Nyumba ya kisasa ina vyumba vtano vya kulala pamoja na master bedroom 3 zilizounganishwa na system ya maj moto na barid,sitting room kubwa ya kisasa, dinning, Jiko,store, public toilet,
Contact; 0656 698232
Hiyo nyumba inauzwa bei rahisi sana ukifananisha na ghalama za ujenzi kwasasa labda kama ipo eneo ambalo umehisi itavunjwa na serikali siku si nyingi. Ningekua nahitaji nyumba kwasasa ningeifuatilia hiyo nyumba kwakweli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.