OGOPASANA
JF-Expert Member
- Apr 30, 2009
- 262
- 144
Habari wakuu, nafikiri mtakubaliana nami kuwa idadi ya members wa JF inaongezeka kila dakika, na wengi wao si watundu wa kuweza kuperuzi nyuzi zilizotumwa siku, miezi au miaka ya nyuma kitu kinachopelekea topics kurudiwarudiwa mara kwa mara. Nafikiri itakuwa vyema kama kutawekwa STICKY POST ya mada hii.." Nina kiasi ..., nifanye biashara gani" yaani biashara gani mtu anaweza kuifanya kwa kiasi alichokuwa nacho na wadau wakawa wanachangia katika mfungu ya viasi vya fedha tofauti tofauti mfano:
1 - BIASHARA YA KUFANYA KWA MTAJI WA MILIONI 1
1 - BIASHARA YA KUFANYA KWA MTAJI WA MILIONI 3
1 - BIASHARA YA KUFANYA KWA MTAJI WA MILIONI 5
1 - BIASHARA YA KUFANYA KWA MTAJI WA MILIONI 10
1 - BIASHARA YA KUFANYA KWA MTAJI WA MILIONI 20
1 - BIASHARA YA KUFANYA KWA MTAJI WA MILIONI 50... NK ili iwe rahisi kwa members wapya kupata msaada wa ushuri na kupata nondo specifically kulingana na hitaji lake.
nawasilisha.
1 - BIASHARA YA KUFANYA KWA MTAJI WA MILIONI 1
1 - BIASHARA YA KUFANYA KWA MTAJI WA MILIONI 3
1 - BIASHARA YA KUFANYA KWA MTAJI WA MILIONI 5
1 - BIASHARA YA KUFANYA KWA MTAJI WA MILIONI 10
1 - BIASHARA YA KUFANYA KWA MTAJI WA MILIONI 20
1 - BIASHARA YA KUFANYA KWA MTAJI WA MILIONI 50... NK ili iwe rahisi kwa members wapya kupata msaada wa ushuri na kupata nondo specifically kulingana na hitaji lake.
nawasilisha.