Nyumba ya kisasa inapangishwa

Michael Amon

JF-Expert Member
Dec 22, 2008
8,775
3,610
Nyumba mpya kabisa na ya kisasa iliyopo maneo ya sakina nyuma ya Diamond Motel jijini Arusha inapangishwa kwa bei nafuu kabisa.

Sifa za nyumba

  • 1 Large Sitting Room
  • 1 Master Bedroom
  • 2 Bedrooms
  • Water and electricity is available
  • Kitchen
  • Toilet
[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Nyumba hii inawafaa watu wenye familia na volunteers.

Kama umeipenda na uko tayari kupangisha nyumba tafadhali usisite kuwasiliana nami kupitia anwani zifutazo:-
Mobile: +255784 554 221
E-mail: youngmaster14@ymail.com
[/FONT]
 
Ni hizi au? Kama vp weka picha

house-for-rent-in-phuket-thailand-22-phuket-inter-7-500x375.jpg
 
cjaitaja bei kwa sababu bei ni maelewano na ndio maana nimetoa contact zangu ili kwa atakayehitaji kujua bei au chochote kuhusiana na hiyo nyumba awasiliane nami. @Lizzy
 
cjaitaja bei kwa sababu bei ni maelewano na ndio maana nimetoa contact zangu ili kwa atakayehitaji kujua bei au chochote kuhusiana na hiyo nyumba awasiliane nami. @Lizzy
Nimekusoma YM ila kwa kusema unayofikiria wewe utafanya watu wa wawe more interested.Mi mwenyewe natamani sana kujua bei ili nijue kama ni saizi yangu au la.
 
samhani...nilifikiri nyumba ya kisiasa...kumbe ya kisasa....samahani bwana mkubwa
 
Nimekusoma YM ila kwa kusema unayofikiria wewe utafanya watu wa wawe more interested.Mi mwenyewe natamani sana kujua bei ili nijue kama ni saizi yangu au la.

Bei ya nyumba hiyo ni sh. 400,000 kwa mwezi.
 
Back
Top Bottom