Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,309
- 4,017
Mara nyingi hawa watu ni wajuaji sana, wabishi, wapenda sifa na wasiopenda kuwa criticized.
Afadhali wangekuwa na hurka ya ujuaji alafu angalau wanajua kweli ila ni basi tu wanasifa ya kipekee ya ku-debate mambo ovyo ovyo huku wakija na uchambuzi uliokuwa based sana na conclusion yao sio ya kimatunda juu ya hio topic bali ni ya kujionesha ukuu wao ulivyo juu zaidi yako mleta topic.
Tuko tofauti sana wanadamu, tunaheshimu hilo, ila haimaanishi upumbavu wako ndio u-define na uchambue utu wetu. Upumbavu wako baki nao kama tulivyobaki nao wa kwetu then kama hauna uwezo wa kuja na criticism ilio pevuka kama kimya na ukubali pia pale utakapo kuwa criticized.
Tunasubiria comments zenu ili mjioneshe asili yenu halisi.
Afadhali wangekuwa na hurka ya ujuaji alafu angalau wanajua kweli ila ni basi tu wanasifa ya kipekee ya ku-debate mambo ovyo ovyo huku wakija na uchambuzi uliokuwa based sana na conclusion yao sio ya kimatunda juu ya hio topic bali ni ya kujionesha ukuu wao ulivyo juu zaidi yako mleta topic.
Tuko tofauti sana wanadamu, tunaheshimu hilo, ila haimaanishi upumbavu wako ndio u-define na uchambue utu wetu. Upumbavu wako baki nao kama tulivyobaki nao wa kwetu then kama hauna uwezo wa kuja na criticism ilio pevuka kama kimya na ukubali pia pale utakapo kuwa criticized.
Tunasubiria comments zenu ili mjioneshe asili yenu halisi.