engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
- Thread starter
- #41
Mzee Magufuli Chapa Mwendo!! Mimi na wengine wengi Tuko Nyuma Yako!! Kujenga Jamii yenye Kujali ustaarabu ni Gharama!! Na Unayoyafanya Ndio yenyewe!! Dar Ustaarabu Umepotea Hadi Kero!! Endelea baba Tupo Bega kwa Bega na wewe!!
Ni kweli kabisa,jamii hii hupenda mazuri sana lakini hawajui kuwa iliupate mazuri ni lazima ujitolee kwa kufunga mkanda na kupitia ktk mazingira magumu kama hayo
na kila panapohitajika maendeleo ni lazima kuna watu wataumia tu,ila kwa upande wa barabara zetu ni sisi wenyewe ndio tumevunja sgeria,sasa wahusika wa kutekeleza sheria wanapo zitekeleza tuna anza kupiga kelele