Mkuu Mwiba, vipi hili jambo, ni miaka 10 sasa, na itapita 10 mingine.Zanzibar kujiunga na OIC kivyake
2009-01-27 10:14:33
Na Mwinyi Sadallah, Zanzibar
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imetangaza kwamba itaiomba Serikali ya Muungano kuiruhusu Zanzibar kujiunga na Umoja wa Nchi za Kiisalm(OIC) endapo mpango huo utashindwa kufikiwa na Serikali ya Muungano.
Hayo yameelezwa na Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Kiongozi, Hamza Hassan Juma alipokuwa akijibu maswali ya wajumbe wa baraza la wawakilishi waliotaka kujua Serikali ina mikakati gani kuhakikisha Zanzibar inakuwa mwanachama wa jumuiya hiyo.
Alisema kimsingi sula hilo bado linashughulikiwa na Serikali ya Muungano hasa kwa kuzingatia linahusu utaifa ``kwani Zanzibar ni nchi wakati taifa ni moja la Tanzania hivyo tutajiunga kama Nchi ,ndo maana yake.
Alisema Zanzibar haijuingi katika jumuiya hiyo kwa matakwa ya kidini bali inatetea kuchukua hatua hiyo kutokana na sababu za kiuchumi.
``Ikiwa itashindikana kwa Serikali ya Muungano kujiunga, Serikali ya Zanzibar tutaomba tujiunge kwa kujitegemea badala ya kuwa wanachama kama sehemu ya Jamhuri ya Muungano,`` alisema Waziri Hamza.
Alisema kitendo cha kuchelewa kujiunga katika jumuiya hiyo kunachangia kutochangamsha maendeleo ya Zanzibar kutokana na misaada ya kijamii na kiuchumi inayotolewa na OIC.
Alitoa mfano kwamba endapo Zanzibar ingekuwa mwanachama ingesaidiwa matrekta 50 kupitia jumuiya hiyo na kusaidia katika sekta ya kilimo Zanzibar ambayo ingewanufaisha wananchi wote bila ya kujali imani zao za dini.
Katiba inasema watu wana dini...wataabud popote...ila serikali haina dini.....OIC hapo haina chake.......wanataka kutuchanganya tu..na hilo pepo alishalikataa Jakaya......licha ya kuwa upande ule.......
Zanzibar kujiunga na OIC kivyake
2009-01-27 10:14:33
Na Mwinyi Sadallah, Zanzibar
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imetangaza kwamba itaiomba Serikali ya Muungano kuiruhusu Zanzibar kujiunga na Umoja wa Nchi za Kiisalm(OIC) endapo mpango huo utashindwa kufikiwa na Serikali ya Muungano.
Hayo yameelezwa na Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Kiongozi, Hamza Hassan Juma alipokuwa akijibu maswali ya wajumbe wa baraza la wawakilishi waliotaka kujua Serikali ina mikakati gani kuhakikisha Zanzibar inakuwa mwanachama wa jumuiya hiyo.
Alisema kimsingi sula hilo bado linashughulikiwa na Serikali ya Muungano hasa kwa kuzingatia linahusu utaifa ``kwani Zanzibar ni nchi wakati taifa ni moja la Tanzania hivyo tutajiunga kama Nchi ,ndo maana yake.
Alisema Zanzibar haijuingi katika jumuiya hiyo kwa matakwa ya kidini bali inatetea kuchukua hatua hiyo kutokana na sababu za kiuchumi.
``Ikiwa itashindikana kwa Serikali ya Muungano kujiunga, Serikali ya Zanzibar tutaomba tujiunge kwa kujitegemea badala ya kuwa wanachama kama sehemu ya Jamhuri ya Muungano,`` alisema Waziri Hamza.
Alisema kitendo cha kuchelewa kujiunga katika jumuiya hiyo kunachangia kutochangamsha maendeleo ya Zanzibar kutokana na misaada ya kijamii na kiuchumi inayotolewa na OIC.
Alitoa mfano kwamba endapo Zanzibar ingekuwa mwanachama ingesaidiwa matrekta 50 kupitia jumuiya hiyo na kusaidia katika sekta ya kilimo Zanzibar ambayo ingewanufaisha wananchi wote bila ya kujali imani zao za dini.
Zanzibar kunatatizo kubwa la udini.
Acha kuzungumza Pumba, Gabon, Uganda, Cameroon, Benin wao ni nchi za dini gani? mbona wamo?
Brazil, South Africa, Serbia wote walifanya attemp zao kujiunga nawao ni nchi ya dini gani?
Punguza chuki mkuu
Mkuu Mwiba, vipi hili jambo, ni miaka 10 sasa, na itapita 10 mingine.
Sasa jambo dogo tuu kama hili limeshindikana, then jambo kubwa la Muungano mtaliweza?.
P
Mimi nafikiri madai ya zanzibar ni mwendelezo ule ule wa kutaka kutambulika kimataifa. Kwa wanaosema kuwa lazima katiba ya Tanzania ibadilishwe ndipo OIC wairuhusu Zanzibar ijiunge wasisahau kuwa nchi hizo zinasubiri kwa hamu sana kumeguka kwa Zanzibar toka kwenye muungano au ndio wanaweza wakaishawishi zaidi ili iondoke kwenye muungano. Kwani Kosovo ambayo katika historia haijawahi kuwa nchi ilipojitenga si ilitambiliwa na baadhi za nchi haraka haraka pamoja na kwamba Serbia imepinga jambo hilo? Sembuse Zanzibar ambayo hapo nyuma ilikuwa na balozi katika nchi mbalimbali? Wao wameshaamua na tukiendelea kuwakataza yataibuka mengine mpaka nia yao ya kuondoka kwenye muungano itimie.
Si tusibiri, ni suala la muda tu
Mkuu Mwiba, vipi hili jambo, ni miaka 10 sasa, na itapita 10 mingine.
Sasa jambo dogo tuu kama hili limeshindikana, then jambo kubwa la Muungano mtaliweza?.
P
Kuna athari gani kwa Tanganyika kuiachia zanzibar ikajiunga na OIC? Tujadili hapa kwanza kuliko kuja na vuvuzela zisizoisha eti znz eti znz haiwezi kujiunga na jumuiya za kimataifa kwa kuwa sio nchi bali ni sehemu ya JMT.
Hii inaonyesha viongozi wengi hawana upeo wa maendeleo, fikra zao zimejikita katika kusaidiwa tu kutoka nje. Wanafikri maendeleo ya nchi ni misaada kuliko kujituma wenyewe ndio kwa maana nchi inazidi kutumbukia katika dimbwi la umasikini. Kama ni kweli vipi wanashindwa kununua matrekta 50 na wanaweza kununua magari ya kifahari kwa mawaziri wao wachache kwa gharama kubwa kuliko ya hayo matrekta ambayo wanataka wasaidiwe.
Mkuu Kibwengomfupi, poleni. Wote wanaomlaumu Karume kwa Muungano na kuita ukoloni wa Tanganyika mnajichumia tuu dhambi bure. Andiko la Kwaheri Kwaheri limejaa urongo mwingi. Urongo mkubwa kuliko ni eti yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, yalipangwa bara na watekelezaji ni Wamakonde wakata mikonge kutoka Tanga!.Philosophy and practice ya ukoloni dhidi ya znz bado iko hai. Karume amefanya makosa sana na wala hatutamsamehe kuingiza znz ktk ukoloni wa tanganyika. Paskali upo? kwa heri ukoloni kwa heri uhuru. - Dr Gharith Ghassan
trekta 50? trion 2:4 unaifahamu ? bilion 1.5 inanunua hayo 50 haina haja ya kujiungaZanzibar kujiunga na OIC kivyake
2009-01-27 10:14:33
Na Mwinyi Sadallah, Zanzibar
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imetangaza kwamba itaiomba Serikali ya Muungano kuiruhusu Zanzibar kujiunga na Umoja wa Nchi za Kiisalm(OIC) endapo mpango huo utashindwa kufikiwa na Serikali ya Muungano.
Hayo yameelezwa na Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Kiongozi, Hamza Hassan Juma alipokuwa akijibu maswali ya wajumbe wa baraza la wawakilishi waliotaka kujua Serikali ina mikakati gani kuhakikisha Zanzibar inakuwa mwanachama wa jumuiya hiyo.
Alisema kimsingi sula hilo bado linashughulikiwa na Serikali ya Muungano hasa kwa kuzingatia linahusu utaifa ``kwani Zanzibar ni nchi wakati taifa ni moja la Tanzania hivyo tutajiunga kama Nchi ,ndo maana yake.
Alisema Zanzibar haijuingi katika jumuiya hiyo kwa matakwa ya kidini bali inatetea kuchukua hatua hiyo kutokana na sababu za kiuchumi.
``Ikiwa itashindikana kwa Serikali ya Muungano kujiunga, Serikali ya Zanzibar tutaomba tujiunge kwa kujitegemea badala ya kuwa wanachama kama sehemu ya Jamhuri ya Muungano,`` alisema Waziri Hamza.
Alisema kitendo cha kuchelewa kujiunga katika jumuiya hiyo kunachangia kutochangamsha maendeleo ya Zanzibar kutokana na misaada ya kijamii na kiuchumi inayotolewa na OIC.
Alitoa mfano kwamba endapo Zanzibar ingekuwa mwanachama ingesaidiwa matrekta 50 kupitia jumuiya hiyo na kusaidia katika sekta ya kilimo Zanzibar ambayo ingewanufaisha wananchi wote bila ya kujali imani zao za dini.
Mkuu Kibwengomfupi, poleni. Wote wanaomlaumu Karume kwa Muungano na kuita ukoloni wa Tanganyika mnajichumia tuu dhambi bure. Andiko la Kwaheri Kwaheri limejaa urongo mwingi. Urongo mkubwa kuliko ni eti yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, yalipangwa bara na watekelezaji ni Wamakonde wakata mikonge kutoka Tanga!.
Kuna Wanzanzibari wengi hawakupata kumjua vizuri Karume alikuwa mtu wa aina gani, kiukweli kabisa Muungano umewasaidia sana na Nyerere amewasaidia sana kwa Karume, bila Muungano, kuna wengi wenu saa hizi ingekuwa ni history, sii wengi mnajua Karume alikuwa anawafanya nini, kama sii Nyerere kuna watu hata kaburi msinge liona, ni vile tuu hamjui Nyerere alisaidia nini. Muwe watu wa shukrani.
P
Yaani trekta 50 ndiyo iwe sababu? Au kuna hoja nyingine ambayo msemaje ameshindwa kuitaja na anajificha nyuma ya kisingizio cha trekta 50.Zanzibar kujiunga na OIC kivyake
2009-01-27 10:14:33
Na Mwinyi Sadallah, Zanzibar
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imetangaza kwamba itaiomba Serikali ya Muungano kuiruhusu Zanzibar kujiunga na Umoja wa Nchi za Kiisalm(OIC) endapo mpango huo utashindwa kufikiwa na Serikali ya Muungano.
Hayo yameelezwa na Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Kiongozi, Hamza Hassan Juma alipokuwa akijibu maswali ya wajumbe wa baraza la wawakilishi waliotaka kujua Serikali ina mikakati gani kuhakikisha Zanzibar inakuwa mwanachama wa jumuiya hiyo.
Alisema kimsingi sula hilo bado linashughulikiwa na Serikali ya Muungano hasa kwa kuzingatia linahusu utaifa ``kwani Zanzibar ni nchi wakati taifa ni moja la Tanzania hivyo tutajiunga kama Nchi ,ndo maana yake.
Alisema Zanzibar haijuingi katika jumuiya hiyo kwa matakwa ya kidini bali inatetea kuchukua hatua hiyo kutokana na sababu za kiuchumi.
``Ikiwa itashindikana kwa Serikali ya Muungano kujiunga, Serikali ya Zanzibar tutaomba tujiunge kwa kujitegemea badala ya kuwa wanachama kama sehemu ya Jamhuri ya Muungano,`` alisema Waziri Hamza.
Alisema kitendo cha kuchelewa kujiunga katika jumuiya hiyo kunachangia kutochangamsha maendeleo ya Zanzibar kutokana na misaada ya kijamii na kiuchumi inayotolewa na OIC.
Alitoa mfano kwamba endapo Zanzibar ingekuwa mwanachama ingesaidiwa matrekta 50 kupitia jumuiya hiyo na kusaidia katika sekta ya kilimo Zanzibar ambayo ingewanufaisha wananchi wote bila ya kujali imani zao za dini.
Hakuna mtu analazimisha Muungano, bali Muungano wetu adhimu ni udungu wa damu baina yetu. Kwa Wazanzibari asili na halisi wanapenda Muungano, na asili ya halisi ya Zanzibar ni sehemu ya Azania ikamegeka miaka milioni nyingi nyuma.Mkuu pasikali kwanini tuendeleze kuwalazimisha wazanzibar juuu ya muungano. ? ikiwa kwao ndo una manufaa.
Kwa ilipofikia zanzibar kama si Maslahi ya watanganyika siioni hoja yenye mashiko kuwalazimisha juu ya huu muungano.
USOGA WI KUA KATI MWINA NSONGOO