Oktoba 28 ni mashindano kati ya Ukweli na Ubatili. Wanaojielewa, kujitambua na kutaka maendeleo ya kweli, watachagua ukweli. Wewe upo kundi gani?

Naona Dictators wa JF wana jitahidi sana kukubeza, bring in more nyuzi sisi tunao enjoy alternative opinion. Wewe ndio kioo cha mawazo yetu upinzani, tunajitazama kupitia kwako kama suit, shirt, tie na weist belt imekaa vizuri kisiasa. Thanks, keep it on.
MAYALA, nashukuru sana kwa hoja yako nzuri, unatutaka tunao jitambua tuwe wakweli,tuchague mgombea uras aliye tuletea maendeleo. Sawa kabisa nami nakubaliana na ww. Lakini kama unadai unajitambua nakuomba kwanza tujadili hizo pesa zinazojenga miundombinu na nk, vyanzo vyake ni halali ?. Maendeleo ya haki tunayo yaomba tunataka vyanzo vyake viwe vya haki. Mfano, UNAPO MKAMATA MTU NA KUMPA KESI HISIYO NA DHAMANA, KISHA KUMUOMBA AJE MEZANI MKAKUBALIANE AKAACHIA MAMILIONI YA PESA UKAENDA HIZO PESA UKAJENGA KITUO CHA AFYA. Hayo pia ni maendeleo, ni ya haki ama batili ? Tumewasikia wagombea wote, Lakini kama kweli wewe nimkweli lejea sera zao, utaona kuwa LISSU NA CHADEMA ndio wana sera nzuri. Wanatangaza kutawala kwa UHURU , HAKI NA MAENDELEO. Wewe naamini ni mkristo nakuomba usome BIBLIA kitabu hiki1 Wafalme 3:4-12
[4]Basi mfalme akaenda Gibeoni, ili atoe dhabihu huko; kwa kuwa ndipo mahali pa juu palipo pakuu. Sulemani akatoa sadaka elfu za kuteketezwa juu ya madhabahu ile.
[5]Na huko Gibeoni BWANA akamtokea Sulemani katika ndoto ya usiku; Mungu akamwambia, Omba utakalo nikupe.
[6]Sulemani akasema, Umemfanyia mtumwa wako Daudi baba yangu fadhili kuu, kadiri alivyoenenda mbele zako katika kweli, na katika haki, na katika unyofu wa moyo pamoja nawe; nawe umemwekea na fadhili hii kubwa, maana umempa mwana wa kuketi kitini pake kama ilivyo leo.
[7]Na sasa, Ee BWANA, Mungu wangu, umenitawaza niwe mfalme mimi mtumwa wako badala ya Daudi baba yangu; nami ni mtoto mdogo tu; sijui jinsi inipasavyo kutoka wala kuingia.
[8]Na mtumwa wako yu katikati ya watu wako uliowachagua, watu wengi wasioweza kuhesabiwa, wala kufahamiwa idadi yao, kwa kuwa ni wengi.
[9]Kwa hiyo nipe mimi mtumwa wako moyo wa adili niwahukumu watu wako, na kupambanua mema na mabaya; maana ni nani awezaye kuwahukumu hawa watu wako walio wengi?
[10]Neno hili likawa jema machoni pa Bwana, ya kuwa Sulemani ameomba neno hili.
[11]Mungu akamwambia, Kwa kuwa umeomba neno hili, wala hukujitakia maisha ya siku nyingi; wala hukutaka utajiri kwa nafsi yako; wala hukutaka roho za adui zako; bali umejitakia akili za kujua kuhukumu;
[12]basi, tazama, nimefanya kama ulivyosema. Tazama, nimekupa moyo wa hekima na wa akili; hata kabla yako hapakuwa na mtu kama wewe, wala baada yako hatainuka mtu kama wewe.

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
 
Alwayz Mwandiko wako huwa unanipa Raha sana... naipenda sana aina hii ya uandishi...

Huwa nawaambia watu, tofauti na wanavyowachukulia Polepole na Bashiru, kwa uoande wangu, tukifanikiwa kukiondoa hiki chama madarakani, mashujaa wangu watakua hao na Lissu ila kwa hapa JF utakua wewe!

Asanteni sana kwa kuzidi kuturahisishia kazi na kutuonesha myaonayo kwa karibu ili tufanye maamuzi bila nyie kuumizwa.

Kunywa chochote, usisahau kulipia tuu....
FB_IMG_16029125154784267.jpg
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la swali, kuhusu uchaguzi wa mwaka huu ambao ni mashindano kati ya ukweli vs ubatili, Je, wewe utachagua nini? Utachagua ukweli au ubatili? The choice is yours!

Declaration of Interest
Japo mimi Pascal Mayalla ni kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM ila mimi ni Kada Mzalendo ambae ninatanguliza mbele maslahi ya taifa kwa kuwa mkweli daima, na siku zote huwa nausema ukweli halisi jinsi ukweli huo jinsi ulivyo, bila kujali ukweli huo kama ni ukweli wa haki, ni mchungu vipi au unauma vipi, as long as ni ukweli nitausema.

Sisi Watanzania tuko watu wa aina mbili:
1. Kundi la kwanza ni la Watanzania Wakweli, the realists wanaoukubali ukweli halisi jinsi ile ulivyo, hawa ni watu walio jitambua na wanao jielewa hivyo tarehe 28, October, watachagua ukweli.

2. Kundi la pili, ni kundi la ubatili, hawa ni wishful thinkers and day dreamers, hawa ni Watanzania wenzetu, wasiojielewa na wasio jitambua ambao wanaishi kwenye Tanzania ya kusadikika, utopian society, hawa tarehe 28 October, watachagua ubatili.

Je, wewe uko kundi gani?Je, uko kundi la ukweli au ubatili? Tarehe 28 October, utachagua kweli au utachagua ubatili?

Maendeleo ya Kweli vs Ubatili
Tanzania tulitawaliwa wakoloni Wajerumani kisha Waingereza, walituachia baadhi ya misemo ya kizungu ambayo ni ya ukweli mtupi japo ukweli mwingine ni ukweli mchungu kumeza lakini ndio ukweli wenyewe halisi!.

Moja ya misemo hii ya wazungu, ni msemo huu " The Boss is Always Right" yaani anachosema mkubwa, ndicho kitu cha ukweli, mkubwa huwa hakosei, na hata akikosea, kosa hilo hugeuka ndio kitu sahihi na ndio ukweli wenyewe!.

Kwa sasa, kwa nchi yetu Tanzania, the top boss ni rais wa JMT, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, katika kampeni zake, rais Magufuli ameomba, ili kutuletea maendeleo ya kweli, rais Magufuli ameomba tumchagulie rais, wabunge na madiwani kutoka Chama Cha Mapinduzi, CCM, mkichagua upinzani, mtakuwa mmechagua ubatili, sahauni maendeleo!.

Kauli hiyo ndio ukweli wenyewe halisi uliopo kwenye uchaguzi huu, kama wewe ni Mtanzania, ni mkweli, ni mtu anaejitambua na unaejielewa na then tarehe 28 October, utachagua ukweli.

NB: Ukweli sio lazima uwe the right thing, yaani ukweli halisi sio lazima uwe ni wa haki, hata kama ukweli huo sio ukweli wa haki, lakini ndio kitu halisi kilichopo. Kauli ya rais Magufuli kuwa usipochagua CCM, hataleta maendeleo, kwa vile maendeleo hayana chama, hivyo kauli hiyo sio kauli ya haki, lakini ndio kauli ya ukweli wenyewe uliopo!

Sasa kama wewe ni mkweli na unachotaka ni maendeleo ya kweli, then ili kuyapata hayo maendeleo, maadam the boss is always right, na the boss ameisha sema tumchagulie nani, ili atuletee maendeleo, then wakweli wote wanajua tarehe 28 October watachagua nini, nani na chama gani!.

Ukweli ni upi?
Ukweli ni kauli ya rais Magufuli, kuwa ili kupata maendeleo, tumchagulie viongozi wa kutoka CCM, mkichagua upinzani, maendeleo utaishia kuyasikia.

Ubatili ni upi?
Baada ya kusikia kuwa usipoichagua CCM hutapatiwa maendeleo, utaishia kuyasikia tuu hayo maendeleo, hii maana yake, ukiamua kuuchagua upinzani, maana yake ni umechagua ubatili. Je, wewe utachagua nini kati ya ukweli na ubatili?

Kwa vile uchaguzi wa mwaka huu ni mashindano kati ya ukweli na ubatili, Watanzania wanaojielewa, kujitambua na kutaka maendeleo ya kweli, Tarehe 28 October, hawa watachagua ukweli, lakini kuna Watanzania wenzetu ambao hawajielewi, na hawajitambui, hawa tarehe 28 October, watachagua ubatili. Je, wewe mwenzangu na mimi, uko kundi gani?

Nakutakia Uchaguzi Mwema.
Paskali
Bora ni kose maendeleo kwa miaka mitano kuliko kupangiwa nani nimpigie kura
 
Mkuu Molemo , ni lini niliwahi kuleta kiapo chochote humu jukwaani? Ila pia kwani Chadema bado iko hai?. Kilichomo ni Tundu Lissu ndie anashabikiwa na sio Chadema as chama, je unamjua aliyemshauri Lissu agombee urais ni nani? Angalia tarehe ya bandiko hili
Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!

P

Kwani huko ccm ni ccm inayoshabikiwa au Magufuli? Lisu hagombei kwa ushauri wako usitake kujifanya ulimshauri ww. Uliweka bandiko hapa kuwa umemtazama Lisu kwenye hardtalk na uliona kabisa hatarudi. Sasa angegombea vipi kama uliona hatarudi?
 
Bwana Paskali itakuwaje kama watu kwa kuogopa kukosa maendeleo kwa kuchagua UBATILI wakaamua kutouchagua UKWELI yaani kutochagua wagombea wa CCM wote akiwemo mgombea urais badala yake wakachagua wagombea wa UBATILI itatokea nini? Maana imesemwa kuwa kama wasipowachagua madiwani na wabunge kutoka CCM lakini wakamchagua mgombea urais kutoka CCM hatawapelekea maendeleo!
 
Hii ina maana tusipo mchagua Magufuli hatuyopata Maendeleo !?.Na mimi nime kuuliza Swali la ufahamu ,akichaguliwa mwingine Kodi atakazo zikusanya atazitia Mfukoni mwakebzote ?
Sasa wewe kwa mfano pesa uliyonayo mfukoni na pesa unayoitafuta ambayo bado hujaipata, pesa ipi utaipangia bajeti? Na Huyo mwingine unayempigia upatu ulishawahi kumuona akiongoza sehemu na akachagiza maendeleo chanya katika sehemu hiyo?
 
Unazi ukizidi sana kwa wachambumbi wa maswala ya siasa hupelekea watu hao kutoa uchambuzi wenye utapiamlo,Watanzania wenzangu,kiuhalisia wanasiasa ni genge kama yalivyo magenge mengine ya kimaslai,lakini kitendeo cha kukiacha kikundi(chama)kimoja kihodhi nyanja za kutawala,hupelekea watu hao kuangalia maslahi yao zaidi kuliko umma sababu kunakua hakuna tishio la wao kupokwa mamlaka.Na hapo ndipo nchi inapotafunwa!.

Sasa basi ili kuleta mapigano baina ya magenge hayo(vyama),yatupasa nasi kama wenye nchi kujitokeza kwa wingi na kuvichagua vyama pinzani ili kuvipa uimara wa kukitisha chama kilichohodhi madaraka tangia uhuru ili walio humo watoke usingizini,lakini tukiendelea kukipa saport kwa wingi watazidi kujawa na kiburi kikubwa mno.

Hivyo basi,kwa pamoja tumpigie mpinzani mwenye nguvu Tundu Lisu na hata asipo shinda,au akishinda na wakaamua kuiba kura,lakini kwenye nafsi zao tayari watakua na majibu kwamba Watanzania sio watu wa kuwachezea na kuwahadaa,kwani kuna siku wataamua wao wenyewe kwa pamoja kutumia nguvu ya umma na kuchukua mamlaka.

Hapo ndio maendeleo ya kweli yatashika hatamu kwani nnchi itakua inaongozwa kwa uthabiti wa matendo na si matamshi.Tar 28 kura yangu kwa upinzani.
 
Unazi ukizidi sana kwa wachambumbi wa maswala ya siasa hupelekea watu hao kutoa uchambuzi wenye utapiamlo,Watanzania wenzangu,kiuhalisia wanasiasa ni genge kama yalivyo magenge mengine ya kimaslai,lakini kitendeo cha kukiacha kikundi(chama)kimoja kihodhi nyanja za kutawala,hupelekea watu hao kuangalia maslahi yao zaidi kuliko umma sababu kunakua hakuna tishio la wao kupokwa mamlaka.Na hapo ndipo nchi inapotafunwa!.

Sasa basi ili kuleta mapigano baina ya magenge hayo(vyama),yatupasa nasi kama wenye nchi kujitokeza kwa wingi na kuvichagua vyama pinzani ili kuvipa uimara wa kukitisha chama kilichohodhi madaraka tangia uhuru ili walio humo watoke usingizini,lakini tukiendelea kukipa saport kwa wingi watazidi kujawa na kiburi kikubwa mno.

Hivyo basi,kwa pamoja tumpigie mpinzani mwenye nguvu Tundu Lisu na hata asipo shinda,au akishinda na wakaamua kuiba kura,lakini kwenye nafsi zao tayari watakua na majibu kwamba Watanzania sio watu wa kuwachezea na kuwahadaa,kwani kuna siku wataamua wao wenyewe kwa pamoja kutumia nguvu ya umma na kuchukua mamlaka.

Hapo ndio maendeleo ya kweli yatashika hatamu kwani nnchi itakua inaongozwa kwa uthabiti wa matendo na si matamshi.Tar 28 kura yangu kwa upinzani.
Yani umeandika Shombo kabisa, mfano mdogo tu rejea ya Libya kiundani halafu utaiona picha halisi ya Aunt Li,
Mimi nitamchagua Magufuli.
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la swali, kuhusu uchaguzi wa mwaka huu ambao ni mashindano kati ya ukweli vs ubatili, Je, wewe utachagua nini? Utachagua ukweli au ubatili? The choice is yours!

Declaration of Interest
Japo mimi Pascal Mayalla ni kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM ila mimi ni Kada Mzalendo ambae ninatanguliza mbele maslahi ya taifa kwa kuwa mkweli daima, na siku zote huwa nausema ukweli halisi jinsi ukweli huo jinsi ulivyo, bila kujali ukweli huo kama ni ukweli wa haki, ni mchungu vipi au unauma vipi, as long as ni ukweli nitausema.

Sisi Watanzania tuko watu wa aina mbili:
1. Kundi la kwanza ni la Watanzania Wakweli, the realists wanaoukubali ukweli halisi jinsi ile ulivyo, hawa ni watu walio jitambua na wanao jielewa hivyo tarehe 28, October, watachagua ukweli.

2. Kundi la pili, ni kundi la ubatili, hawa ni wishful thinkers and day dreamers, hawa ni Watanzania wenzetu, wasiojielewa na wasio jitambua ambao wanaishi kwenye Tanzania ya kusadikika, utopian society, hawa tarehe 28 October, watachagua ubatili.

Je, wewe uko kundi gani?Je, uko kundi la ukweli au ubatili? Tarehe 28 October, utachagua kweli au utachagua ubatili?

Maendeleo ya Kweli vs Ubatili
Tanzania tulitawaliwa wakoloni Wajerumani kisha Waingereza, walituachia baadhi ya misemo ya kizungu ambayo ni ya ukweli mtupi japo ukweli mwingine ni ukweli mchungu kumeza lakini ndio ukweli wenyewe halisi!.

Moja ya misemo hii ya wazungu, ni msemo huu " The Boss is Always Right" yaani anachosema mkubwa, ndicho kitu cha ukweli, mkubwa huwa hakosei, na hata akikosea, kosa hilo hugeuka ndio kitu sahihi na ndio ukweli wenyewe!.

Kwa sasa, kwa nchi yetu Tanzania, the top boss ni rais wa JMT, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, katika kampeni zake, rais Magufuli ameomba, ili kutuletea maendeleo ya kweli, rais Magufuli ameomba tumchagulie rais, wabunge na madiwani kutoka Chama Cha Mapinduzi, CCM, mkichagua upinzani, mtakuwa mmechagua ubatili, sahauni maendeleo!.

Kauli hiyo ndio ukweli wenyewe halisi uliopo kwenye uchaguzi huu, kama wewe ni Mtanzania, ni mkweli, ni mtu anaejitambua na unaejielewa na then tarehe 28 October, utachagua ukweli.

NB: Ukweli sio lazima uwe the right thing, yaani ukweli halisi sio lazima uwe ni wa haki, hata kama ukweli huo sio ukweli wa haki, lakini ndio kitu halisi kilichopo. Kauli ya rais Magufuli kuwa usipochagua CCM, hataleta maendeleo, kwa vile maendeleo hayana chama, hivyo kauli hiyo sio kauli ya haki, lakini ndio kauli ya ukweli wenyewe uliopo!

Sasa kama wewe ni mkweli na unachotaka ni maendeleo ya kweli, then ili kuyapata hayo maendeleo, maadam the boss is always right, na the boss ameisha sema tumchagulie nani, ili atuletee maendeleo, then wakweli wote wanajua tarehe 28 October watachagua nini, nani na chama gani!.

Ukweli ni upi?
Ukweli ni kauli ya rais Magufuli, kuwa ili kupata maendeleo, tumchagulie viongozi wa kutoka CCM, mkichagua upinzani, maendeleo utaishia kuyasikia.

Ubatili ni upi?
Baada ya kusikia kuwa usipoichagua CCM hutapatiwa maendeleo, utaishia kuyasikia tuu hayo maendeleo, hii maana yake, ukiamua kuuchagua upinzani, maana yake ni umechagua ubatili. Je, wewe utachagua nini kati ya ukweli na ubatili?

Kwa vile uchaguzi wa mwaka huu ni mashindano kati ya ukweli na ubatili, Watanzania wanaojielewa, kujitambua na kutaka maendeleo ya kweli, Tarehe 28 October, hawa watachagua ukweli, lakini kuna Watanzania wenzetu ambao hawajielewi, na hawajitambui, hawa tarehe 28 October, watachagua ubatili. Je, wewe mwenzangu na mimi, uko kundi gani?

Nakutakia Uchaguzi Mwema.
Paskali
Wewe ni mpumbavu Kama wapumbavu wengine tu
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la swali, kuhusu uchaguzi wa mwaka huu ambao ni mashindano kati ya ukweli vs ubatili, Je, wewe utachagua nini? Utachagua ukweli au ubatili? The choice is yours!

Declaration of Interest
Japo mimi Pascal Mayalla ni kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM ila mimi ni Kada Mzalendo ambae ninatanguliza mbele maslahi ya taifa kwa kuwa mkweli daima, na siku zote huwa nausema ukweli halisi jinsi ukweli huo jinsi ulivyo, bila kujali ukweli huo kama ni ukweli wa haki, ni mchungu vipi au unauma vipi, as long as ni ukweli nitausema.

Sisi Watanzania tuko watu wa aina mbili:
1. Kundi la kwanza ni la Watanzania Wakweli, the realists wanaoukubali ukweli halisi jinsi ile ulivyo, hawa ni watu walio jitambua na wanao jielewa hivyo tarehe 28, October, watachagua ukweli.

2. Kundi la pili, ni kundi la ubatili, hawa ni wishful thinkers and day dreamers, hawa ni Watanzania wenzetu, wasiojielewa na wasio jitambua ambao wanaishi kwenye Tanzania ya kusadikika, utopian society, hawa tarehe 28 October, watachagua ubatili.

Je, wewe uko kundi gani?Je, uko kundi la ukweli au ubatili? Tarehe 28 October, utachagua kweli au utachagua ubatili?

Maendeleo ya Kweli vs Ubatili
Tanzania tulitawaliwa wakoloni Wajerumani kisha Waingereza, walituachia baadhi ya misemo ya kizungu ambayo ni ya ukweli mtupi japo ukweli mwingine ni ukweli mchungu kumeza lakini ndio ukweli wenyewe halisi!.

Moja ya misemo hii ya wazungu, ni msemo huu " The Boss is Always Right" yaani anachosema mkubwa, ndicho kitu cha ukweli, mkubwa huwa hakosei, na hata akikosea, kosa hilo hugeuka ndio kitu sahihi na ndio ukweli wenyewe!.

Kwa sasa, kwa nchi yetu Tanzania, the top boss ni rais wa JMT, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, katika kampeni zake, rais Magufuli ameomba, ili kutuletea maendeleo ya kweli, rais Magufuli ameomba tumchagulie rais, wabunge na madiwani kutoka Chama Cha Mapinduzi, CCM, mkichagua upinzani, mtakuwa mmechagua ubatili, sahauni maendeleo!.

Kauli hiyo ndio ukweli wenyewe halisi uliopo kwenye uchaguzi huu, kama wewe ni Mtanzania, ni mkweli, ni mtu anaejitambua na unaejielewa na then tarehe 28 October, utachagua ukweli.

NB: Ukweli sio lazima uwe the right thing, yaani ukweli halisi sio lazima uwe ni wa haki, hata kama ukweli huo sio ukweli wa haki, lakini ndio kitu halisi kilichopo. Kauli ya rais Magufuli kuwa usipochagua CCM, hataleta maendeleo, kwa vile maendeleo hayana chama, hivyo kauli hiyo sio kauli ya haki, lakini ndio kauli ya ukweli wenyewe uliopo!

Sasa kama wewe ni mkweli na unachotaka ni maendeleo ya kweli, then ili kuyapata hayo maendeleo, maadam the boss is always right, na the boss ameisha sema tumchagulie nani, ili atuletee maendeleo, then wakweli wote wanajua tarehe 28 October watachagua nini, nani na chama gani!.

Ukweli ni upi?
Ukweli ni kauli ya rais Magufuli, kuwa ili kupata maendeleo, tumchagulie viongozi wa kutoka CCM, mkichagua upinzani, maendeleo utaishia kuyasikia.

Ubatili ni upi?
Baada ya kusikia kuwa usipoichagua CCM hutapatiwa maendeleo, utaishia kuyasikia tuu hayo maendeleo, hii maana yake, ukiamua kuuchagua upinzani, maana yake ni umechagua ubatili. Je, wewe utachagua nini kati ya ukweli na ubatili?

Kwa vile uchaguzi wa mwaka huu ni mashindano kati ya ukweli na ubatili, Watanzania wanaojielewa, kujitambua na kutaka maendeleo ya kweli, Tarehe 28 October, hawa watachagua ukweli, lakini kuna Watanzania wenzetu ambao hawajielewi, na hawajitambui, hawa tarehe 28 October, watachagua ubatili. Je, wewe mwenzangu na mimi, uko kundi gani?

Nakutakia Uchaguzi Mwema.
Paskali
Pumbafu....upo kwenye kundi la utopian society
 
Njaa mbaya sana. ccm mmeongoza miaka 60 adi leo mnazungumzia Barabara na maji .Miaka yote milijaza mitumbo yenu.LISSU 28.10. NAMCHGUA .
 
Back
Top Bottom