Omutwale
JF-Expert Member
- Feb 4, 2008
- 1,429
- 1,045
....kwa Josephine asiitishe Press Conference kukanusha hili officially?....
Awe Dr. Slaa au Josephine kitendo cha kufanya Press litakuwa ni kosa la pili la kiufundi na la ki-kimkakati kufanywa na CDM katika kipindi cha hivi karibuni. Kwa kufanya hivyo; wale wapenzi wa Football tunasema CDM watakuwa wameanza rasmi kucheza Defense wakati wao ndiyo walikuwa wanaongoza game kwa mashambulizi. Kwa wapenda Disco hatua hiyo naweza kuilinganisha na Dj kuamua kuwa Dancer! Huko ni kuthibitisha kuporomoka.
Lisilo na damage ni Mh. Mdee mwenyewe kuikandia hii tetesi.
Hata kichaa wakati Fulani ana akili. Kwenye hili Nape na ccm wametumia akili.