Ni nyumba nzuri , ina vyumba vinne vya kulala. sehemu ya chakula, jiko na kusomea.ujenzi wake umekomea katika hatua za mwisho kabisa. hivyo mnunuzi atamalizia matengenezo yake. bei yake ni 24,000,000/= Unaruhusiwa kulipa kwa awamu. ipo mbagara chamanzi. kwa anayetaka kununua 0657 14 5555, 0686 200 117.