Bahati furaha
JF-Expert Member
- Jul 11, 2012
- 3,030
- 1,384
Angekuwa zuzu kama unavyofikiri wewe asingekabidhiwa TEC.
Nchi yetu ni moja kati ya nchimasikini duni sana duniani japo ina rasilimali nyingi kuliko hata baadhi ya nchi ambazo zimeendelea na ni wahisani wetu wa maendeleo. Kuna sababu nyingi za hali hiyo lakini kwa leo sijapanga kuingia kwa undani sababu za umasikini wetu.Nchi yetu inakabiliwa na changamoto nyingi katika kukabiliana na umasikini wa kipato kwa wananchi wake,kukuza pato la taifa, ukosefu wa ajira kwa vijana, mikopo ya elimu ya juu,kuboresha kilimo chetu ambacho kinaajiri zaidi ya 80% ya watanzania wote na pia kurekebisha mfumo wetu wa elimu ili kuwezesha wahitimu wetu kujiajiri na sikusubiri kuajiriwa.
Hivi karibuni kiasi kikubwa chagesi asilia kimegundulika nchini katika mkoa wa Mtwara. Hii inaongeza idadi ya rasilimali zilizokwisha kugundulika nchini ikiwa imetanguliwa na almasi,dhahabu, tanzanite na madini mengine. Vilevile kuna matumaini ya mafuta kugundulika nchini kwa mujibu wa tafiti mbalimbali zinazoendelea katika fukwe za bahari yetu.Hivyo nchi yetu inahitaji uongozi thabiti ili kuhakikisha rasilimali hizi zinanufaisha watanzania wote na kuwaletea maendeleo hivyo kuondokana na umasikini. Uwepo wa rasilimali hizi bila kuwepo uongozi thabiti,shirikishi na sikivu unaweza kuitumbukiza nchi yetu katika kile kinachoitwa laana ya rasilimali au kwa kimombo resources curse. Ambayo si kingine bali machafuko ndani ya nchi sababu ya wananchi kutonufaika na zawadi hii kutoka kwa mwenyezi Mungu.
Mwaka 2015 nchi itafanya uchaguzi mkuu wa tano tangu vyama vingi viruhusiwe tena nchini mwaka 1992. Kuna wanasiasa kadhaa wanatajwa kujipanga/kujiandaa kugombea urais ili kumrithi Rais Kikwete hawa ni kutoka chama tawala na vyama vya upinzani. Kwa leo nataka kumjadili Dr Wilbroad Slaa katibu mkuu wa CHADEMA ambaye aligombea urais mwaka2010 na kuangushwa na Rais Kikwete. Dr Slaa ana shahada ya uzamivu katikas heria za kanisa. Ikumbukwe kuwa Dr Slaa amepata kuwa padri wa kanisa katoliki na kufikia kuwa katibu mtendaji mkuu wa baraza la maaskofu katoliki Tanzania(TEC). Napata tabu kuoanisha sifa hizi za kitaaluma za Dr Slaa na changamoto zinazoikabili nchi yetu kwa sasa kama nilivyoziainisha kwa uchache hapo juu. Kweli ni msomi na ana uzoefu wa kiuongozi lakini si katika jamii pana bali katika shughuli za kanisa hivyo nina mashaka na weredi wake kitaaluma katika masuala hayo yanayolikabili taifa kwasasa. Wako watakaosema Rais ana washauri katika nyanja zote, lakini ni vema kuwa na Rais mwenye taaluma sahihi kwa maendeleo ya jamii nzima na si kundi mojal inalofungamana na imani yake tu.
Tukiachana na masuala ya kielimuDr Slaa anatajwa kuwa kiongozi imla, hili liko wazi ukiangalia zoezi la timuatimua linaloendelea ndani ya chama hicho. Habari za ndani zinasema wahanga wengi wa timuatimua ndani ya CHADEMA ni wale ambao kwa namna moja au nyingine wamewahi kutofautiana kimtazamo, kifkra na hata kimkakati na Dr Slaa. Kwakifupi Dr Slaa ni mtu asiyevumilia mawazo tofauti na yake. Pia Dr Slaa hana udhibiti wa familia yake, mkewe Josephine amekuwa akiingilia sana shughuli za kiutendaji ndani ya CHADEMA kwa kivuli cha mumewe wakati yeye hana nafasi yoyote ya uongozi ndani ya chama hicho.Itafakari Tanzania yenye rasilimali lukuki; gesi, almasi, mafuta, dhahabu, wanyama pori nk ikiwa chiniya Rais asiyeshirikisha wenzie katika maamuzi hivyo kuendesha nchi kwa maono na mawazo yake pekee. Rais asiye na udhibiti wa familia yake kiasi cha mkewekuingilia watendaji na utendaji wa shughuli za umma huku Rais akiwa hana kauli. Je tutasalimika kweli RESOURCES COURSE chini ya Dr Slaa? Jibu langu HAPANA.
Huyu Dr Slaa ndiye Watanzania tunayemhitaji 2015 awe Rais wetuMwakidondo,Jf,wananchi,kwenye madaladala,kwenye tax, wanamzungumzia Dr Slaa.Viongozi wa kitaifa wanamzungumia Dr Slaa,W.J Malecela anamzungumzia Dr Slaa,Ukienda saluni kunyoa wanamzungumzia Dr slaa,demu wangu kaenda saluni kusuka nako wanamzungumzia Dr. slaa.Nimempeleka Mwanangu shule nako wanamzungumzia Dr .slaa.Wakulima na wafanyakazi nao wanamzungumzia Dr. slaa.Nape na Nchemba wanamzungumzia Dr slaa,Waandishi habari(makanjanja)wanamzungumzia Dr. slaa,Masalia(pindua mbowe0 wanamzungumzia Dr.slaa.
Huyu mtu anawanyima usingizi sana magamba.
mwakidondo: Nasikitika kusema kuwa uliyoyandika hapa kwa mtu mwenye busara zilizokamilika kama anafanya masahihisho atakupatia sifuri tena yenye masikio. Kwa nini nasema hivyo! Kwanza kati ya yote uliyorundika hapa na kufanya watu washindwe kutafakari mada za msingi, napenda nijadili tu hapo kwenye RED.Nchi yetu ni moja kati ya nchimasikini duni sana duniani japo ina rasilimali nyingi kuliko hata baadhi yanchi ambazo zimeendelea na ni wahisani wetu wa maendeleo. Kuna sababu nyingi zahali hiyo lakini kwa leo sijapanga kuingia kwa undani sababu za umasikini wetu.Nchi yetu inakabiliwa nachangamoto nyingi katika kukabiliana na umasikini wa kipato kwa wananchi wake,kukuza pato la taifa, ukosefu wa ajira kwa vijana, mikopo ya elimu ya juu,kuboresha kilimo chetu ambacho kinaajiri zaidi ya 80% ya watanzania wote na piakurekebisha mfumo wetu wa elimu ili kuwezesha wahitimu wetu kujiajiri na sikusubiri kuajiriwa. Hivi karibuni kiasi kikubwa chagesi asilia kimegundulika nchini katika mkoa wa Mtwara. Hii inaongeza idadi yarasilimali zilizokwisha kugundulika nchini ikiwa imetanguliwa na almasi,dhahabu, tanzanite na madini mengine. Vilevile kuna matumaini ya mafutakugundulika nchini kwa mujibu wa tafiti mbalimbali zinazoendelea katika fukweza bahari yetu.Hivyo nchi yetu inahitaji uongozithabiti ili kuhakikisha rasilimali hizi zinanufaisha watanzania wote nakuwaletea maendeleo hivyo kuondokana na umasikini. Uwepo wa rasilimali hizibila kuwepo uongozi thabiti na sikivu unaweza kuitumbukiza nchi yetu katikakile kinachoitwa laana ya rasilimali au kwa kimombo resources curse. Ambayo si kingine bali machafuko ndani ya nchisababu ya wananchi kutonufaika na zawadi hii kutoka kwa mwenyezi Mungu.Mwaka 2015 nchi itafanya uchaguzimkuu wa tano tangu vyama vingi viruhusiwe tena nchini mwaka 1992. Kunawanasiasa kadhaa wanatajwa kujipanga/kujiandaa kugombea urais ili kumrithi RaisKikwete hawa ni kutoka chama tawala na vyama vya upinzani. Kwa leo natakakumjadili Dr Wilbroad Slaa katibu mkuu wa CHADEMA ambaye aligombea urais mwaka2010 na kuangushwa na Rais Kikwete. Dr Slaa ana shahada ya uzamivu katikasheria za kanisa. Ikumbukwe kuwa Dr Slaa amepata kuwa padri wa kanisa katolikina kufikia kuwa katibu mtendaji mkuu wa baraza la maaskofu katoliki Tanzania(TEC).Napata tabu kuoanisha sifa hiziza kitaaluma za Dr Slaa na changamoto zinazoikabili nchi yetu kwa sasa kamanilivyoziainisha kwa uchache hapo juu. Kweli ni msomi na ana uzoefu wakiuongozi lakini si katika jamii pana bali katika shughuli za kanisa hivyo ninamashaka na weredi wake kitaaluma katika masuala hayo yanayolikabili taifa kwasasa. Wako watakaosema Rais ana washauri katika nyanja zote, lakini ni vemakuwa na Rais mwenye taaluma sahihi kwa maendeleo ya jamii nzima na si kundi mojalinalofungamana na imani yake tu.Tukiachana na masuala ya kielimuDr Slaa anatajwa kuwa kiongozi imla, hili liko wazi ukiangalia zoezi la timuatimua linaloendelea ndani ya chama hicho. Habari za ndani zinasema wahangawengi wa timuatimua ndani ya CHADEMA ni wale ambao kwa namna moja au nyinginewamewahi kutofautiana kimtazamo, kifkra na hata kimkakati na Dr Slaa. Kwakifupi Dr Slaa ni mtu asiyevumilia mawazo tofauti na yake. Pia Dr Slaa hanaudhibiti wa familia yake, "mkewe" Josephine amekuwa akiingilia sana shughuli zakiutendaji ndani ya CHADEMA kwa kivuli cha "mumewe" wakati yeye hana nafasiyoyote ya uongozi ndani ya chama hicho.Itafakari Tanzania yenyerasilimali lukuki; gesi, almasi, mafuta, dhahabu, wanyama pori nk ikiwa chiniya Rais asiyeshirikisha wenzie katika maamuzi hivyo kuendesha nchi kwa maono namawazo yake pekee. Rais asiye na udhibiti wa familia yake kiasi cha "mkewe"kuingilia watendaji na utendaji wa shughuli za umma huku Rais akiwa hana kauli.Je tutasalimika kweli RESOURCES COURSE chini ya Dr Slaa? Jibu langu HAPANA.
ANGALIZO KWA DR SLAA NA LOWASAKuna msemo wa kiswahili usemwao lisemwalo lipo na kama halipo laja ili sipendi lije kwa sababu halina tija kwa wapenda mabadiliko.
Ni wazi CCM sasa inatumia kila aina ya Propaganda ili kuhakikisha Taswira ya CHADEMA inaharibika katika umma au kuwagombanisha wenyewe kwa wenyewe kama inavyofanyika kwa Zitto Kabwe.
Kuna tetesi sasa hivi zimeenea kwamba Josephine anapiga jalamba kugombea Ubunge wa Kawe, kama tetesi hizi ni za kweli na zisipokanushawa basi moja kwa moja Dr Slaa hana sifa za kugombea Urais kwa kushindwa kuisimamia nyumba yake na kushindwa kumdhibiti Josephine katika harakati hizi haramu za kisiasa.
Ila nisiseme mengi kwa sababu hizi ni tetesi nawakaribisha wote waliozipata tetesi hizi ukweli wake ni upi? na kama si kweli ni kwa Josephine asiitishe Press Conference kukanusha hili officially? ni kichaa peke yake ndani ya CHADEMA anayeweza kugombea na Halima Mdee kura za maoni 2015 ili kufanya Halima Mdee asigombee tena.
Nakala kwa Molemo
Hivi nyie magamba mtamnadi lini yule msichana wenu wa kazi Magufuli?Mie binafsi ni mkazi wa Kawe hakuna ubaya wowote Josephine, kugombea ubunge Kawe kama mwanachama wa Chadema ni haki yake ya kikatiba.
Msitake kubaka demokrasia Halima Mdee hana hati miliki ya jimbo la Kawe.
ANGALIZO KWA DR SLAA NA LOWASA
Kabla sijaanza kuelezea lolote napenda kumukumbusha Slaa ambaye ana taalum ya upadri.
Katika kitabu cha matendo ya Mitume kuna ushahidi kwa Sauli alikuwa muuaji na tena alikuwa anauwa mitume lakini alipata padiliko la kweli na kujiunga na mitume wengine.
Wakati Sauli anafanya hivyo Mitume wengine walianza kumunyanyapaa na kumuogopa lakini katika bibilia , imethibitishwa kwamba hadi leo Paulo (aliyekuwa Sauli) ndiye aliyefanya kazi kuliko Mitume wote.
Bila shaka kuna watu ndani ya Chadema na hata nje ya chadema wanataka kujenga hoja ya kumunyanyapa LOWASA ati ni Fisadi , hata mimi niliingia mtego huu lakini napenda kuhojhi yafuatayo:
(1)Lowasa amehama CCM na kwa hatua hiyo ameingamiza nafsi yake kwa kiwango Kikubwa.
(2)Lowasa yupo tayari kutumia Pesa yake na mali yake kubomoa CCM
(3)LOWASA anahasira kali na CCM na miungu watu ndani ya CCM
(4)LOWASA kama waziri Mkuu mstafu ametake risk ya Kifo kiasi kwamba anataka kupiga CCM kwa Nyaraka zito za Siri ambazo Slaa hawezi kuzielezea
(5) Lowasa anajua mikakati ya Wizi wa Kura ndani ya CCM kwa miakazaidi ya 40
(6) Ndani ya CCM hawakutarajia wala hawakuwahi kupanga kuwa mtu kama Lowasa ambaye amewshijka nafasi nyeti kama waziri mkuu anaweza kuasi serikali kiasi hiki
Huu uasi unatisha na haujawahi kutokea, na hata pale ulipojaribu kutokea wahusika hawakubaki hai
(7)Kwa sasa CCM wanahaha sana juu ya Lowasa kuchukua form. Mikakati ya CCM iliielekeza Nguvu kumshambulia Slaa lakini Mungu amebadili Plan ghafla na kumuleta Lowasa amabaye hawajajipanga nan i Pigo kubwa
(8)Kwa sasa Uasi uliojitokeza CCM ni vigumu kujua nani yupo kwa nani
Angalia mtandao wa Lowasa ndani ya CCM unatisha na umetulia Kimia.
Mtandao huu jumlisha nguvu ya Umma ni lazima CCM ibaki kama KANU
MAONI KWA SLAA.
(1)Wakati unagombea urais ulikuwa na Rozi Kamili ukamwacha na kumuoa Josephine
Rozi Kamili alikubali ujio wa Josephine lakini leo Josephine huyo amekuwa kikwazo kwa maamuzi yako.
(2)Mambo ya Chama huwezi kumuhusisha Mwanamke, huo ni udhaifu mkubwa na kama kweli unamsikiliza mwanamke basi ujue hutapata nafsi ya kurudi kwenye jamii na wakakuamini na kukupa heshima kama walivyokupa.
Mke ni mshauri wake kwa mambo yote lakini kikao kama kamati kuu kinapopitisha maamuzi harafu mkeo anapinga maana yake mke huyo hafai kuwa First Lady na hata wewe hufai kuwa Kiongozi
MAONI KWA LOWASA
(1)Umeitwa Mwizi kwa siku nyingi sana na hata mimi nimekuita hivyo , sasa huu ni wakati wa wewe kutuambia mwizi halisi ni nani na utoe Ushahidi
(2) Zipo taarifa kwamba CCM wanapanga kukata jina lako kwenyenye tume ya uchaguzi hivyo nakusihii usikate tama .Muombe Mungu .Hii ni safari ya ushindi na si matumaini tena
(3)Usiogope kushambulia Ikulu kwa kuwa Mussa alikaa Ikulu ya Farao na kulelewa hapo lakini Mungu alimupa kazi ya kumuangamiza Farao.
Hivyo Lowasa umepewa kazi ya Kuingamiza CCM hivyo fanya kweli ujue kwamba Slaa hajui haya.
Hivi nyie magamba mtamnadi lini yule msichana wenu wa kazi Magufuli?