Ndallo
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 7,619
- 4,292
Wewe Mkuria sema Lowassa na sio Rowasa! Sio unachafua jina la Rais mtarajiwa!Mkuu hili jina unalikosea au unamaana nyingine!Rowasa!!!
Wewe Mkuria sema Lowassa na sio Rowasa! Sio unachafua jina la Rais mtarajiwa!Mkuu hili jina unalikosea au unamaana nyingine!Rowasa!!!
GT on line!
Polisi uwa wanapenda sana 'kuua mbu kwa rungu' na sehemu wanakotakiwa kutumia nguvu kama hiyo hutawaona kamwe!
Kwanza ujue, Police wanavunja sheria mara kadhaa tu..ila hiyo isiwe excuse ya RAIA KUVUNJA SHERIA PIA... wao pia wanfuata sheria hadi kuja kukufuata..sbb hadi wakufikie kuna jambo umefanya kinyume na taratibu...so cha kufanya ukiwa Chini ya polisi ni kufauata utaratibu wao wanaotaka kisheria na kujitetea kisheria ukifika mahakamani...if ur innocent utakuwa huru tu...BUT JUA HILI VIZURI UKIJIONYESHA WW MBABE MBELE YA POLISI...UTASHINDWA TU...THT IS BOTTOM LINE
Polisi ni nani aliyewaroga fanyeni kazi yenu kama mnaojitambua acheni kufanya kazi bila utaratibu
Zaburi 105:14.Hakumruhusu binadamu yeyote awaonee,
Bali aliwakaripia wafalme kwa sababu yao,
15.Akisema: Msiwaguse watiwa-mafuta wangu,
Wala msiwatendee manabii wangu lolote lililo
baya.
atajuta kumfahamu pengo
Polisi wangekuwa wanatumia nguvu kama hizo kukabiliana na vipaka tungekuwa hatuogopi kupita mitaa ya mateja
Anadharau serikali.sasa lazima atambue serikali ipo na inafanya kazi.tunaomba wafuasi wake muwe watulivu suala hili lifanyiwe kazi.
Watapigana ila hawatashinda, Mungu akiwa upande wake, shetani hana chake
CCM wameanza ubaguzi wa kidini rasmi. Lengo lao nchi ichafuke ili uchaguzi usifanyike Kikwete aendelee kubaki madarakani.
Kama akina Sheikh Ponda wapo ndani kwa kashifa na Uchochezi, itakuwa ajabu kama Gwajima ataachiwa hivi hivi! No, No No! anahitaji adhabu.