Hivi wewe Mheshimiwa unataka kueleza nini. Matrekta Hamsini kwa Zanzibar is something else. Kuna majimbo Hamsini pale ya uchaguzi kila jimbo moja la uchaguzi litapata trekta lake. Jee? mangapi nyinyi mnapata msaada na kuyasambaza katika kila jimbo lenu la uchaguzi. Usibeze suala la misaada kwani Tanzania Bara ndiyo hiyo inakwenda kwa misaada tu. Unataka kuukataa ukweli hii leo?Sasa huyo mkulu anaongea nini wht is matrekta 50kwa Zanzibar???? Na kwa nini viongozi wetu wamejikita zaidi kwenye misaada ya wao kupewa na si kutoa pamoja na umasikini wetu?? Halafu bado eti ndani ya katiba tunasema Tanzania inafuat mfumo a ujamaa na kujitegemea.