measkron
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 3,782
- 2,406
Dudu yake nzima huyo?
Vipi tena mkwe wangu?
Dudu yake nzima huyo?
Vipi tena mkwe wangu?
katavi mie mtoto wa baba na mama,na nilishajitegemea longtime kitambo!
Huku kwetu wale wote ambao bado hawajitegemea wanaishi kwa wazazi tunawaita watoto wa mama!
Shkamoo mkwe...
If you'r above 25 and u'r still living wit ur parents,Happy children's day!!
mh,smtm uwe unapunguza ukali wa maneno hujui una wakwe zako hm? aala. . utanyimwa mke hv hv ati!
Shkamoo mkwe...
mh,smtm uwe unapunguza ukali wa maneno hujui una wakwe zako hm? Aala. . Utanyimwa mke hv hv ati!
mh,smtm uwe unapunguza ukali wa maneno hujui una wakwe zako hm? Aala. . Utanyimwa mke hv hv ati!
mh,smtm uwe unapunguza ukali wa maneno hujui una wakwe zako hm? aala. . utanyimwa mke hv hv ati!
Marahaba mkwe! Salama huko? Huku wazima twala maharage mabichi karibuni sana na mahindi ya kuchoma tayari.