Pfizer
JF-Expert Member
- Mar 25, 2021
- 356
- 558
MHE QS KIPANGA SHIDA ZENU SHIDA ZANGU KIMBUNGA HIDAYA MAFIA
KILINDONI MAFIA
Naibu Waziri wa Elimu Sayansi na Teknologia Mhe Qs Omar Juma Kipanga amewaambia wananchi wa mafia kata ya Kilindoni Kijiji Cha kilindoni Vitongoji kumi na moja kuwa shida zao shida zake juu ya majanga ya Kimbunga HIDAYA,
Akizungumza wakati wa Ziara ya kuzungumza na Wananchi mbalimbali wenye nyumba ambao wameadhirika na Kimbunga Cha HIDAYA mnamo usiku wa 03/05/2024 ambapo Nyumba na Mazao mbalimbali yaliadhirika Wilaya Mafia,
"Nipo Hapa ndugu zangu wa mafia kuwafariji na kuwapa pole katika janga Hili Kimbunga Cha HIDAYA lakini pia mjue kuwa shida zenu ni zangu ndio maana ofisi yangu ikaamua kutoa mshahara wangu kwenu ili kusaidia machungu ya Kimbunga" alisisitiza MHE QS KIPANGA,
"Nina Imani nanyi Siku zote naomba mjue kuwa Serikali imeandaa utaratibu mzuri unakuja kwenu pindi ukikamilika Kupitia Kamati za Maafa za Wilaya hivyo muwe na Subira Endeleeni kutoa Ushirkiano kwa wenyeviti wa Vitongoji na wamatawi wa Chama"Alisisitiza MHE QS KIPANGA,
Mwisho ziara ya kutembelea na kuwapa Faraja waliopatwa na Maafa ya Kimbunga HIDAYA inaendelea kwa kata zote za mafia zilipopatwa na Maafa.
Matukio mbalimbali ya Picha wakati wa Ziara ya kuzungumza kuwapa Pole na Faraja waliopatwa na Maafa Wilaya Mafia kata ya Kilindoni ya MHE QS OMAR JUMA KIPANGA Naibu Waziri wa Elimu Sayansi na Teknologia leo alasir 09/05/2024.
KILINDONI MAFIA
Naibu Waziri wa Elimu Sayansi na Teknologia Mhe Qs Omar Juma Kipanga amewaambia wananchi wa mafia kata ya Kilindoni Kijiji Cha kilindoni Vitongoji kumi na moja kuwa shida zao shida zake juu ya majanga ya Kimbunga HIDAYA,
Akizungumza wakati wa Ziara ya kuzungumza na Wananchi mbalimbali wenye nyumba ambao wameadhirika na Kimbunga Cha HIDAYA mnamo usiku wa 03/05/2024 ambapo Nyumba na Mazao mbalimbali yaliadhirika Wilaya Mafia,
"Nipo Hapa ndugu zangu wa mafia kuwafariji na kuwapa pole katika janga Hili Kimbunga Cha HIDAYA lakini pia mjue kuwa shida zenu ni zangu ndio maana ofisi yangu ikaamua kutoa mshahara wangu kwenu ili kusaidia machungu ya Kimbunga" alisisitiza MHE QS KIPANGA,
"Nina Imani nanyi Siku zote naomba mjue kuwa Serikali imeandaa utaratibu mzuri unakuja kwenu pindi ukikamilika Kupitia Kamati za Maafa za Wilaya hivyo muwe na Subira Endeleeni kutoa Ushirkiano kwa wenyeviti wa Vitongoji na wamatawi wa Chama"Alisisitiza MHE QS KIPANGA,
Mwisho ziara ya kutembelea na kuwapa Faraja waliopatwa na Maafa ya Kimbunga HIDAYA inaendelea kwa kata zote za mafia zilipopatwa na Maafa.
Matukio mbalimbali ya Picha wakati wa Ziara ya kuzungumza kuwapa Pole na Faraja waliopatwa na Maafa Wilaya Mafia kata ya Kilindoni ya MHE QS OMAR JUMA KIPANGA Naibu Waziri wa Elimu Sayansi na Teknologia leo alasir 09/05/2024.