Operesheni tokomeza CCM kabisa ndani ya Babati

olevaroya

JF-Expert Member
May 6, 2012
1,224
512
Makamanda tuko ndani ya Babati ktk operesheni maalumu ya kuakikisha hakuna ata mabaki ya magamba ndani ya Babati,Leo tumefanya mikutano mitano ktkt kata tofauti,Bonga,Nakwa,Mutuka,Ayasanda na Sigino na tumefanikiwa kuvua Magamba 1500 kesho tutakua na mkutano mkubwa wa hadhara Babati mjini kuanzia saa 9 mchana Tukiongozwa na kamanda wa Anga Freeman Mbowe ,Halima Mdee ,Paulina Gekul ,Cecil Pareso ,Rose Kamil ,Noel olevaroya , na Magoma jr Magoma na makamanda wa Babati na Bavicha Arusha
 
makamanda tuko ndani ya babati ktk operesheni maalumu ya kuakikisha hakuna ata mabaki ya magamba ndani ya babati,leo tumefanya mikutano mitano ktkt kata tofauti,bonga,nakwa,mutuka,ayasanda na sigino na tumefanikiwa kuvua magamba 1500 kesho tutakua na mkutano mkubwa wa hadhara babati mjini kuanzia saa 9 mchana tukiongozwa na kamanda wa anga freeman mbowe ,halima mdee ,paulina gekul ,cecil pareso ,rose kamil ,noel olevaroya , na magoma jr magoma na makamanda wa babati na bavicha arusha

asante sana wazalendo, tuko pamoja katika hii vita ya kulitupilia mbali hili jangili - ccm, lakini tuko na mungu tutashinda, inshallah.
 
Kila la heri makamanda, Mungu awatanguliye na kuwaongoza, kwa Mwendo huu wa chadema ni Dhahiri kuwa 2015 ni zamu ya Chadema ikulu.a
 
Tuko pamoja makamanda mzidi kutuombea Mungu atutarudi nyuma mpaka kieleweke hawa Magamba wameitafuna hii nchi watu wanateseka wewe acha utani kijana mmoja kaniambia kuanzia kuzaliwa mpaka Leo ana miaka 30 lkn ajawai kunywa chai wala kula mchana ata siku moja ni usiku tu.
 
Eti utokomeze CCM mna jidanganya.Basi ujue maji yameisha duniani
 
Nduli ccm kanyonya damu ya watanzania vya kutosha. chini ya nduli hili, watanzania tumedhalilika sana, tumeteseka sana, tumeadhirika sana... sasa tuseme baaasii! kamua makamanda. pipooos! ...
 
olevaroya MUNGU awape nguvu na hakika mpaka tugonge mwaka 2015 Watanzania wapatao 42M watakuwa wameelimika pa kutosha!

Viva CDM na MUNGU mwenye mamlaka kwa mbingu na nchi awatangulie!

Pamoja sana!
 
Last edited by a moderator:
Hili zoezi ningependa nilione halikomi. olevaroya MUNGU awape nguvu na hakika mpaka tugonge mwaka 2015 Watanzania wapatao 42M watakuwa wameelimika pa kutosha!

Viva CDM na MUNGU mwenye mamlaka kwa mbingu na nchi awatangulie!

Pamoja sana!
 
Last edited by a moderator:
Asanteni makamanda, hakuna kulala mpaka kieleweke, tuendelee kuwapa elimu watanzania ya kuikataa ccm na dhambi zake zote
 
Back
Top Bottom