Hao Yono wamekula mlungula hapo, hakuna kipapai walawageni toka Sumbawanga hapo.Nyumba ya shirika la reli namba 40 kariakoo imegoma kubomoka kila tinga tinga linalojaribu kuboa linaaribika. Source- chanel 10 Habari
kweli ile nyumba imegoma kubomoka. wameamua kuahirisha hadi siku nyingine. wamesema wataibomoa wakisha maliza kubomoa nyumba nyingine. action mart ndo wanaohusika na kubomoa nyumba za walala hoi.
kilicho nisikitisha ni jinsi serikali ilivyo harakisha. yaani imeshinda kesi jana jioni leo alfajiri wanakuja kubomoa. je hao action mart waliambiwa saa ngapi?
kweli ile nyumba imegoma kubomoka. wameamua kuahirisha hadi siku nyingine. wamesema wataibomoa wakisha maliza kubomoa nyumba nyingine. action mart ndo wanaohusika na kubomoa nyumba za walala hoi.
kilicho nisikitisha ni jinsi serikali ilivyo harakisha. yaani imeshinda kesi jana jioni leo alfajiri wanakuja kubomoa. je hao action mart waliambiwa saa ngapi?
Atakuwa anatokea Katavi Region huyo!!
Mkaaji mwenyewe awe Bujibuji, unadhani utamng'oa ki mdebwedo?