Nyumba ya kupanga

african2010

Member
Mar 31, 2010
98
12
Nyumba ya vyumba vitatu, kimoja ni master bedroom, ina choo cha ndani, bafu, jiko la ndani, sebule ya ndani, dinning room na store, ina ukuta ila haina geti, gari ndogo inaweza kupaki, nyuma kuna eneo la bustani, ipo karibu sana na kituo cha basi cha kimara-kona(dakika zisizozidi tano kwa kutembea na miguu toka kituo cha daladala cha kona(kimara) kodi ni tshs 300,000 kwa mwezi.
Mimi sio dalali ni mmiliki wa nyumba. Wasiliana na mimi o717498932 au 0783555439.
 
Nyumba ya vyumba vitatu, kimoja ni master bedroom, ina choo cha ndani, bafu, jiko la ndani, sebule ya ndani, dinning room na store, ina ukuta ila haina geti, gari ndogo inaweza kupaki, nyuma kuna eneo la bustani, ipo karibu sana na kituo cha basi cha kimara-kona(dakika zisizozidi tano kwa kutembea na miguu toka kituo cha daladala cha kona(kimara) kodi ni tshs 300,000 kwa mwezi.
Mimi sio dalali ni mmiliki wa nyumba. Wasiliana na mimi o717498932 au 0783555439.

Namba hizi zimetumika kwenye tangazo la mashine ya kukamua mafuta,mashine ya kutengeza mishumaa na sasa nyumba ya kupangisha nawe si dalali???????
 
Ukinunua mali yoyote utaona jina langu halisi na sehemu ninapofanyia kazi, nina uthibitisho wa kutosha kuwa mali hizi ni zangu.
 
Nyumba ya vyumba vitatu, kimoja ni master bedroom, ina choo cha ndani, bafu, jiko la ndani, sebule ya ndani, dinning room na store, ina ukuta ila haina geti, gari ndogo inaweza kupaki, nyuma kuna eneo la bustani, ipo karibu sana na kituo cha basi cha kimara-kona(dakika zisizozidi tano kwa kutembea na miguu toka kituo cha daladala cha kona(kimara) kodi ni tshs 300,000 kwa mwezi.
Mimi sio dalali ni mmiliki wa nyumba. Wasiliana na mimi o717498932 au 0783555439.


Sasa hilo geti inakuwaje kama mtu yuko interested? anaweka mwenyewe halafu mnajuana kwenye bei au inakuwaje? Na bei inashuka kidogo au vipi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom