ANKOJEI
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 996
- 742
hakuna watu nawachukia kama viongoz wa dini, ni mandumilakuwil wanaopima upepo wa kisiasa unakoelekea! makanisan sasa imekuwa siasa mtindo mmoja. mpaka unasikia hasira, mi naunga mkono hoja ya kuwa usalama wa taifa wawepo makanisana na inapotokea mafundisho yaliyojaa siasa viongoz hawa wahojiwe na kupewe karipio kali. tunajua wengine n mafisad wa kufa mtu nj wameng'ang'ania madaraka pia. sehem ingine askof alisusiwa!