omujubi
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 4,325
- 2,498
AKA mapembeInvisible chunga sana hizo kucha zako na hayo meno kwani hawa watu hawataki watanzania wakumbushwe mambo haya...Mungu azidi kuilinda JF na Viongozi wake..
AKA mapembeInvisible chunga sana hizo kucha zako na hayo meno kwani hawa watu hawataki watanzania wakumbushwe mambo haya...Mungu azidi kuilinda JF na Viongozi wake..
Binafsi hiyo Ripoti ya juu kabisa ambayo inazungumzia suala la kujenga njia za umeme kutoka Mtwara hadi Singida sizani kama ni ripoti ambayo ilifanya utafiti wa kutosha kiuchumi!!
Hilo moja, lakini vile vile nazani wengi wetu hapa tunachukulia suala la Gesi kama raw material ya umeme peke yake, lakini gesi ni zaidi ya umeme! Kama tutaamua kutekeleza project ya hapo juu (kuzalisha umeme Mtwara) hapo manake Gas is just for electricity unless hapo baadae serikali iingie gharama zingine za kujenga njia kwa ajili ya matumizi ya gesi kama gesi! Unapojenga bomba la gesi kimsingi ni kwamba unaua ndege wawili kwa jiwe moja at the same time minimizing cost! HOW? Coz' the same transported gas itakuwa ni raw material for production of electricity baada kufikishwa kwenye processing plant and another portion for domestic and industrial use!
Economically, always goods zina-flow to places where there's higher demand, na ndio maana popote utakapoenda gas inakuwa transported to urban areas where there's higher demand and large number of consumers. So, tukichukua gas kama gas, haina enough consumers in Mtwara, and probably in many areas of Tanzania! Lakini Dar es salaam, demand hiyo ipo; not only for industrial but also for domestic use!
Hoja yangu hapa ni kwamba, hata kama tutalazimika kuifanya Mtwara ndiyo processing and production centre ya umeme kisha usambazwe sehemu zingine nchini, bado ulazima wa kujenga bomba utabaki pale pale endapo tunataka kuwa rational kwenye matumizi ya raslimali! Dar es salaam and other cities need gas for industrial and domestic use! So, suala la kujenga bomba is inevitable!
Vile vile kiuchumi huwezi kusema kwamba Gesi ikibaki pale pale kwavile ita-stimulate viwanda! Nasema huwezi kuweka hiyo hoja coz' suala la zima linahusu large investment! Huwezi kuwekeza Millions of Dollars kisha ndipo usubiri wateja watakaotumia gesi husika! Hicho kitu hakipo kwenye uchumi wowote duniani!
From economic point of view, Gas need to be transported to regions where's there's high demand and not otherwise! Na kwavile gas inayosafirishwa inakuwa imeshasafishwa, then sioni kama ndugu zangu wa Mtwara wana cha kupoteza. Jambo la kuzingatia hapa ni kwamba ni lazima gesi isafishwe Mtwara na vile vile pawe na outlet pale Mtwara ili ukifika wakati wa Gas demand, iweze kutumika hata Mtwara.
Kaaa pembeni leo hakuna posho na ukicheza ili tenda utaisikia tu...Mmakonde gani una tumbo kubwa hivyo?
Kumbe chamaki nchanga wana protein???
Kwani tunazungumzia kadi mbili za Dr Slaa? maana ninavyo jua mimi Nape kwenye mada kama hizi huwa hasogezi pua lakini kwenye mada za kadi mbili ataingia kwa ID zake zote 7 ili kujijibu na kujipongeza...hakika siamini kama muhongo hakuwai kusoma hizi report au jk aliziweka tuu.
Ningependa kuona sentensi mbili za Nape Nnauye.
Exactly...!
Tunawakumbusha walichotuahid cha ajabu wana tuletea polisi na jwtz,whats for??
Wanajitoa ufaham,wanajifanya wamesahau hali ya kuwa maneno yao yapo kwenye maandishi??
Unaweza kunitajia viwanda vikuu vitano vilivyopo Dar? By viwanda namaanisha viwanda hasa na siyo TBL.
Mmakonde gani una tumbo kubwa hivyo?
Kumbe chamaki nchanga wana protein???
OMBI KWA MODS,
Kwa heshima ya hii thread, umuhimu na uzito wake; ingekuwa vyema kama mngemwadabisha kidogo huyu Lukosi kwani inaonekana wazi kuwa anataka kuvuruga mtiririko mzima wa hili bandiko.
Najua ana ID nyingine nyingi lakini kwa hiyo yenye jina lake naomba kama inafaa iadabishwe kwa kufungiwa ili wengine waweze kuchangia kwa amani zaidi.
Duh! Sikujua kama kuna haya! Kumbe CCM 'zipo za aina nyingi?' Pia, utamtengaje Nyerere na CCM kipindi chake?! Hao wanaowaza hivyo, wapo sawasawa kweli?! Hapa ndipo CCM inaponifurahisha; mambo mabaya ya kipindi cha nyuma yaliyofanywa na viongozi waliopita wa serikali ya CCM, uwa yanazungumzwa katika misingi ya kiongozi husika, kama mtu binafsi! Lakini kwa mambo mazuri yaliyofanywa na viongozi hao waliopita, utasikia hayo ni mafanikio ya CCM!!
Kazi ipo!
Mkuu mbona unahangaika sana ukiona Jina langu?OMBI KWA MODS,
Kwa heshima ya hii thread, umuhimu na uzito wake; ingekuwa vyema kama mngemwadabisha kidogo huyu Lukosi kwani inaonekana wazi kuwa anataka kuvuruga mtiririko mzima wa hili bandiko.
Najua ana ID nyingine nyingi lakini kwa hiyo yenye jina lake naomba kama inafaa iadabishwe kwa kufungiwa ili wengine waweze kuchangia kwa amani zaidi.
Chifu, nilishiriki zoezi moja la kuangalia namna mradi wa SongoSongo - gas to electricity - umeweza kuwa na manufaa kwa viwanda vinavyotumia gesi na taifa kwa ujumla.
Kwa kweli kama viwanda hivyo nilivyoenda ndivyo serikali inavisemea, hakika sioni kwanini viwanda vya aina hiyo visijengwe Mtwara pale pale. Kwani katika viwanda vyote vinavyotumia gesi ya Songas, ni kiwanda cha Wazo Hill tu ndicho naweza kusema ni kikubwa na kinachotumia gesi zaidi.
Unavijua vingine? Ngoja nikutajie:
1. OK Plast Limited
2. Kioo Limited
3. TCC (TZ Cigarette Company)
4. ALAF Limited
5. Murzahi Soap and Detergents
6. Kamal Steel Limited
7. Bakhresa Food Products Limited
8. YUASA Battery (EA) Limited
9. Bora Industries Limited
10. TBL
11. Serengeti Breweries
12. Simba Steel
13. NIDA Textile
14. Urafiki Textile
15. Nampak (T) Limited
16. Silafrica (T) Limited
17. East Coast Oil and Fats Limited
18. Murzah Oil Mills Limited
Hivi ndivyo navyovikumbuka; lakini kama kuna nilivyovisahau, haviwezi kuzidi vitano.
Matumizi makubwa ya gesi katika viwanda hivyo ni kwa ajili ya boilers, metal preheating, glass melting na drying and dehumidification. Kwa maana nyingine, gesi haitumiwi katika shughuli kubwa za uzalishaji katika viwanda hivyo. Yaani gesi inachangia kwa asilimia ndogo sana (kama energy) katika uzalishaji kwenye viwanda hivyo. Ingawa ni ukweli ulio wazi kwamba, matumizi ya gesi katika processes hizo za uzalishaji, yamesaidia sana upunguzaji wa gharama za uzalishaji katika viwanda hivyo.