House4Sale Nyumba ya kisasa Chanika 73 mil

mslopagaz

JF-Expert Member
Jul 31, 2014
367
36
Nyumba ya kisasa ina vyumba vtano vya kulala pamoja na master bedroom 3 zilizounganishwa na system ya maj moto na barid,sitting room kubwa ya kisasa, dinning, Jiko,store, public toilet,
Contact; 0656 698232
d89e0ed1818f8006b34deb1ff825b1a0.jpg
dfba0243ccd8eae38de9c6bcf43178b7.jpg
5f7e39f72e84ba264b4ed2d21108ace4.jpg
20328b9f1ab7fe6882b27188d1be3900.jpg
e3025b1f774c9d66f32ae9549d957f9c.jpg
44f4ab6bcb3022f42a46ae546e412099.jpg
381f791d236a714a022e782a7190c6e3.jpg
 
Mbona bei kubwa kuzidi ile ya nyumba za serikali zilizosimamiwa mauzo na joni pombe majipu!!!
 
Vyumba 5 vya kulala. Alafu na Master bedroom 3
Embu tuchanganulie apo ina maana nyumba ina Vyumba 8 au?
 
Duh! Hii nyumba iko chanika halafu ghali kuliko zile za oysterbay na masaki alizouza Magufuri?
 
Hiyo nyumba inauzwa bei rahisi sana ukifananisha na ghalama za ujenzi kwasasa labda kama ipo eneo ambalo umehisi itavunjwa na serikali siku si nyingi. Ningekua nahitaji nyumba kwasasa ningeifuatilia hiyo nyumba kwakweli.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom