Kama raisi ambaye anania ya kujenga umoja ktk lake ilipaswa soon baada ya jupata madaraka angekuwa anajutana nao kama vile anavyokwenda kanisani,sasa a me subili awamu inakwisha then anakwenda je huyo anayeingia atakuwaje?
Hata hizo nchi nazo udini upo,ila kwakua tulikuwa tunamjadili Obama kwa maoni yangu nimeona kama amechelewa flani hivi,Hilo uliwahi kujiuliza kwa nchi kama Iran, Iraq au Afghanistan?
Sasa Obama ndo anaupenda uislam??Trump na Carson ni watu wasiopenda uislamu.
OMG !!! Trump atasema B H Obama kakukumbuka madrassa !!!Tusubiri kusikia Trump atasema nini ?
Zamiluni Zamiluni kama hivyo, mbona kuna mtu yuko radhi kuchinja na kukata kichwa binadamu mwenzie eti sababu hawezi kariri "shahada". Wanakuibukia halafu wanakuhoji kwa maswali kadhaa ya kidini na usipojibu sahihi basi kichwa chako hukioni tena maana kinakutana na upanga.OMG !!! Trump atasema B H Obama kakukumbuka madrassa !!!
MK254 Our god is one, our earth is one, Our Bloodhood is red..... "Alombora ni yule mbora kwa viumbe wenzake!!"
Mpendwa MK254 !! naomba sana nakusihi kama ndugu/jirani/mEAfrican... unjejipima na kujithamini kwanza kabla ya kujibu hilo hapo juu !!! Sina haja ya kubishana mchana wakati jua lipo juu yetu nasi wote tunaliona !!! KM:-Zamiluni Zamiluni kama hivyo, mbona kuna mtu yuko radhi kuchinja na kukata kichwa binadamu mwenzie eti sababu hawezi kariri "shahada". Wanakuibukia halafu wanakuhoji kwa maswali kadhaa ya kidini na usipojibu sahihi basi kichwa chako hukioni tena maana kinakutana na upanga.
Mpendwa MK254 !! naomba sana nakusihi kama ndugu/jirani/mEAfrican... unjejipima na kujithamini kwanza kabla ya kujibu hilo hapo juu !!! Sina haja ya kubishana mchana wakati jua lipo juu yetu nasi wote tunaliona !!! KM:-
Both sides wanalazimisha !! (huyu mmoja anaLazimisha DEMOKRASIA yake...; huyu wapili anaLazimisha IDEOLOGY yake) !! sasa mimi na wewe ya nini kujihook au kuburuzwa nao ??
Stay in peace and peace upon you !!
Mungu wa wahindi au buda?Nampenda Trump. Mungu mpe maono