Ninawakumbusha tuu watawala wa Tz haitajalisha miaka mingapi itapita ila ipo siku moja ukweli juu ya ULIMBOKA, KOLIMBA, KOMBE na wengine wengi utajulikanika, na mwisho wenu utakuwa mbaya sana! Si hayo tuu hii mikataba feki ambayo mnaingia, kutumia mahakana kuzuia haki za watu nawakumbusha tena haitajalisha itachukua miaka mingapi lakini ukweli siku moja utawekwa hadharani !
Nani ambae alijua issue ya ROBERT OUKO baada ya miaka 20 ingeibuliwa upya na
Nani ambae alijua issue ya ROBERT OUKO baada ya miaka 20 ingeibuliwa upya na