kwa kuwa ameomba msaada wa kazi yoyote, na si kweli kwamba kwa udogo w elimu yake hawezi kupata kazi, kwani ni sehemu nyingi ambazo wapo watu wenye kiwango cha elimu kama chake na wanafanya kazi. Ni vema kama kuna mwenye uwezo wa kumsaidia kupata kazi inayolingana na uwezo wake afanye hivyo.
kuna mdada kama miaka 22 amemaliza form four tu.
sasa anahitaji msaada wa kazi yoyote ile ya ofisini au hata kama sio ya ofisini kuanzia kutengeneza chai na nyinginezo ambazo zitaendana na elimu yake. nahitaji msaada wenu. ahsante
Maombi ya kazi yoyote .
Guys
kutokana na ugumu wa maisha nimeombwa na binti wa kama miaka 20 kazi yoyote ile kwenye ofisi yoyote ile.
So naomba msaada wenu. Naomba utani usiwepo ni very serious.