: Oven kubwa na mixer ya kukandia unga kwa biashara ya Bakery vinauzwa

TZ biashara

JF-Expert Member
Mar 9, 2012
523
107
12%20(2).JPG 12%20(3).JPG
Nauza jiko kubwa la deki 4 pamoja na mixer ya kukandia unga ambayo sijui size yake ila naweza nikasema size ya kati.Vifaa hivi vipo katika hali nzuri na vyote vinatumia umeme mkubwa (3 phase)Kiukweli tu ni kwamba nilivituma miaka miwili iliyopita kutoka uingereza lakini hatujawahi kuvitumia kwasababu zisizoweza kuzuilika na kwakuwa sipo huko na watu niliotegemea kufanya nao biashara haikuwezekana.Hili jiko ni zito sana linahitaji usaidizi wa winch ili kulibeba kwa uangalifu na uzuri wa hili jiko vilevile unaweza kulifungua ktk deki 4 na ukilifikisha linapokwenda unaliunganisha.Hii ni biashara ya uhakika wala haikutupi na sehemu yoyote.Vifaa hivi vipo mkoani Dodoma na Bei ni milioni 6.5 kwa zote mbili naomba uwasiliane na Ali 0714343031 au 0754295614 au 0784295614

12%20(1).JPG 12.JPG
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom