na hii mimba ulonipa, umemwambia Amyner?
na umemuelezakuwa jumamosi tumefunga ndoa serikalini?
umemwambia kuwa nimeridhia yeye kuwa mke mkubwa?
ile zamu tuliyopanga umemfahamisha?
afadhal bora yaishe.kunawatu wa kukubali waachane lakini sio Amyner na Erickb52 .kunawatu wa kuachana kama Madame B na Ruhazwe JR ,Kweli tuacheni tuachane tu,maana yule si mwanamke ni balaa
BT, Kama kamjusi kameshaingia hilo wala si tatizo, that's clan expantion!
Ngoja liishe hili , lako linazungumzika! Ukoo wa kichifu si unaelewa mila na desturi zake? Hautupagi damu asslan.