Hata wewe mwenyewe hujui unacho andika.
Ili uraia wa mtu uweze kujulikana utaratibu ni kuvamia nyumbani kwake kumkamata kumhoji kumuweka ndani kisha kumwachia.
Uhalali wa mtu kishi Tanzania ni pale anapokamatwa na Polisi na kukaa ndani siku 14 kisha kuachiwa???
This is the lowest of the lowest ways of thinking and tackling issues.
Hivi kama hujui kitu ukinyamaza inakugharimu nini?
Wadau kwa taarifa niliyoipata kutoka kwa mtu ninayemwamini anasema nyumba ya mchungaji gwajima imezingirwa na defenda za polisi za kumwaga.
More updates itafuata.
Ndugu zangu embu tongeje tusikie ni kwanini wameenda nyumbani kwa askofu. Wote hamjui kwa hiyo si busara kurushiana maneno. Huwezi kujua wamefuata nini.
Hawachelewi kujifanya wamekuta unga
CCM wameanza ubaguzi wa kidini rasmi. Lengo lao nchi ichafuke ili uchaguzi usifanyike Kikwete aendelee kubaki madarakani.
Huyu MH namkazia uso kwa sababu hajui anachoandika.
Kitendo cha kukubaliana na hatua ya Polisi ya kuvamia nyumba za watu na kuwakamata kwa madai wanawashuku si raia wa Tanzania ni kitendo kinachoonyesha uwezo duni wa kutafakari mambo.
Watu kama huyu Mh ni hatari kuliko hata kitendo cha polisi kuvamia nyumba za watu kihuni.
Kwa lugha nyingine uwepo wa watu wanaoshabikia kimoyomoyo UPUMBAVU wa Polisi wetu ndiyo asili ya nguvu ya kimya kimya ya polisi wetu kuja kiburi.
Jumapili iliyopita Gwajima alisema yeye mwenyewe ndio amewazuia Jukwaa la Wakristu kutolea tamko ishu yakejukwaaa la wakiristo kemeeeni polisi