Ofisi ya rasilimali watu vs procurement ofisi

bcng

Member
Feb 28, 2015
32
39
Habari ndugu zangu.

Kwa kufipi leo napenda kuleta maada hapa..kuhusu vitengo hivi viwili kwenye sekta au mashirika ya serikali.

Na maada yenyewe ipo Katika mfumo wa maswali Kama ifuatavyo;

Je uwepo wa ofisi ya rasilimali watu ( Human resource office) inamanufaa yoyote kwa wafanyakazi Katika taasi husika?

Pili. Nini matatizo ya ofisi ya manunuzi (Procurement office) sehemu unayofanya kazi, AU uliyowai pita?

Tatu, Nin kifanywe na serikali/ taasisi kuzifanya ofisi hizi zifanye kazi kwa weledi, umakini na viwango?

Binafasi nafikiri ofisi mbili sehmu nyingi ni majipu.
Kwa Uzoefu wangu mdogo, ofisi ya rasilimali watu haina tija yoyote kwa wanyakazi,ni ofisi inayotesa wafanyakazi.

Mambo au masilahi mengi ya wafanyakazi hukwamishwa na ofisi hii.
hii ni kinyume na ethics za professional hii.


Ni nn maoni yako?

Karibu tuelimishane
 
naung
Habari ndugu zangu.

Kwa kufipi leo napenda kuleta maada hapa..kuhusu vitengo hivi viwili kwenye sekta au mashirika ya serikali.

Na maada yenyewe ipo Katika mfumo wa maswali Kama ifuatavyo;

Je uwepo wa ofisi ya rasilimali watu ( Human resource office) inamanufaa yoyote kwa wafanyakazi Katika taasi husika?

Pili. Nini matatizo ya ofisi ya manunuzi (Procurement office) sehemu unayofanya kazi, AU uliyowai pita?

Tatu, Nin kifanywe na serikali/ taasisi kuzifanya ofisi hizi zifanye kazi kwa weledi, umakini na viwango?

Binafasi nafikiri ofisi mbili sehmu nyingi ni majipu.
Kwa Uzoefu wangu mdogo, ofisi ya rasilimali watu haina tija yoyote kwa wanyakazi,ni ofisi inayotesa wafanyakazi.

Mambo au masilahi mengi ya wafanyakazi hukwamishwa na ofisi hii.
hii ni kinyume na ethics za professional hii.


Ni nn maoni yako?

Karibu tuelimishane
naunga mkono hoja hawa watu sijui kwa nini serikali inaendelea kuwaajiri unakuta HR wapo watatu wilaya moja lakini utendaji ni F
 
naung
Habari ndugu zangu.

Kwa kufipi leo napenda kuleta maada hapa..kuhusu vitengo hivi viwili kwenye sekta au mashirika ya serikali.

Na maada yenyewe ipo Katika mfumo wa maswali Kama ifuatavyo;

Je uwepo wa ofisi ya rasilimali watu ( Human resource office) inamanufaa yoyote kwa wafanyakazi Katika taasi husika?

Pili. Nini matatizo ya ofisi ya manunuzi (Procurement office) sehemu unayofanya kazi, AU uliyowai pita?

Tatu, Nin kifanywe na serikali/ taasisi kuzifanya ofisi hizi zifanye kazi kwa weledi, umakini na viwango?

Binafasi nafikiri ofisi mbili sehmu nyingi ni majipu.
Kwa Uzoefu wangu mdogo, ofisi ya rasilimali watu haina tija yoyote kwa wanyakazi,ni ofisi inayotesa wafanyakazi.

Mambo au masilahi mengi ya wafanyakazi hukwamishwa na ofisi hii.
hii ni kinyume na ethics za professional hii.


Ni nn maoni yako?

Karibu tuelimishane
naunga mkono hoja hawa watu sijui kwa nini serikali inaendelea kuwaajiri unakuta HR wapo watatu wilaya moja lakini utendaji ni F
 
Matatizo yaliyokukuta wewe katika taasisi yako unayafaunayafalnya kuwa matatizo ya taasisi zote. Tuoneshe Utafiti ulioufanya hadi kufikia hitimisho hilo na je ulichukua sample ya Taasisi ngapi?
 
Hata kitengo chako kuna watu wanatamani kifutwe na wewe usiwepo kwa kuwa huna tija. Kwa Tanzania hakuna ofisi inayofanya kazi vizuri kwa viwango vinavyotakiwa.
 
Matatizo yaliyokukuta wewe katika taasisi yako unayafaunayafalnya kuwa matatizo ya taasisi zote. Tuoneshe Utafiti ulioufanya hadi kufikia hitimisho hilo na je ulichukua sample ya Taasisi ngapi?
Asante kwa mchango, Sina personal attack ya kitengo chochote...na tuwe open minded tu kujadili hili kwani mficha Uchi hazai.
 
Matatizo yaliyokukuta wewe katika taasisi yako unayafaunayafalnya kuwa matatizo ya taasisi zote. Tuoneshe Utafiti ulioufanya hadi kufikia hitimisho hilo na je ulichukua sample ya Taasisi ngapi?
Moja ya sababu kwa nn hali inakuwa mbaya sehmu nyingi maosofisini ni sisi watanzania kuteteana na kuunga mkono uozo, usisubiri mpka ukutwe na uamini kwamba ni hiyo kitu ni kweli.

Fikiria juu ya uzao wako baadae wataishi katika mazingira gani, siku zote kesho huandaliwa leo.

Sijamanisha kwamba Kuna kitengo kilichobora kuliko kingine lkn hiyo ni sampul tu ya moja ya vitengo vyenye changamoto na uozo.

Naomba uchukulie huu uzi in a positive way.

, Hata kama upo kwenye hivi vitengo, hii ni fulsa kujitadhimini utendaji wenu na kuleta heshima Katika profesional yenu. Lkn hii itafanikiwa ikiwa tu utauchulia uzi huu positively.
 
Matatizo yaliyokukuta wewe katika taasisi yako unayafaunayafalnya kuwa matatizo ya taasisi zote. Tuoneshe Utafiti ulioufanya hadi kufikia hitimisho hilo na je ulichukua sample ya Taasisi ngapi?
Lkn pia sio Kila hoja inayoletwa hapa lazima iwe imefanyiwa utafiti...hii pia inaqeweza kuwa sehm ya utafiti..labda uniambie hujui kazi ya jukwaa hili.
 
Mkuu muanzisha mada nakupa sapoti kwa 100%
Hata kwenye makampuni binafsi hao watu wa Hr ni uozo mtupu.
Yaani ni watu wanafki tu na kwangu mm naona wanatuwekea barrier tu.
Kwa mfano mtu una shida yako binafsi mf. Masuala ya salary increment, promotion na mengine Kama hayo na unahitaji ukamuone MD au GM ili ukaelezee shida yako hao watakuzuia kujifanya hao Wana uwezo wa kukusaidia au kukuwakilisha shida yako lkn Cha ajabu badae wanaipotezea shida yako au hata wakienda wanapindua pindua maneno na mwisho wa siku hupati feedback ya kueleweka.
Sasa kwa hali hyo faida yao iko wapi?
Afadhali hao watu wa procurement wanatusaidia kutunza materials and other goods.
 
Matatizo yaliyokukuta wewe katika taasisi yako unayafaunayafalnya kuwa matatizo ya taasisi zote. Tuoneshe Utafiti ulioufanya hadi kufikia hitimisho hilo na je ulichukua sample ya Taasisi ngapi?
Mkuu acha kubisha karibu kwenye kampuni zote za kibongo uozo ni huo huo.
Mimi nimefanya kazi kwenye kampuni 5 hakuna hata kampuni moja nilifurahishwa na hicho kitengo.
Wote huwa ni wanafki tu na huwa ni watu wa kujikomba tu kwa mwajiri ili wapate hela ya kula.
Watu wananyanyaswa sana na waajiri na hakuna wanachokifanya kuondoa unyanyasaji.
Makampuni mengi sheria hazifuatwi na wao wamenyamaza tu.
Kiufupi hawana umuhimu kabisa kibongobongo.
 
Back
Top Bottom