa kabisa akapelekwa boarding. Ilikuwa utata mkubwa sana halafu yule m/ume haelewi yaani ndg wanakuja kusuluhisha kutoka mikoani wanafikia kwake wanakaa kikao mchana jamaa jioni anaenda kwa mdogo mtu anarudi kesho yake tena sio asubuhi maana akitoka huko anaunganisha job anarudi jioni na nguo amebadilishia huko huko
Ila mpaka leo wale wanandoa wako pamoja na yule jamaa alimzalisha mdogo mtu watoto wawili
loud and clear!......Very simple T, ni yule aliyefuga panya kwenye debe la unga. Alitegemea kulikuta limejaa? Kama limejaa au la hayo ndiyo malipo ya kazi zi yake.
FL1, kilema cha ukubwani hakikimbiwi. Unakivumilia hadi unakufa nacho. Huyo dada akubali matokeo na aanze kujipanga kwa maisha bada ya hii turning point. Kama mila zinaruhusu (kama kule kwetu) basi huyo shemji yetu mwenye tamaaa ya fisi aachwe awababe wote wawili.
Ila kwa akina mama wengine, ...ni hatari kukaribisha mwanamke yeyote kwako hata kama ni wifi yako. Nyamayao alishasema kuwa, mwanamume ni kiumbe anayeweza kuaminiwa na kuwa na staha endapo kile kichwa kingine hakijaanza vurugu. Vinginevyo anakuwa mnyama kama wale wengine wa porini tunaowajua.
kwakweli wakina mama kuna parameters ambazo technically huwa hamuziangalii IN THREE DIMENSIONS......!
unamletea mtu ''mboga'' nyumbani,tena kwenye kipindi ambacho ''una mtoto mmoja tayari...''
ndo maana mi huwa nadiskareji sana hii HOUSEGIRL MATERIAL na upuuzi wake wote...!lakini wake zetu hawaelewi!
unajua ''INFIDELITY'' is NATURALLY THERE!....
IT IS THERE TO STAY!....ukiijengea mazingira tu,kwishnehi
kaka hata kama wapo hapa napo kwa upande wao ni pagumu, hivi wasuluhishe nini wakakti mdogo mtu ana kiburi na wanafurahia kitendo alichokitenda?..ni issue ya dada mtu kuwaaacha waendelee mana ukisema unasamehe kumbuka hawa hawataachana, mume anahitajika kumtunza mtoto wake na kumtunza na mdogo wangu pia, familia mbili ndugu moja mnatumiwa na mwanaume mmoja...mbaya kabisa na haya magonjwa cjui kama mdada alicheki afya kabla ya kuamua kubeba hiyo mimba...
Habari wana JF
Naomba msaada maana hapa nilipo nimekaribia kuchanganyikiwa baada ya kutendwa na mtu niliyempenda na kumuamini sana hapa duniani....
Mimi ni mama wa mtoto mmoja lakini nina majonzi sana kisa kimeanza pale nilipomkaribisha mdogo wangu wa tumbo moja aje kukaa na mie kumbe mme wangu akaanza kutoka nae ...,hii imepelekea mdogo wangu kubeba mimba miezi 6 sasa nilipomuuliza ya nani akasema ni ya mtu iko siku nitamuona ..nilipomuomba amlete ili mme wangu amuone akadai ni pacha wa mme wangu..mara akaanza dharau kwangu nilipoendelea kumuhoji kwa kumtishia nimrudishe kijijini ndipo alipodai mimba ya mme wangu.....
Nilipomuuliza mme wangu alianza kulia na kudai nimsamehe sana amejaribu sana kumwambia mdogo wangu akatoe hiyo mimba ili asiniumize pale nitakapogundua lakini mdogo wangu alikataa na kudai amepata alichokua anakihitaji
Natamani kuikimbia hii ndoa iliyodumu kwa 12 years
Naomba msaada wenu ndugu zangu
NB : Sio mie FL1 na mama mwenzetu muathirika wa ndoa:A S embarassed:
Si mimi naapa mbele za mungu si mimi AK siombei yanifike haya kwani ni mazito kwangu pale nitakapokuwa nikimtizama mdogo wangu na mme wangu ..eeeh mungu nipishie mbali hiki kikombe ni kizito sana:sleepy:
unajua dada lake mimi naomba uamini hivyo!sasa jamani niwe muoga hata kwa ndugu yangu wa kuzaliwa?.....
Ni kweli dada anaweza kumtimua na je maumivu ya moyo yatakwisha vip akimtizama huyo mmewe
unajua dada lake mimi naomba uamini hivyo!
nakushauri uwe makini na hilo zaidi kwasababu litakuletea aibu kubwa kwenye familia!
ni kitu kinachowezekana kabisa!
kule BBA si umeona ule uchuro wa yule kijana aliyekiri kuwa alishawahi kuwa na mahusiano ''ya kimapenzi'' na mama na mwanae KWA WAKATI MMOJA
Nyamayao kama ni wewe unafanyaje mpendwa ???
kaka hata kama wapo hapa napo kwa upande wao ni pagumu, hivi wasuluhishe nini wakakti mdogo mtu ana kiburi na wanafurahia kitendo alichokitenda?..ni issue ya dada mtu kuwaaacha waendelee mana ukisema unasamehe kumbuka hawa hawataachana, mume anahitajika kumtunza mtoto wake na kumtunza na mdogo wangu pia, familia mbili ndugu moja mnatumiwa na mwanaume mmoja...mbaya kabisa na haya magonjwa cjui kama mdada alicheki afya kabla ya kuamua kubeba hiyo mimba...
HA HA HA HA!Fl na wewe tafuta mdogo wake akupe ujauzito kisha msameheane na kuishi pamoja