african2010
Member
- Mar 31, 2010
- 98
- 12
Nyumba ya vyumba vitatu, kimoja ni master bedroom, ina choo cha ndani, bafu, jiko la ndani, sebule ya ndani, dinning room na store, ina ukuta ila haina geti, gari ndogo inaweza kupaki, nyuma kuna eneo la bustani, ipo karibu sana na kituo cha basi cha kimara-kona(dakika zisizozidi tano kwa kutembea na miguu toka kituo cha daladala cha kona(kimara) kodi ni tshs 300,000 kwa mwezi.
Mimi sio dalali ni mmiliki wa nyumba. Wasiliana na mimi o717498932 au 0783555439.
Mimi sio dalali ni mmiliki wa nyumba. Wasiliana na mimi o717498932 au 0783555439.