kijenge
Senior Member
- Mar 9, 2012
- 179
- 164
Gudluck ole medeye naibu waziri wa maendeleo na makazi. anawahada wananchi wa arumeru mash kuwa sioi akipata ubunge atowapatia wananchi aridhi.wakati kwake amechukua shamba la luck luck yeye na mkapa kwa kisingizio wamempa mwekezaji agha khan.awape kwanza wananchi wa arumeru magh mashamba hayo ya luck luck ndio azungumzie mashamba ya valeska.