Dijina40
JF-Expert Member
- May 17, 2010
- 727
- 242
Natafuta kanyumba au upande wa nyumba unaojitegemea kwa ajili ya kupanga kwa mwezi 1 hadi 3 kwa mgeni anaekuja Dar kwa muda mfupi, chumba, sebule, jiko, choo na bafu au chumba kinachojitegemea na sebule. Sehemu ambayo mtu 1 anaweza kuishi vizuri bila muingiliano sana na wengine kama ina watu ndani ya yard. Maeneo ni Mwenge, Survey, Mbezi Beach, Tegeta, Boko. Iwe sehemu yenye usalama na tulivu. Bei itategemea na ubora wa nyumba, ilipo na vitu vilivyomo. Kama una sehemu pia unaweza kuitoa kwa muda huo pls niandikie. Asanteni.