MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Ivunjwe tu hakuna namna nyingine
tena naomba siku hiyo ya kuvunjwa mtangazaji mwenye kutaka sifa na kiherehere Spencer Lameck na yeye awepo akishuhudia bosi wake anavyosulubiwa kwa mamlaka ya ponsio pilato.
Nilijua tu,popoma umefuraaahi mwenyewe.
Unadhani atakubali kubomolewa kijinga?
Movie ndio kwanza imeanza,subiri uone.
anaweza akamegewa hiyo nyumba na vile vile hata bibie wake " akamegewa " vile vile kisela na asifanye chochote. mshaurini tu awe mpole na tunaenda kwa " mnafiki " mmoja baada ya mwingine hadi kwa aliyetengeneza filamu ya " kuzimia " mkoani Tanga na ya " siku ya usafi " wa barabara mkoani Mara.
Nilijua tu,popoma umefuraaahi mwenyewe.
Unadhani atakubali kubomolewa kijinga?
Movie ndio kwanza imeanza,subiri uone.
halafu nilitaka kusahau kwani mimi humu bado ni mgeni na kuna misamiati yenu hii mipya mnaitumia na umenitajia hapo. samahani mkuu " popoma " ndiyo kitu gani?