MWACHIBILA
Member
- Feb 19, 2013
- 48
- 8
Habari!
Natafuta nafasi ya kufundisha katika shule za sekondari kuanzia muhula wa pili wa masomo yaani mwezi wa saba, nategemea kupata shahada ya kwanza ya ualimu mwezi huu.
Masomo ya kufundishia ni KISWAHILI na HISTORIA.
Natafuta nafasi ya kufundisha katika shule za sekondari kuanzia muhula wa pili wa masomo yaani mwezi wa saba, nategemea kupata shahada ya kwanza ya ualimu mwezi huu.
Masomo ya kufundishia ni KISWAHILI na HISTORIA.