mwaJ JF-Expert Member Sep 27, 2007 4,074 2,947 Nov 4, 2011 #5 Jamani mbona hivyo? Bora asingefunika na hiyo kufuli maana nywele hizo nywele zinatosha kuficha kila kitu.
Jamani mbona hivyo? Bora asingefunika na hiyo kufuli maana nywele hizo nywele zinatosha kuficha kila kitu.
MaxShimba JF-Expert Member Apr 11, 2008 35,772 4,055 Nov 5, 2011 Thread starter #7 Rangi yake inatisha kweli, hivi ana oga huyu?
marejesho JF-Expert Member Jan 6, 2011 6,635 3,655 Nov 5, 2011 #9 Sio fake kweli kama kucha za wadada wengi?
Mpita Njia JF-Expert Member Mar 3, 2008 6,997 1,163 Nov 5, 2011 #10 MGAWARIZIKI said: Viwembe vimepanda bei? Click to expand... Hapana, ni burudani tu