Baraza la kiswahili lilitumi vigezo vipi kuita majina yafuatayo kama ifuatavyo:
mnyama mbwa badala ya kuita m'mbwa.
Mbu badala ya kuita m'mbu.
Nge badala ya kuita n'nge. Vilevile hata neno nje badala ya kuita n'nje.
Naomba msaada kuhusu hizi ni kwa nini waliita hivi?
mnyama mbwa badala ya kuita m'mbwa.
Mbu badala ya kuita m'mbu.
Nge badala ya kuita n'nge. Vilevile hata neno nje badala ya kuita n'nje.
Naomba msaada kuhusu hizi ni kwa nini waliita hivi?