moonlightj12
Member
- Dec 6, 2022
- 33
- 90
Kwa huzuni sana Hawa watu hawana huruma yaani ni wakatili mno.
Kweli tumelipia dawa miezi yote hii halafu tunaambiwa eti kiwanda kinachotoa dawa kimesitisha kuzalisha nyie watu nyie muogopeni Mungu.
Dear mama Samia sijui kama unapitiaga social media ila kama unapitia tunaomba tusaidie mama.
Tumelipa pesa nyingi lakini dawa hatupewi na ni miezi Sasa inapita.
Tunajinyima hata kula kuwatibu wazee wetu afu wao wanachukulia masihala.
Naombeni watu wa JF tusaidieni kuwahoji hao madaktari yaani kiwanda kisitishe utoaji dawa kwamba hamna kingine? Aisee inaumiza.
Kweli tumelipia dawa miezi yote hii halafu tunaambiwa eti kiwanda kinachotoa dawa kimesitisha kuzalisha nyie watu nyie muogopeni Mungu.
Dear mama Samia sijui kama unapitiaga social media ila kama unapitia tunaomba tusaidie mama.
Tumelipa pesa nyingi lakini dawa hatupewi na ni miezi Sasa inapita.
Tunajinyima hata kula kuwatibu wazee wetu afu wao wanachukulia masihala.
Naombeni watu wa JF tusaidieni kuwahoji hao madaktari yaani kiwanda kisitishe utoaji dawa kwamba hamna kingine? Aisee inaumiza.